Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
- Thread starter
- #141
Wahudumumieni huko hukoUnataka tufanyeje sasa mkuu kwa wale tulionao tayari watoto na wanaishi na Mama zao?
Kamwe mkeo asije akakurubuni eti mlete nimlee ni wivu tu ili upunguze contact na mchepuko.
Wanawake wachache sana wanaweza kulea watoto wa wenzao