Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,435
- 7,784
- Thread starter
-
- #181
s unakua unabeba tahadhari mguu nje mguu ndaniIla kuna aina ya ugumu kidogo mtu unakuwa naonl, unakuwa sio yule wa mwanzo mpaka ichukue muda uone kweli huyu niliye nae upendonwake si wa uongo π
π π πUandishi wako upo shagalabagala ila unajua, I wish ningepata mwanamke mwaminifu na anaependa kweli kama wewe. Let the search continue..
Sijaingilia maisha ya mtu, kama uliona haina maana usingeleta utumbo wako humu kwenye jukwaapunguza makasiriko best hayakusaidii ukishajua unataka uweke kwneye takwimu za taifa?? mimi nikiwa malaya wewe unapungukiwa nn si uangalie maisha yako!!
π€£π€£π€£Mbona una vinasaba vya umerlayer? Kwa maelezo yako ulitolewa bikra ukiwa na umri gani? Kweli bora kuoa alie bikra tu
Mwaminifu kiaje ameisha kuambia alikuwa sio bikra na bado akachepuka na wanaume kadhaa akiwemo sugar daddy kipindi bwana wake yupo njeUandishi wako upo shagalabagala ila unajua, I wish ningepata mwanamke mwaminifu na anaependa kweli kama wewe. Let the search continue..
Aamin Aamin Aaminnikaanza kuvuta picha jinsi tulivyokutana had tulipofikia nilijikuta nalia sana, nililia halaf leo ananipigia anasema et kirahisi tu mume ni mm mumeo nikasema huyu sio mzima ana wazimu unamsumbua, sjui nilala saa ngapi kuja kushtuka kunekucha nikawasha sim nikaichaji nikahisi ile ilikuandoto tu nikapotezea mchana sasa naona msg inaingia umeshindaje nina uhakika uko sehem flan nineingia asbh naomba tuonane nikajisemea kumbe haikua ndoto ni kweli tukakutana sehem ambayo alinitongoza na kunimwagia nondo kwa mara ya kwanza jaman nililia kama nimefiwa na mzazi, nililia kusema siwez machozi yananitoka alikuja na washkaj zake na mdogo wake wakiume hata siwanon namuona yeye tu mm nalia ananibembeleza ananikumbatia amebadilika akaniambia tusogee pembeni akauliza unaendeleaje? nikamjibu namuangalia simmalizi namuuliza leo hii kwa nn ukanifanyia vile unajua nimepitia nn mm? unajua mambo yanayoendelea? ananikumbatia yan nikiwa naonhea nakabwa na hasira machozi kusema siwez ananikumbatia napata amana natulia mwisho akasema kesho tukutane sehem ni beach tupate lunch tutaongea nimerudi na nimerudi rasmi kwa ajili yako narudi kwetu nawaza kikuche tuongee sjamalizana naye, usiku wa deni haukawii kukakucha tukakutana kuanzia saa saba had saa kumi ni kula kuongea ananambia umenenepa sana lakini hapo tulizika rasmi tofuauti zetu tulifungua tena ukurasa mpya wa mapenzi akanielezea anasema wewe unajua ungeweza kunipotezea mm nilikua huwez kufanya hivo na nilikua nahngaika pamoja kwamba hatukua na mawasiliano mazuri lakini sikuacha kukutafuta had kwa watu wako wa karibu ndugu zako,naomba sana Mungu nikukute hujaolewa tu, hapo nikamwambia sasa ungefanya nn kama ungenikuta nimeolewa, akasema ningekutorosha, tukacheka,najua upo upo usijali nimerudi na wakat huu siondoki tena nataka nikuoe sasa ukirudi nyumbani ongea na mama yako mgusie utanijibu niko serious, nawaza mambo mengi sasa huyu mbona anapeleka mambo mbiombio hapo ni 2018 kwwnye oktoba hivi mimi najikaza hasa namwita mama namwambia nimepata mchumba anataka kunioa ameniambia nikuambie ajue hatua anazotakiwa kupita anioe, mama yangu alikua amelala kwenye sofa aliamka akakaa vizur habari imuingie, nikashusha pumzi nikamweleza tena akasema ngoja nitamwambia kwanza baba yako ni nani anaishi wapi ni kabila gani, sjui nilipata wapi ujasiri nikamjibu haijalishi kuhusu kabila wala yeye ni mtu wa wapi mama hayo hayana maana mimi huyu ndio chaguo langu, mama yangu akaniangalia hakujibu kitu na kitu kingine mm na mama yangu hatuivi sana muda mwingi kila mtu na mambo yake saa zingine anaweza mkaamka mtu kakununia bas kipindi niko na huyo shemeji yenu alikua ananipa sana amani ananituliza na natulia, nikaona huyu mama anataka kunipeperushia njiwa niliyemfuga mwenyewe kwa muda mrefu ,skupata jibu direct lakini nikamwambia nineshamwambia mama kasema ataongea na baba, siku zinakatika sijibiwi baba kasema nn mimi tena nishamsevu mchumba jina jipya akipiga niko huru kabisa kuongea sijifichi tena, sasa baba yangu alikua anaumwa na nakumbuka sikujua kama ni serious sana alikwenda kupata matibabu zaidi, kumbe hizo habar hata mama sjui kama alisema au la lakini mzee wangu akafariki, tukazka na ikatokea kama coincidence baba yangu mkwe n baba yangu wana unasaba so alikuja kuzikwa ilibidi mzee aletwe alipotaka kumalizia uzee wake tukazika, maish sasa yakabadilika tuna mama tena hana bazi tunamtegemea yeye kwa kils kitu sasa kaz at least nna mtu ambaye ananisupport ilibidi tu wazee wake waje wapose tukafuata taratibu bi mkubwa akaniozesha hiyo ilikua dec 2018 had leo tupo pamoja tumevuka vingi nimefupisha story mana visa n vingi hapo katikati, lakini iko hivi mwanaume anakwambia mimi ndio najua kwa nn nakuoa na kwa nn nimekubali kuanzisha familia n ww kaa tulee watoto tuzikane maisha ndio haya haya, nilijiambia pia huyu ndio mtu abaye nilitaman aje awe mwanaume wa maisha yangu, hakuna kigeni nisichokijua chini ya jua hili,natakiwa kutuliza akili namjua ananijua tunafahamiana vya kutosha so dec 2018ndio tulipoana had leo hii tuna watoto wawili sjawahi kumhesabia makosa, ni mwepes wa kusamehe i dont care anaishije nje ya ndoa yetu ninachoangalia he respects me, anajus kutimiza wajibu wake kama baba kama mume, kuna muda tukikaa hivi tunakumbushana story za nyuma tunacheeeka ndio tunakumbuka daah kumbe tumekata miaka sio haba tuna watoto wawili wakike wote tumewapata baada ya kuoana alijua kunimezesha ptwo yan huyu ubavu wangu haukunywewa supu kabisa ni sahihi Mungu amenipa yule niliyemtaka niliyemataman enz hizo nilikua najiambiaga nipate mume ambaye tutaendana so jaman watu wema wapo, sisemi ndoa yangu ndio ndoa bora kuwah kutokea tunahitiliafiana lakini ni mara chache na zenye kuhesabika tunachojali ni amani furaha siwi kikwazo cha kumkosesha furaha na sipendi akose raha Mungu anitunzie huyu mume wangu, aamin
mwisho.
Sugar daddy alikuwa anakuchanua anavyotaka dasikua na mawasliano na nilitaka kuanza upya maisha yangu niliona kabisa huko tunakoelea hakuna kitu tutafanya wakat huo akawa anafanya ujenzi anamshirikisha mama yake alikua ananitumia hela ananambia usizitumie ziweke hakikisha hata kama utakwama tumia kias unachojua utakirudisha sasa mimi nikiwaza hizo sentensi naona kabisa huyu atakuja kunihesabia vipande vya nyama kwenye kibakuli hafai hanifai, haniamini tumetoka mbali, wakat naamua kubadili namba nakumbuka nilikua na laki nne yake,ila hatukua na mawasiliano so akaacha kutuma hela, akawa anatuma kwa mama yake, anaye dada ake mmoja naona walikua wanaambiana tumegombana bas wifi anahangaika had anapata namba yangu ananipigie oh wifi pataneni na kaka msigombane akirudi atakuoa mm namchamba hovyohovyo wifi kwa hasira ukome kuingilia yasiyokuhus tena ukome aliekutuma mwambie amenikosa, kwa wakat huo nilishajaribu kuingia kwenye mahusiano lakini mm nilitaka mtu afanane na yeye yan mtu mpya tabia za ex ambaye sina uhakika kama nimemuacha mazima au la,hayajawahi kudumu nikaona huu upuuzi wa mapenzi niachie wahindi mm ngozi nyeusi yamenishinda, nikawa nafocus na maisha, nakula nashiba nyege zikija mm huyo usiku najifungia najimalizia haja zangu hayo ndio yalikua maisha yangu tena kwa taswira yake, nikaanza kuona maisha yanatakiwa yaende mahitaj yangu muhim niyatimize nina mdogo wangu wa mwisho tusaidiane na wazazi asome so nikaanza kilipa bills kidogo kichwan akili inawaza pesa pesa nishaanzakuona utam wa kufanya kazi nishaanza kuona mapenzi yanaipotezea muda hayana nafasi,nikisikia best anaolewa mm ndio kama napata kamshtuko oh kumbe ukiacha haya ninayoishi kina hatua zingine sjazipitia sasa wa kuniona mm nani happ nishakua mtu amabaye ukinipenda leo sawa ukiniacha saa hiyo hiyo ni sawa yan kama daladala tulikaa miaka mitatu bwii nikapata sugar daddy hehehe huyu nimuache hata nisimhadithie lakini kwa kiasi kikubwa kwa wakat huo alikua akinisev sana kipesa
na wew anza hyo tabia...utanishukuru baadaeHumu wanawake ndio wanahonga wanaume
Ukifuatilia sana maandalizi ya mboga huwezi kulaMwaminifu kiaje ameisha kuambia alikuwa sio bikra na bado akachepuka na wanaume kadhaa akiwemo sugar daddy kipindi bwana wake yupo nje
Blaza kwahiyo body count haituhusu?Ukifuatilia sana maandalizi ya mboga huwezi kula
Asante kwa stori yenye mafundisho flani hivii..!!. Ila nimetafuta NUKTA kwenye habari yako lakini nimeikosa..!! Hapa nahema kwa kumaliza kusoma bila nukta.nikaanza kuvuta picha jinsi tulivyokutana had tulipofikia nilijikuta nalia sana, nililia halaf leo ananipigia anasema et kirahisi tu mume ni mm mumeo nikasema huyu sio mzima ana wazimu unamsumbua, sjui nilala saa ngapi kuja kushtuka kunekucha nikawasha sim nikaichaji nikahisi ile ilikuandoto tu nikapotezea mchana sasa naona msg inaingia umeshindaje nina uhakika uko sehem flan nineingia asbh naomba tuonane nikajisemea kumbe haikua ndoto ni kweli tukakutana sehem ambayo alinitongoza na kunimwagia nondo kwa mara ya kwanza jaman nililia kama nimefiwa na mzazi, nililia kusema siwez machozi yananitoka alikuja na washkaj zake na mdogo wake wakiume hata siwanon namuona yeye tu mm nalia ananibembeleza ananikumbatia amebadilika akaniambia tusogee pembeni akauliza unaendeleaje? nikamjibu namuangalia simmalizi namuuliza leo hii kwa nn ukanifanyia vile unajua nimepitia nn mm? unajua mambo yanayoendelea? ananikumbatia yan nikiwa naonhea nakabwa na hasira machozi kusema siwez ananikumbatia napata amana natulia mwisho akasema kesho tukutane sehem ni beach tupate lunch tutaongea nimerudi na nimerudi rasmi kwa ajili yako narudi kwetu nawaza kikuche tuongee sjamalizana naye, usiku wa deni haukawii kukakucha tukakutana kuanzia saa saba had saa kumi ni kula kuongea ananambia umenenepa sana lakini hapo tulizika rasmi tofuauti zetu tulifungua tena ukurasa mpya wa mapenzi akanielezea anasema wewe unajua ungeweza kunipotezea mm nilikua huwez kufanya hivo na nilikua nahngaika pamoja kwamba hatukua na mawasiliano mazuri lakini sikuacha kukutafuta had kwa watu wako wa karibu ndugu zako,naomba sana Mungu nikukute hujaolewa tu, hapo nikamwambia sasa ungefanya nn kama ungenikuta nimeolewa, akasema ningekutorosha, tukacheka,najua upo upo usijali nimerudi na wakat huu siondoki tena nataka nikuoe sasa ukirudi nyumbani ongea na mama yako mgusie utanijibu niko serious, nawaza mambo mengi sasa huyu mbona anapeleka mambo mbiombio hapo ni 2018 kwwnye oktoba hivi mimi najikaza hasa namwita mama namwambia nimepata mchumba anataka kunioa ameniambia nikuambie ajue hatua anazotakiwa kupita anioe, mama yangu alikua amelala kwenye sofa aliamka akakaa vizur habari imuingie, nikashusha pumzi nikamweleza tena akasema ngoja nitamwambia kwanza baba yako ni nani anaishi wapi ni kabila gani, sjui nilipata wapi ujasiri nikamjibu haijalishi kuhusu kabila wala yeye ni mtu wa wapi mama hayo hayana maana mimi huyu ndio chaguo langu, mama yangu akaniangalia hakujibu kitu na kitu kingine mm na mama yangu hatuivi sana muda mwingi kila mtu na mambo yake saa zingine anaweza mkaamka mtu kakununia bas kipindi niko na huyo shemeji yenu alikua ananipa sana amani ananituliza na natulia, nikaona huyu mama anataka kunipeperushia njiwa niliyemfuga mwenyewe kwa muda mrefu ,skupata jibu direct lakini nikamwambia nineshamwambia mama kasema ataongea na baba, siku zinakatika sijibiwi baba kasema nn mimi tena nishamsevu mchumba jina jipya akipiga niko huru kabisa kuongea sijifichi tena, sasa baba yangu alikua anaumwa na nakumbuka sikujua kama ni serious sana alikwenda kupata matibabu zaidi, kumbe hizo habar hata mama sjui kama alisema au la lakini mzee wangu akafariki, tukazka na ikatokea kama coincidence baba yangu mkwe n baba yangu wana unasaba so alikuja kuzikwa ilibidi mzee aletwe alipotaka kumalizia uzee wake tukazika, maish sasa yakabadilika tuna mama tena hana bazi tunamtegemea yeye kwa kils kitu sasa kaz at least nna mtu ambaye ananisupport ilibidi tu wazee wake waje wapose tukafuata taratibu bi mkubwa akaniozesha hiyo ilikua dec 2018 had leo tupo pamoja tumevuka vingi nimefupisha story mana visa n vingi hapo katikati, lakini iko hivi mwanaume anakwambia mimi ndio najua kwa nn nakuoa na kwa nn nimekubali kuanzisha familia n ww kaa tulee watoto tuzikane maisha ndio haya haya, nilijiambia pia huyu ndio mtu abaye nilitaman aje awe mwanaume wa maisha yangu, hakuna kigeni nisichokijua chini ya jua hili,natakiwa kutuliza akili namjua ananijua tunafahamiana vya kutosha so dec 2018ndio tulipoana had leo hii tuna watoto wawili sjawahi kumhesabia makosa, ni mwepes wa kusamehe i dont care anaishije nje ya ndoa yetu ninachoangalia he respects me, anajus kutimiza wajibu wake kama baba kama mume, kuna muda tukikaa hivi tunakumbushana story za nyuma tunacheeeka ndio tunakumbuka daah kumbe tumekata miaka sio haba tuna watoto wawili wakike wote tumewapata baada ya kuoana alijua kunimezesha ptwo yan huyu ubavu wangu haukunywewa supu kabisa ni sahihi Mungu amenipa yule niliyemtaka niliyemataman enz hizo nilikua najiambiaga nipate mume ambaye tutaendana so jaman watu wema wapo, sisemi ndoa yangu ndio ndoa bora kuwah kutokea tunahitiliafiana lakini ni mara chache na zenye kuhesabika tunachojali ni amani furaha siwi kikwazo cha kumkosesha furaha na sipendi akose raha Mungu anitunzie huyu mume wangu, aamin
mwisho.
Maji yalikuwa yanatoka kwa presha kali yalinitekenya kiharage nikaogopa sikurudia tena..!! πΉπΉπΉushawah kwenda washroom ukakikuta kile kidude kama kibomba kinaflash maji aloo nilikua nikikita kile lazima nifike sehem nisiojua lazima nikifanyie kaz hahaha
SIna hela mwaya za kuchezea na sina helana wew anza hyo tabia...utanishukuru baadae
mimi kuna raha flan nilikua naisikia bas naweza ingia washroom hata mara mia utasema naharishaMaji yalikuwa yanatoka kwa presha kali yalinitekenya kiharage nikaogopa sikurudia tena..!! πΉπΉπΉ
natumia sim bas shughuli ni nzito kuandika paragraphs pole weAsante kwa stori yenye mafundisho flani hivii..!!. Ila nimetafuta NUKTA kwenye habari yako lakini nimeikosa..!! Hapa nahema kwa kumaliza kusoma bila nukta.