Kwenu wanaume wema: Bado mpo na Mungu, awape maisha marefu sana sana!!

Ila kuna aina ya ugumu kidogo mtu unakuwa naonl, unakuwa sio yule wa mwanzo mpaka ichukue muda uone kweli huyu niliye nae upendonwake si wa uongo 😊
s unakua unabeba tahadhari mguu nje mguu ndani
 
Uandishi wako upo shagalabagala ila unajua, I wish ningepata mwanamke mwaminifu na anaependa kweli kama wewe. Let the search continue..
 
Uandishi wako upo shagalabagala ila unajua, I wish ningepata mwanamke mwaminifu na anaependa kweli kama wewe. Let the search continue..
Mwaminifu kiaje ameisha kuambia alikuwa sio bikra na bado akachepuka na wanaume kadhaa akiwemo sugar daddy kipindi bwana wake yupo nje
 
Aamin Aamin Aamin
 
Kwahiyo
Sugar daddy alikuwa anakuchanua anavyotaka da
 
Kumbuka sasa unaweza kupima kilo Moja ya nyama kwa kutumia simu janja.
 
Asante kwa stori yenye mafundisho flani hivii..!!. Ila nimetafuta NUKTA kwenye habari yako lakini nimeikosa..!! Hapa nahema kwa kumaliza kusoma bila nukta.
 
ushawah kwenda washroom ukakikuta kile kidude kama kibomba kinaflash maji aloo nilikua nikikita kile lazima nifike sehem nisiojua lazima nikifanyie kaz hahaha
Maji yalikuwa yanatoka kwa presha kali yalinitekenya kiharage nikaogopa sikurudia tena..!! 😹😹😹
 
Nimesoma kidogo sijaona ulipoomba afu 15 ya kusukia. Itakua ndio sababu umeipata ndoa.

Pia wakati mwingine jitahidi hata kaparagraph kamoja kupongeza Serikali ya Mama.
 
Maji yalikuwa yanatoka kwa presha kali yalinitekenya kiharage nikaogopa sikurudia tena..!! 😹😹😹
mimi kuna raha flan nilikua naisikia bas naweza ingia washroom hata mara mia utasema naharisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…