Kwenye mfumo dume hakuna kitu kinaitwa Ushoga

Kwenye mfumo dume hakuna kitu kinaitwa Ushoga

Kwa zama za sasa tukubali tu "A woman can never raise a man"

Hapo zamani iliwezekana sababu mtoto alikua mali ya jamii. Ila kwa sasa ni uongo mwanamke hawezi, wanaume jukumu la kulea watoto wa kiume ni letu.
 
Mwenye sikio na asikie,unakuta jitu lenyewe hela halina alafu linalea watoto kimayai mayai pumbavu kabisa!
Ila leo umepiga kwenye mshono

Ndio maana siku hizi kijana anaona shida kutembeza dagaa, au Katanga au kusukuma toroli ili ajiingizie kipato, kisa anaogopa kupauka, anataka kazi laini.
 
Km huyu OP ndo ana aminiwa akili kubwa, na hii post yake ndo inaonekana mkombozi wa alicho kusudia kuandika.

Basi Ushoga utazidi kukua na kuenea kwa kasi hapa Nchini. Yaan hii ndio akili ya wabongo ktk pingamizi juu ya suala la ushoga.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipooo. Mtatesekaaa sanaaaa, poleeeeni.
kwahiyo wewe unataka muongezeke sio
 
Ni haki ndio kwakua maumbile nimezaliwa nayo mwenyewe japo mimi sio shoga ila siwezi mpangia mtu mwili wake, swali langu ni kuwa unajuaje ushoga ni mbaya ushawahi kujaribu?
20220731_082243.jpg
 
Kwa zama za sasa tukubali tu "A woman can never raise a man"

Hapo zamani iliwezekana sababu mtoto alikua mali ya jamii. Ila kwa sasa ni uongo mwanamke hawezi, wanaume jukumu la kulea watoto wa kiume ni letu.

Uislam unasema mtoto wa kiume akifikisha miaka 7 anatakiwa awe karibu na Baba yake
 
Mdogo angu Robert Heriel kwanza shkamoo.

Pili nakubaliana na wewe kwamba chanzo cha yotr haya sio wanawake ila tatizo ni letu sisi wanaume kushindwa kusimama kwenye nafasi zetu mpaka kupokwa maamuzi na ushawishi na hawa wanawake kwenya familia na jamii kwa ujumla
 
kwahiyo wewe unataka muongezeke sio
Waongezeke mara ngapi sasa? Na wamejaa teleee.
Mnaishia kulia kwenye keyboard, tokeni hadharani kupinga km mnaweza.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Waongezeke mara ngapi sasa? Na wamejaa teleee.
Mnaishia kulia kwenye keyboard, tokeni hadharani kupinga km mnaweza.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tukikukamata wewe&Company tunawauwa hata kwa kuwawekea sumu. au kuwamwagia tindikali huko makalioni
 
Mapunga yapo mda sana, kwasasa ni kwamba yanajitangaza waziwazi.
Miaka yetu mtu unatangazwa unatafuna punga kumbe kwako wewe ni mshkaji na mnaonana,mnaenda out kula mnaenda club fresh tu hafanyi hata huo ushogashoga wake.
We unakua labda mgeni sehemu hiyo kumbe watu wote wanamjua.
Inakuja tu mlevi mmoja anaropoka we unampakua yule jamaa ndo unashtuka.
Katika kipindi chote uko naye hujawai hata kuwaza km anashiriki mambo hayo.
Unamwona tu mstaarabu mwenzio ndo mana mnaonana.
Badae unafwatilia yes jamaa ni kweli yuko ribbon.
 
Back
Top Bottom