Kwenye mfumo dume hakuna kitu kinaitwa Ushoga

Kwenye mfumo dume hakuna kitu kinaitwa Ushoga

Km huyu OP ndo ana aminiwa akili kubwa, na hii post yake ndo inaonekana mkombozi wa alicho kusudia kuandika.

Basi Ushoga utazidi kukua na kuenea kwa kasi hapa Nchini. Yaan hii ndio akili ya wabongo ktk pingamizi juu ya suala la ushoga.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipooo. Mtatesekaaa sanaaaa, poleeeeni.
Kukukosa kwenye mada kama hizi ni sawa na kuzikosa ndevu msikitini.
 
AAcha
Ila mkuu yote ya yote kuwa na mwili wa kiume ni muhimu unakuta mwanaume kabsa anatumbo la kike na tovu kma la pisi kali , mkuu mazoezi ni muhimu mno .
Acha ujinga wewe, stamina inahengwa kwa kufanya kazi!
 
Back
Top Bottom