Kwenye mfumo dume hakuna kitu kinaitwa Ushoga

Hivi kuna mkurya au msukuma au mmasai shoga?? Wale waliokulia huko vijijini acha hawa wa dar..

Hiyo haiwezi kutokea,
Msukuma au mkurya na jamii zenye mifumo ya kibabe haiwezi kutoa vitu vya hivyo. Labda wakulie mjini. Au wachanganye makabila
 
Leo umepiga kwenye mfupa, nakubali kabisa baba lazima uwe mtata, baba uwe mkaksi kweli hata mama watoto akileta za kuleta anachezea kelbu mbele ya watoto wake, yan uwe mbogo kweli. Masuala ya kuleta usawa, mambo ya usawa ni kwenye kununua viwanja huko kila mtu akajenge kwenye mpaka wake, au barabarani huko kila mtu apite kwenye site yake.

Linapo kuja suala la malezi Mwanaume ndo anae andaa watoto wake kuwa wapambanaji wa taifa la kesho. Usitarajie kuona baba alie lishwa limbwata na mkewe akawa na kauli kwa mke au watoto wake. Na hawa wanawake wanao roga waume zao nao wakishtukiwa na ndugu wa mme wanatakiwa kuwajibishwa haswa ikibidi kuachwa kabisa. Wanawake wameharibu sana wanaume kwenye sekta ya familia kwa ushirikina, viburi na dharau kwa wanaume.

Ninapo ona mwanaume mtata na mkali kwenye familia yake huwa nafurahia, kwasababu anajenga misingi mizuri kwa watoto wake hapo kesho, huu ukali uwe katika mambo ya kulenga malezi bora.

Single mamaz wengi hawawez lea mtoto wa kiume akawa imara ukubwani, wengi tunawaona wanakua watoto wa mama. Legelege hawana maamuzi., kila kitu anasema "U know my momy".. Mfumo dume ndo suluhisho katika kuhakikisha watoto wananyooka.
 

Wanaume wengi wenye Misimamo na kusimamia nafasi zao kama wanaume husema Mzee alikuwa Mkoloni vibaya mno
 
Hayo yote uliyoandika ni ukweli usiopingika haya masuala ya 50/50 ndiyo yameleta mlezi mbovu. Baba akikemea kitu au kumuadhibu watoto mama anakuja juu. Na hapo baba akipotezea ndiyo familiainakuwa ya hovyo. Mama ndiye mwenye Sauti analea watoto wote kimayai. Hapo ndipo shida inapoanzia.
 
Wanaume wengi wenye Misimamo na kusimamia nafasi zao kama wanaume husema Mzee alikuwa Mkoloni vibaya mno
Mimi binafsi namshukuru sana mzee wangu alikua mtata sana leo hii najiona nilivyo. I must be the same to my son to make sure ananyooka pia.
 
Dunia ilianza kuaribika pale iliporuhusu haki sawa. Eti ndoa ikivunjika mnagawana mali, mke apigwi na ukimpiga anakushitaki, sasa tunalalamika nini kuhusu ushoga wakati tumeruhusu mengi yasiyoendana na nature ya Dunia hii?
 
Pole Sana Mkuu.
Ahsantee
Mfumi dume unampa mwanaume ulinzi urijali ukuuu
Mfumi dume ndo mfumo rasmi mzuri wa Malezi
Mfumi dume ndo mfumo unajenga familia ,mgawanyo wa kimajukumu kati ya ke na me
Mfumi dume ndo mfumo ni mfumo wa kutengeneza familia zenye misimamo,Heshima utu na uadilifu vizazi bora
Baba lazima awe baba na mama lazima awe mama

Hakuna usawa kati ya mwanaume na mwanamke mpk Dunia iishe
Mwanamke kujifanya mwanaume ni ukosefu wa akili na vivyo hvyo Kwa mwanaume pia
Mwanaume na mwanamke anayeingiliwa ,anaeshabikia na kutetea vitendo vya mapenzi ya jinsia Moja wote ni wakosefu wa akili

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
siku namtafuta mwenzio namwagia tindikali nikiwa namrekodi live,,,ili watanzania wajue ushoga hatuutaki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utaenda wee kuliwa na manyapara gerezani.
 
Waongezeke mara ngapi sasa? Na wamejaa teleee.
Mnaishia kulia kwenye keyboard, tokeni hadharani kupinga km mnaweza.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu mbona kma unashadadia hii ktu ?
 
Kwa zama za sasa tukubali tu "A woman can never raise a man"

Hapo zamani iliwezekana sababu mtoto alikua mali ya jamii. Ila kwa sasa ni uongo mwanamke hawezi, wanaume jukumu la kulea watoto wa kiume ni letu.
Mama humlea mwanawe toka utoto hadi ujana. Ni jukumu la Baba kumtoa kutoka ujana na kumfanya mwanamume!!
 
Upinde wako kila mahali.... hata huku mitandaoni
Mkuu kuna uwezekano kabisa kuna wanaojitambulisha huku kama wanawake ila unakuta ni madunga nyembe , kuna I'd za wadada wengi tu zina sound sauti za kiume kwenye comments .
 
Umeandika ukweli mkuu wangu Robert. Japo labda wengine wanaweza kuitafsiri kwa maana ya kuwa wanaume tuwe wakatili kwa wake na watoto lakini sivyo.

Msisitizo ni kuwa tusichekee masuala ya ajabu ajabu. Na tusidekeze wake au watoto kiasi cha kuwafanya wawe mtorojo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…