Kwenye mfumo dume hakuna kitu kinaitwa Ushoga

Kukukosa kwenye mada kama hizi ni sawa na kuzikosa ndevu msikitini.
 
AAcha
Ila mkuu yote ya yote kuwa na mwili wa kiume ni muhimu unakuta mwanaume kabsa anatumbo la kike na tovu kma la pisi kali , mkuu mazoezi ni muhimu mno .
Acha ujinga wewe, stamina inahengwa kwa kufanya kazi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…