Kwenye msafara wa Kiserikali wa Rais Dubai, Shaka ana nafasi gani?

Tatizo machogo mnasahau sana sana,njooni Unguja na pemba mutiwe fahamu

Hivi mmesahau ule msemo usemao kwenye msafara wa mamba na kenge wamo?
 
Acha upuuzi we jamaa,

Bandiko lako la matangazo ya vitabu weka jukwaa la matangazo.

Shaka hujui kama ni mwana wafalme.

Si tushapigwa nyuma Mwiko tukubali tu.

Ukienda mbele mwiko.

Ukirudi nyuma mwiko.

Kushoto mwiko

Kulia mwiko.

Mama yenu anaifungua nchi.
 
Ni zamu ya wazanzibari kula jasho la watanganyika
 
Mzee Yeriko, huyu atakuwa na kazi kama ya mpambe wa Mswati ya kuimba sifa.........si unajua chifu lazima uwe na mpambe.
 
Na Mrisho Mpoto nae alikua ameenda Dubai eti kuhamisisha uwekezaji Yani hadi aibu .Sasa badala ya serikali kupeleke watu wenye uelewa na mambo ya uwekezaji wanampeleka Mpoto ambae akimuona TAJIRI anajua kama Malaya Mana sio kwa kijipendekeza huko.

Mrisho Mpoto ni hatli Sana eti Jana analie mjomba wake wa damu kafariki kifo Cha babake GSM mtu kama huyu sio mwema kabisa jamaa Anapenda hela za bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…