Kwenye msafara wa Kiserikali wa Rais Dubai, Shaka ana nafasi gani?

Hakuna mtanzania mjinga kama hivi, wewe tunakujua ni mpemba
Duuh 😳😳🤣🤣🤣

Wanaonijua wanakucheka kweli ha ha ha ha ha unataka kunijua kwetu?!!!

Nyanguge Madukani na Matema Kyela.....

Kweli wewe ni mjinga 🤣🤣🤣
 
Jamani wa-Tanzania kwa kuoneana wivu? Kwani yeye alijipeleka? Si atakuwa ALIAGIZWA awepo kwenye msafara?
 
Kumbe unawaadaa watu ili upromote app yako…Siku hizi chadema hamna mvuto mmekosa hoja za msingi
 
Yericko huyo...

Wivu wa Yericko huo.....
Tuna viongozi ambao wakati mwingine huwa tunawashangilia tukiwaona kwenye majukwaa, lakini rohoni hata hatuwapendi. Yaani ikitokea kwa mfano Mama hapa alipo aamue kuwa anateau baraza jipya kila mwaka, sura mpya kila mwaka, hapo sasa ndiyo utaona walio wengi wetu meno yote 36 nje.

Wengi wetu hatuna qualities za kuwa viongozi, na wachache wetu tu ndiyo wanazo. Still, hao walio nazo bado tena hatutaki waendelee kuwa viongozi, sijui ni kwa nini?
 
Alienda KUBATANIZ
 
Yericko naye MSANII?!!!

Kwani alionekana sana kule NGOME YA CHADEMA mitaa ya mbezi beach kwa "ULIPO TUPO" baada ya KUHAMIA CHADEMA......

#Siempre JMT🙏View attachment 2136000

Hudhani kama ungelikuwa umejielekeza kujibu hoja ya kuwa "Komredi Shaka alikuwa pale kama nani" ungekuwa umejitendea haki zaidi?

Yumkini hoja yako si ingesikilizwa mkuu?

Hii ya kumjadili mleta hoja unadhani itaweza kweli kujibu hoja ile ambayo kwa hakika ingalipo?

Kumbuka mkuu kina yakhe tungependa kujua kulikoni Mh. Shaka pale?
 
Ndio maana chama bora Afrika kinazidi kuwa bora kwa kutuletea chuo cha UONGOZI JULIUS NYERERE pale Kibaha....
 
Wakati wa kula bata!!

Mbowe angekuwa Raisi,harafu wewe ndio chairman wa vijana Chadema,angekuhalika kwenye Huo msafara ungekataa??acheni unafiki.

Huyo ni chairman wa uvccm,ni ofisa mkubwa kwenye chama,anaweza kuwa kiongozi mkubwa serikalini kwenye utumishi,lazima kwenye dhifa kama hii awepo
 
Ndio maana chama bora Afrika kinazidi kuwa bora kwa kutuletea chuo cha UONGOZI JULIUS NYERERE pale Kibaha....
Mimi ninachojaribu kusema hapa ni kwamba tatizo halipo kwa viongozi, ila kwa wanaoongozwa. Wanaoongozwa ni wanafiki, hawawapendi viongozi wao toka rohoni. Wanatamani viongozi hao hata wawe wanafukuzwa mara kwa mara
 
je nikishajiunga na hyo app yako hvyo vitabu ntakhwa na uwezo wa kuvi appload au ni lazma kuvisoma ndani ya app?maana hicho cha ujasusi nilikitafuta sana nkatoka empty
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…