Kwenye msafara wa Kiserikali wa Rais Dubai, Shaka ana nafasi gani?

Mimi ninachojaribu kusema hapa ni kwamba tatizo halipo kwa viongozi, ila kwa wanaoongozwa. Wanaoongozwa ni wanafiki, hawawapendi viongozi wao toka rohoni. Wanatamani viongozi hao hata wawe wanafukuzwa mara kwa mara
Unafiki hauondoki bila ya kukumbushwa uzalendo kuntu....

Mitaala ya shule imebadilika....hawa watoto wadogo watakuwa ni wazalendo kuzidi kizazi chetu kilichozaliwa miaka ya 80 mpaka ya 2000......
 
Unafiki hauondoki bila ya kukumbushwa uzalendo kuntu....

Mitaala ya shule imebadilika....hawa watoto wadogo watakuwa ni wazalendo kuzidi kizazi chetu kilichozaliwa miaka ya 80 mpaka ya 2000......
Na iwe hivyo, Amina
 
Ana Sura nzuri, anapendeza, atavutia wawekezaji!
 
matumizi mabaya ya kodi zenu. ccm ni mchwa unashangaa nn?
 
Threads za kipumbavu zinaanzishwa kila siku humu JF kuponda kila hatua ambayo Rais SSH anafanya. Halafu eti Yericko Nyerere naye ni mtunzi wa vitabu vya KIJASUSI.

Tafuteni mada fikirishi siyo haya maongezi ya jikoni
Ungeziketa wewe hizo threads fikirishi wala tusingesoma za huyo YN
 
Kwani M/kiti wa Taifa wa CCM wamesharuhusu siasa za kwenda kwa wananchi kuwapa hiyo elimu? Wewe Kamanda uliyechoka vipi tena?
 
Polepole nadhani Yuko na hasira na Mwenyezi yoyote wa fisiemu
 
Hapo ni kulipana posho tu
 
Lipia tangazo.Unaingia kijanja kwa gia ya kuulizia kuhusu Shaka kumbe unatuletea tangazo !
Wacha janja janja lipia tangazo.Peleka kwenye mada za biashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…