Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Endelea kumpa sifa ambazo hana. One day utaangukia kwa mwenye sifa hizo 😅
 
Watu8 kasema hapo juu eti mashangazi Hadi tuchemshiwe maji ya moto ndio tupate joto mi nikazooom tu nikasema hiiiiiiiiiii huyu siku akinasa Kwa mshangazi Mmoja atajua alichelewa kujua
Huyo Watu8 itakuwa alitoka na mbibi wa makamo, akahisi ni Shangazi. Siku akitoka na shangazi, lazima aje kuomba ladhi jukwaani 😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…