Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Si unaona ninavyocheka hata mademu wanavyokukataa 😂😂😂😂
Yule jamaa anajua nakwambia ukweli ohhh show show mpk nyau inatepeta 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Endelea kumpa sifa ambazo hana. One day utaangukia kwa mwenye sifa hizo 😅
 
Watu8 kasema hapo juu eti mashangazi Hadi tuchemshiwe maji ya moto ndio tupate joto mi nikazooom tu nikasema hiiiiiiiiiii huyu siku akinasa Kwa mshangazi Mmoja atajua alichelewa kujua
Huyo Watu8 itakuwa alitoka na mbibi wa makamo, akahisi ni Shangazi. Siku akitoka na shangazi, lazima aje kuomba ladhi jukwaani 😅
 
Back
Top Bottom