Hii style ya kuweka jina lingine ukifungua unakuta lingine mmeitoa wapi jamaniππMie nikasema ukute shemeji yangu anahujumiwa ngoja nimchungulie huyo mwamba wa kaskazini mara paaaap namkuta ni mwamba kweli umekamatikaππππ Hakunaga km mwamba wa kaskazini kwanza sijaona wa kumreplace kwenye nafasi yake!!
Ila nacheka hapa mbavu zinaniuma balaa, dada utaniponza ujue π€£π€£π€£
π€£π€£π€£π€£ ukafungua mbio mbio ufumanie!! Dada mpana wewe!! Hapo ushajipanga kukiwasha kwann anaibiwa ππππHii style ya kuweka jina lingine ukifungua unakuta lingine mmeitoa wapi jamaniππMie nikasema ukute shemeji yangu anahujumiwa ngoja nimchungulie huyo mwamba wa kaskazini mara paaaap namkuta ni mwamba kweli umekamatika
Ni mention sasaπKweli sasa natangaza kwamba mimi ndo Ma mjengo π
ππππ ahsante my lady, I love u more....
Bro mie mwenyewe nawait kutajwa na warembo wa jf nashukuru Demi kashanitajaEvelyn Salt amka unitaje
Bro ndoa lini? πππππππ ahsante my lady, I love u more....
Mpoki namfahamu, ila wewe ni mfupi ka mbegu ya Kitunguu maji π π€£Hujakosea kijana, pia kakitambi fulaniiii hivi kakuchomoza mbele na rangi ya mtu anaitwa mpoki,unamfahamu?π€£
Mwaka hauishi huu nachukua jikoBro ndoa lini? πππ
Sasa huku umenikazia ila leo usiku uwanjani nakugonga 3 - 0 na hata Parmer wetu hayupo ππ€£π€£π€£π€£ Nasikia burudani ninavyokukera hujui tyuuu!!
Nna hasira na ww kutusema wana The Gunners
Shangazi mbadi Madame B na wewe uko hivyoππππππSema mishangazi huwa inaweza shughuli na kudekeza...
Itakuwa hizi ndio mambo kina Analyse wanavutiwa nayo...
Hii comment bila picha hutaielewa π
View attachment 2971771
Harusi tunayo bro πππMwaka hauishi huu nachukua jiko
Halafu hebu nipm bro
Chelsea mtapoteana leo Arsenal ya moto, mliwafunga wale wale wajinga Man U huku mtakula vitasa leo π€£Sasa huku umenikazia ila leo usiku uwanjani nakugonga 3 - 0 na hata Parmer wetu hayupo π
Aisee pacha, ndo maana mama ali niambia ili Baki kidogo uni tafune tumboni.Waliokoka waliokufa pacha sisi tunapumzika, hafu leo kuna maji nimekunywa yana sumu π€£π€£π€£π€£
Kaka nime pata tag 3, nyingine zili futwa.Umefungua account mwezi huu, alafu unaitumia kujitag π π . Mdogo wangu punguza speed
Singo faza niliyekuzalisha nikakuacha kwa tabia zako za uchafu πKwa hiyo wewe umecoment Kama nan katika hao ulio wataja??
Kheee mbona umewahi mie birthday yangu 06/07