Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

😂😂😂😂 Hakunaga km mwamba wa kaskazini kwanza sijaona wa kumreplace kwenye nafasi yake!!
Ila nacheka hapa mbavu zinaniuma balaa, dada utaniponza ujue 🤣🤣🤣
Hii style ya kuweka jina lingine ukifungua unakuta lingine mmeitoa wapi jamani😁😁Mie nikasema ukute shemeji yangu anahujumiwa ngoja nimchungulie huyo mwamba wa kaskazini mara paaaap namkuta ni mwamba kweli umekamatika
 
Hii style ya kuweka jina lingine ukifungua unakuta lingine mmeitoa wapi jamani😁😁Mie nikasema ukute shemeji yangu anahujumiwa ngoja nimchungulie huyo mwamba wa kaskazini mara paaaap namkuta ni mwamba kweli umekamatika
🤣🤣🤣🤣 ukafungua mbio mbio ufumanie!! Dada mpana wewe!! Hapo ushajipanga kukiwasha kwann anaibiwa 😂😂😂😂

Dada yangu mpenda pesa hakunaga km wewe 😂😂😂
 
Kheee kumbe ni shemeji yangu Watu8 Unataka kula hadi mashemeji sijapendaaa

Happy birthday darling Missy Gf...

IMG-20240423-WA0019.jpg
 
Back
Top Bottom