Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wee udugu em niwacheee kumbe na avatar mfanano zilikuwepo?? Bi mdogo ana hekaheka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu, bi mdogo alijua kumrusha roho shangazii,
Nakuambiajee, avatar za mahaba, mahug makiss, yaan wanaweka same.

Ulichelewa wapiii weyeeee?? Mr miongozoo anajua kuchachafya masuria yake.
Yaan Hakuna kupumua, sasa bi mdogo huyu akawa na rafk ake na mwenzie tena, mara ikasemekana wote kawapitia, had huyo mwingne alitafutiwa kazi yeye na dadake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

JF sihamiiiiiiii
 
Weee!! Usinambie kwahiyo mashoga wakageukana?? Wakanyakuliana danga 🀣🀣🀣
Sasa kazi mpk leo anafanya aliyomtafutia miongozo?? Humu kumbe kuna ajira za pichu zinatolewa udugu!! 🀣🀣🀣
 
Nyie subirini nitafute wadhamini nianzishe kipindi cha kuwahoji memba humu. Na wa kwanza kunifungulia kipindi wewe na miongozo 🀣🀣🀣🀣

Haya sponsors mjitokeze tuyajenge nataka kufanya jambo humu.
Wewe anzisha interview, mbona hii session ipogi Humu😁.
Note: pacha USI anzishe vita ya maji maji 🀣
 
Wewe anzisha interview, mbona hii session ipogi Humu😁.
Note: pacha USI anzishe vita ya maji maji 🀣
Nataka iwe ya kisasa zaidi nipate wadhamini ili memba atakayehojiwa apate hata hela ya soda ili afunguke bila kona kona πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Na nataka wale mastar humu ndo nianze nao, wenye kashikashi zao.!!
 
Nataka iwe ya kisasa zaidi nipate wadhamini ili memba atakayehojiwa apate hata hela ya soda ili afunguke bila kona kona πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Na nataka wale mastar humu ndo nianze nao, wenye kashikashi zao.!!
Pacha wako siku ungi mkono, we mdada uta kuja kufukua makaburi Hadi ya wachungaji 🀣😁
 
Nyie subirini nitafute wadhamini nianzishe kipindi cha kuwahoji memba humu. Na wa kwanza kunifungulia kipindi wewe na miongozo 🀣🀣🀣🀣

Haya sponsors mjitokeze tuyajenge nataka kufanya jambo humu.
Em delete kwanza
Sitaki kuwa banned
Af tuendelee 🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…