TANZIA Lala Salama Ndugu Yetu Mkakaro Kagere Mkakaro

Na

Vero mwenyewe amemfanyia mbaya huyo mdogo wake Masha aisee Kuna wanawake wabovu Ila wana nanihii tamu sijui zinawasumbua watu.

Demu kamzingua sana huyo mdogo wa Masha nae baada ya mzigo kukata
Aisee kumbe, duuh kweli vero alishindikana
 
Uzi mujarabu...
Maziko lini? ili ndugu,jamaa na marafiki wapate kushiriki
 
Itakuwa kapigwa kipapai
 
Mleta mada kapicha basi hata kapamoja wengine hatumfahamu
 
Sio Kila anacomment hapa ana kitambulisho Mzee Wengine Tulisoma nae Chuo

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa mshamba sana kwahiyo kufahamiana na watu lazima uwe idara moja na unayemfahamu?

Mie mbona nawajua vipepeo wengi tu wengine nilisoma nao sasa haina maana kwamba nikimtolea taarifa ya ugonjwa ama msiba lazima nami niwe naye ofisi moja.
 
Huyo jamaa mshamba sana kwahiyo kufahamiana na watu lazima uwe idara moja na unayemfahamu?

Mie mbona nawajua vipepeo wengi tu wengine nilisoma nao sasa haina maana kwamba nikimtolea taarifa ya ugonjwa ama msiba lazima nami niwe naye ofisi moja.
Ushamba Mzigo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni sana familia ya Ntararagala Chilangi....Rest in Eternal Peace Fallen Soldier!
Pole sana kwao.
Wakuu tuwe na roho za Kibinadamu kwenye masuala yanayohusu Msiba, sote ni Wasafiri hapa Duniani si vema kumvunjia heshima Marehemu maaana kwa sasa hawezi kujitetea. Kikubwa tumwombee apumzike Mahala panapomstahili.
 
Poleni sana familia ya Ntararagala Chilangi....Rest in Eternal Peace Fallen Soldier!
Utakua ulimaanisha familia ya mzee Mtaragala Chilangi wa pale Kamunyonge jirani na kikosi cha kutuliza ghasia (FFU).
Enzi za uhai wa mzee Chilangi ukipita kwake unakuta vibao mlangoni kulingana na mahali alipo kwa wakati huo. Mfano wa vibao ni HAYUPO, AMELALA, KATOKA, YUPO, KAPUMZIKA, nk. RIP mzee Chilangi.
 
Mmmmh! Aliyefariki Kagere mtoa taarifa Onyango!!!


Pumzika panapokustahiri ndg Kagere!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…