Land cruiser VX V8 ni ndege ya chini aisee! Ndiyo maana viongozi hawataki kuyaachia

Land cruiser VX V8 ni ndege ya chini aisee! Ndiyo maana viongozi hawataki kuyaachia

land cruiser vx v8 hii gari isikie tu!

Hii ni ndege ya chini!
Ukionja hii gari unaweza ishauri serikali kuwe na leseni maalum kwa madereva wa hizi gari maana ni ndege ya chini wallah!

Nahisi ndiyo maana ilibatizwa Ushangingi maana ni kweli VXV8 ni shangingi la njia siyo uwongo!

Na ukitaka kuielewa vizuri panda kwenda safari ndefu ndiyo utajua TOYOTA HAPA ALITULIZA KICHWA.

Ulaibu wa hii gari ni viongozi wachache sana wakiafrika wanaweza kukubali kuushinda ili waachane kununua magari Haya ya gharama kubwa!

Zote zipo fiti ila hii land cruiser vx v8 2022 ni kiboko yao!
Ni gari bomba sana, very comfort, stable, luxury, High speed tolerance, sensor of crush, music system, massaging seat, sleeping sensor and much more!

Napata ugumu kukuelewesheni hii ya 2022 ilivyo bora na bomba ila kama kuna mtu yuko karibu na mwigulu nchemba anayo moja bado mbichi kabisa unaweza kuitizama ni mashine!

Land cruiser vx v8 inasifa moja kuu! INAOMBA NJIA MUDA WOTE!

Tunawalaumu bure viongozi wanavyopita pyuupyuupyuu huko barabarani siyo wao! Bali ni land cruiser vx v8 ndivyo inataka mambo hayo!

Naomba Mungu anijalie na mimi siku nimiliki yangu!
View attachment 2373415
Waendelee kuzitumia ila iwe kwa mifuko yao kuanzia manunuzi hadi matunzo ikiwemo mafuta
 
Hyo sio v8 ni v6
Wamehairisha v8 sababu za kimazingira

Ni kweli kabisa!

In June 2019 Drive interviewed Toyota Australia product planner, Bernard Nadal, who said: “You would see most brands are shifting down from V8s whether it be petrol or diesel configurations. It's generally in the pursuit of greater efficiencies and to reduce CO2 emissions, so that's the global trend.”

When asked this week for a comment about the end of production for the Toyota LandCruiser 200 Series, and what engine might power the next model, a statement from Toyota Australia said: “We are pleased to be experiencing strong demand for the (Toyota LandCruiser 200 Series), driven by recent increased domestic travel in off-road vehicles.
 
Mwamba uyu apa kama umepewa lift ya mkoa unaweza kulilia usishuke[emoji1787][emoji1787] kuna ndege ya ardhini alafu kuna hii Jet fighter LEXUS L570
1658221231206.jpg
 
Vxr v8 ni habari nyingine.

Hua najiuliza kwa nini serikali nyingi za kiafrika viongozi wanapenda hiki chuma, ni habari nyingine.

Hata viongozi wa ulaya wanatamani wangekua wanatumia Toyota sema kwa unafiki wa kuonyesha uzalendo unakuta wanalazimika kupanda magari ya kampuni zao.
Uzuri wa v8 ukipita kwenye matuta na machimo huyasikii
 
Mimi na IST huwa natembea hadi 150 usiku. Nikwa nasafiri napenda kutembea usiku kwa vile hakuna 50.
Kwa jinsi mziki wa IST ulivyo mtamu, sioni haja ya gari nyingine ya gharama kubwa.
Wengi wana magari mazuri but driving skills ni ndogo. Ni mwendo wa kuwatesa na magari yao huko bara barani. Wengine wanaojichanganya kuleta ligi, huwa wanaishia kuaibika.
 
Mimi na IST huwa natembea hadi 150 usiku. Nikwa nasafiri napenda kutembea usiku kwa vile hakuna 50.
Kwa jinsi mziki wa IST ulivyo mtamu, sioni haja ya gari nyingine ya gharama kubwa.
Wengi wana magari mazuri but driving skills ni ndogo. Ni mwendo wa kuwatesa na magari yao huko bara barani. Wengine wanaojichanganya kuleta ligi, huwa wanaishia kuaibika.
Hicho kiberenge IST unaomba ligi la V8 kweli? Au unatafta kupasuka bure msambwanda!
IST inachanganya 0 to 100km baada hapo inastaki na kupepesuka!
IST ni baby walker za mjini kuna rafiki yangu kamnunulia house girl apeleke watoto shule!
 
land cruiser vx v8 hii gari isikie tu!

Hii ni ndege ya chini!
Ukionja hii gari unaweza ishauri serikali kuwe na leseni maalum kwa madereva wa hizi gari maana ni ndege ya chini wallah!

Nahisi ndiyo maana ilibatizwa Ushangingi maana ni kweli VXV8 ni shangingi la njia siyo uwongo!

Na ukitaka kuielewa vizuri panda kwenda safari ndefu ndiyo utajua TOYOTA HAPA ALITULIZA KICHWA.

Ulaibu wa hii gari ni viongozi wachache sana wakiafrika wanaweza kukubali kuushinda ili waachane kununua magari Haya ya gharama kubwa!

Zote zipo fiti ila hii land cruiser vx v8 2022 ni kiboko yao!
Ni gari bomba sana, very comfort, stable, luxury, High speed tolerance, sensor of crush, music system, massaging seat, sleeping sensor and much more!

Napata ugumu kukuelewesheni hii ya 2022 ilivyo bora na bomba ila kama kuna mtu yuko karibu na mwigulu nchemba anayo moja bado mbichi kabisa unaweza kuitizama ni mashine!

Land cruiser vx v8 inasifa moja kuu! INAOMBA NJIA MUDA WOTE!

Tunawalaumu bure viongozi wanavyopita pyuupyuupyuu huko barabarani siyo wao! Bali ni land cruiser vx v8 ndivyo inataka mambo hayo!

Naomba Mungu anijalie na mimi siku nimiliki yangu!
View attachment 2373415
Sisi ngoja tu opt kwenye crown tu.hizi ni za kina mwigulu 😊
 
Mimi na IST huwa natembea hadi 150 usiku. Nikwa nasafiri napenda kutembea usiku kwa vile hakuna 50.
Kwa jinsi mziki wa IST ulivyo mtamu, sioni haja ya gari nyingine ya gharama kubwa.
Wengi wana magari mazuri but driving skills ni ndogo. Ni mwendo wa kuwatesa na magari yao huko bara barani. Wengine wanaojichanganya kuleta ligi, huwa wanaishia kuaibika.
IST ukila mzinga,uwezo wa kulala yoo ni Mkubwa sana, haya magari yaache tu Mkuu
Last year nilienda likizo Home nikapanda Fortuner new model ya Mzee ilikuwa mpya kabisa,hizi gari sio powa aise, sasa hiyo ni fortuner,sijui hii ya mleta mada ni tamu kiasi gani
 
Nilishangaa sana Wkt wa hii Vita ya Ukraine Boris(PM wa UK by then) alinunua landcruiser za kutosha na kuzipeleka Ukraine kusaidia Vita,sijui kwanini hakununua Gari yoyote Ile kutoka Landrover(UK) na kuzipeleka field. 😄😄.

USA nao wakapeleka LC 70 series huko Ukraine sijui kwanini hawakupeleka Ford,GM etc
Sasa ulitaka apeleke gari gani wakati chuma zote ni Luxury?
 
Back
Top Bottom