Lubebenamawe
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 1,973
- 2,239
Sasa wote tunalamba asali (in Makamba senior's voice).daah kuelekea uchaguzi Serikali za mitaa ndio haya mambo yanaibuka! Kama vile Muvi za kumkwamisha Mama naona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wote tunalamba asali (in Makamba senior's voice).daah kuelekea uchaguzi Serikali za mitaa ndio haya mambo yanaibuka! Kama vile Muvi za kumkwamisha Mama naona
Mkuu, hapo kwenye umbali wa Singida to Dom umetupiga [emoji28]Kufuatia latra kutangaza bei mpya za nauli za vyombo vya usafirishaji nchini, baadhi ya wananchi wamehoji iweje nauli kutoka singida to dodoma Kwa basi la daraja la kati iwe shilingi 86,000? Huku umbali wake ni takribani kilometer 1,208 hivi.
Ukiendelea kuichambua takwimu hizo Kuna makosa mengi ambayo inaonesha lATRA hawakuipitia takwimu hizo baada ya kuandaliwa labda na wanafunzi wa Field works.
Serikali naona hawataki kutuona tunarud mikoani kwetu kusalimia wazee. Sasa kwenda bk nauli ya kwenda tu almost laki 1 kutoka dsm hapo bado kula njiani na nauli za kunifikisha stendi... Maisha yanazidi kuwa magumu sasa.
mshahara bado laki 7 ile ile kwa mwezi
Serikali nayo iache upuuzi bhana.. hivi treni ya mwendokasi imeishia wapi?. Nauli imepandishwa mwaka jana mwezi aprili, leo tena nauli mnapandisha
. Hivi mnajua athari zake kiuchumi kweli?. Mama Samia usicheke na wafanyabiashara watakuharibia. Namkumbuka sana Magufuli kwa kweli.
Makonda c alipanda punda. Alionyesha majinga tutakavyoishi. Na kumsindikiza. Alivyoona wamemkubali. Ndo nauli imepandishwa
Msimlaumu, jioneeni wenyewe.Mkuu, hapo kwenye umbali wa Singida to Dom umetupiga [emoji28]
Kabla ya tarehe 8 Desemba nitatengua. Mwakani uchagizi serikali za mitaa
Hakika bado tuna safari ndefu. Aliyekaa na kutoa taarifa hii mpaka muda huu hapaswi kuwepo ofisini Hivi kutoka Dodoma hadi Dar ni umbali wa Kilometa 80? Dodoma hadi Morogoro kilometa 1,140!!? Pole sana watanzania na mimi nikiwemo. Chart tu ya Dodoma kwenda maeneo mengine imejaa madudu ya namna hii, vipi kuhusu maeneo mengine na yale ambayo hayako wazi kwa wananchi?Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) imetangaza mabadiliko ya nauli katika safari za masafa marefu na masafa mafupi baada ya kupitia maoni ya wadau wa usafiri nchini.
Kwa mujibu wa LATRA nauli za safari zisizozidi kilometa 10 ambayo nauli yake ilikuwa shilingi 500 sasa itakuwa 600. Kwa safari za kilometa 11 hadi 15 ambayo nauli yake ilikuwa shilingi 550 sasa itakuwa shilingi 700.
Kwa kilometa 15 hadi 20 ambapo nauli ilikuwa shilingi 600 sasa itakuwa 800 huku kwa safari za kilometa 21 hadi 25 nauli imetoka 700 hadi shilingi 900. Safari ya kilometa 26 hadi 30 nauli ni shilingi 1100, safari ya kilometa 31 hadi 35 ni shilingi 1300 na kilometa 36 hadi 40 nauli ni 1400.
Aidha nauli za wanafunzi zitaendelea kusalia 200 kwa safari za masafa mafupi.
Nauli za mabasi zimeorodheshwa kwenye jedwali hapa chini.
View attachment 2826735View attachment 2826734View attachment 2826733View attachment 2826732
Bado mwendokasi. Haya mambo ndio Wananchi uwa na hasira katika sanduku la kura lakini kwetu. Mahera aliharibu Tume ya Uchaguzi kapewa kuwa naibu Katibu. Watu wagomee uchaguzi ili watutawale wapendavyo.
Data data bro, kipindi cha magu mafuta 1,500 petrol, leo unazungumzia karibu 4,000.
4000 labda kigomq
Si mnasema linaupiga mwingi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Khee nunueni gari binafsi sasa