Lazaro Nyalandu ataongea na Watanzania kesho kuelezea udhaifu wa Upinzani kupitia kipindi cha Clouds 360

Lazaro Nyalandu ataongea na Watanzania kesho kuelezea udhaifu wa Upinzani kupitia kipindi cha Clouds 360

Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya kati na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho mh Nyalandu kesho 3/5/2021 asubuhi atazungumza na taifa kupitia kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na runinga ya Clouds.

Wananchi wote mnaombwa kufuatilia ili muyselewe madhaifu ya upinzani na hasa Chadema na kwanini CCM itaendelea kutawala kwa miaka 50 ijayo.

Maswali na hoja zenu zitajibiwa na mwanasiasa huyu nguli na aliyetegemewa sana na Chadema.

Kazi Iendelee!
Atumie nguvu hiyo hiyo kuuliza kwa nini umaskini upo mfumuko wa bei wananchi hawana uhakika wa matibabu
 
Ni oora agekaa kimya kulinda heshima yake, lakini kubwabwaja ni ishara ya kuonyesha ni jinsi gai usaliti wake unamtesa! Msaliti i msaliti tu hata angejisafisha na kuchafua wengie kwa kiasi gani!
Tulia awavue nguo wanachaduma,unahofia nini,alipokuwa huko chaduma aliongea na wanahabari kwahiyo na sasa ni bora akaongea nao
 
Ufipa wana mhaho sasa hivi, NYALANDU anataka kuinyea kambi. Ila mbowe ni sikio la kufa, halisikii dawa. Aache kuchukua oil chafu, mwisho wa siku anachafuka na yeye
Aeleze kwa nini tuna umaskini miaka 60 ya uhuru hatuna uhakika wa matibabu wafanyakazi hawajapandishwa mshara
 
Kumbe Nyalandu is very smart, alitoka CCM tena akatema ubunge akaenda Chadema baada ya ujio wa Raisi Magufuli.
Nao Chadema wakaangukia mtego wake,wakamsafisha kuwa sio fisadi,akawatendea mema wasimshutukie hadi akapewa sifa za kugombea uraisi,akishindana na Lissu.
Sasa amerudi nyumbani CCM tena kuna tetesi kupitia Kigogo 2014 kwamba atalamba teuzi kubwa.
Hata tembo na twiga ameishawatumia salaamu wameanza kukimbilia makazi ya watu.
 
Kama ni mwanamume kweli naomba muda ukifika agombee URais Kwa tiketi ya CCM.
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya kati na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho mh Nyalandu kesho 3/5/2021 asubuhi atazungumza na taifa kupitia kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na runinga ya Clouds.

Wananchi wote mnaombwa kufuatilia ili muyselewe madhaifu ya upinzani na hasa Chadema na kwanini CCM itaendelea kutawala kwa miaka 50 ijayo.

Maswali na hoja zenu zitajibiwa na mwanasiasa huyu nguli na aliyetegemewa sana na Chadema.

Kazi Iendelee!
Wafanyakazi tunadai nyongeza ya mishahara
 
images (4).jpeg
nchi ilipitia kipindi kigumu sana!
 
Ndiyo maana naamini kuwa kati ya wanasiasa wenye hekima, Lowasa ni miongoni.

Aliondoka CCM, hakupoteza muda wake kuisimanga CCM. Alitoka CHADEMA, hakupoteza muda kuisema.

MTU YEYOTE MWENYE AKILI TIMAMU, ATAMDHARAU MWANASIASA YEYOTE ANAYEJIFANYA KUANZA KUELEZA MADHAIFU YA CHAA CHAKE CHA MWANZO BAADA YA KUONDOKA AU KUONDOLEWA.
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya kati na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho mh Nyalandu kesho 3/5/2021 asubuhi atazungumza na taifa kupitia kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na runinga ya Clouds.

Wananchi wote mnaombwa kufuatilia ili muyselewe madhaifu ya upinzani na hasa Chadema na kwanini CCM itaendelea kutawala kwa miaka 50 ijayo.

Maswali na hoja zenu zitajibiwa na mwanasiasa huyu nguli na aliyetegemewa sana na Chadema.

Kazi Iendelee!
Clouds mna feli.
Mambo ya siasa za kishamba achaneni nazo.
Mtapoteza watazamaji kwa mambo ya kipuuzi.
Mie ni mtazamaji wa 360/lakini kesho sito angalia
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya kati na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho mh Nyalandu kesho 3/5/2021 asubuhi atazungumza na taifa kupitia kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na runinga ya Clouds.

Wananchi wote mnaombwa kufuatilia ili muyselewe madhaifu ya upinzani na hasa Chadema na kwanini CCM itaendelea kutawala kwa miaka 50 ijayo.

Maswali na hoja zenu zitajibiwa na mwanasiasa huyu nguli na aliyetegemewa sana na Chadema.

Kazi Iendelee!
Bado hamjajifunza tu. Jiwe yuko wapi? Wewe hauna uwezo wa kuona kesho na keshokutwa .mungu tu kwenye uwezo huo
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya kati na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho mh Nyalandu kesho 3/5/2021 asubuhi atazungumza na taifa kupitia kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na runinga ya Clouds.

Wananchi wote mnaombwa kufuatilia ili muyselewe madhaifu ya upinzani na hasa Chadema na kwanini CCM itaendelea kutawala kwa miaka 50 ijayo.

Maswali na hoja zenu zitajibiwa na mwanasiasa huyu nguli na aliyetegemewa sana na Chadema.

Kazi Iendelee!
Wakati mwingine ni bora uhame kimyakimya kutunza heshima yako. Alivyo hamia Chadema aliongea na wananchi akawaeleza mapungufu ya CCM, leo anaitisha press conference kuelezea mapungufu ya Chadema. Is he really serious?
 
Wakati mwingine ni bora uhame kimyakimya kutunza heshima yako. Alivyo hamia Chadema aliongea na wananchi akawaeleza mapungufu ya CCM, leo anaitisha press conference kuelezea mapungufu ya Chadema. Is he really serious?
Siasa ni sayansi bwashee, ngoja tumsikilize kwanza.
 
CCM itatawala milele mana upinzani wenyewe haueleweki.
Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya kati na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho mh Nyalandu kesho 3/5/2021 asubuhi atazungumza na taifa kupitia kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na runinga ya Clouds.

Wananchi wote mnaombwa kufuatilia ili muyselewe madhaifu ya upinzani na hasa Chadema na kwanini CCM itaendelea kutawala kwa miaka 50 ijayo.

Maswali na hoja zenu zitajibiwa na mwanasiasa huyu nguli na aliyetegemewa sana na Chadema.

Kazi Iendelee!
 
Back
Top Bottom