Lazaro Nyalandu: Tatizo kubwa la CHADEMA ni Uongozi wa juu, CCM imejaliwa mfumo

Mkuu ukihoji demockrasia ya chadema upo sawa kabisa. Lakini ukumbuke ni kama Jana tu kiongozi mmoja wa ccm kasema idadi kubwa ya wabunge waliopita ccm hawakushinda ktk kura za maoni.
Ninachotaka kusema hapa mkuu ni kwamba tunahaki ya kuhoji demokrasia ktk vyama vyetu lakini isiwe ni kwa sababu flank kasema.
Hawa viongozi wanaohama vyama wengi wanakuwa hawaaminiki kabisa.
Tuhoji demokrasia objectively kwa kuangalia uhalisia wa mazingira ya vyama vya siasa na namna ya uendeshaji wake.
 
Hao wanachama Safi huko chadema mnawatoa wapi? Mbinguni?
 
Uchaguzi wa mwenyekiti Kanda ya Kati mnafanya lini?

Kwani pakacha linapovuja nafasi za uchafu uliovuja huzibwa?

Umemsikia pamoja na kufurukuta kote hakuisha kukumbushwa, lini anarejea nyumbani? Hakuwahi kutakikana huko!

Kweli akufukuzaye hakwambii toka.

Hiiiiii bagosha!

Kwa hakika alikuwa kapotea maboya.

Hivi kweri mbona hamshangilii kuwa mmepata jembe sasa la kulimia kweri kweri?
 
Hii wataalamu wa soka tunasema amepiga BOKO, Leo Nyalandu amebokoa. Anasema;
1.Alipokwenda Nairobi kumwona LISSU hakulaumiwa na viongozi wa chama chake? Huu uongo anausema hadharani na vifungu vya biblia ni mahiri kunukuu japo hajui kifungu gani kunaendana na tukio lake.!! Anamdanganya Nani kama hata Wabunge waliokwenda gereza la Kisongo Arusha kumwona Lema walivyorudi wakalazimika kujiuzulu uongozi wa Kamati kwa maelekezo ya Mwenyekiti wa Chama? Labda amesahau au anajisahaulisha.
2.Anasema alipokwenda Chato kuzika alilaumiwa na viongozi wa CDM? Chama kilichotuma viongozi wakubwa zaidi yake kinawezaje kumlaumu kiongozi mdogo kwa kufanya walichofanya wa juu yake? Yaani mkeo na binti yako wanakuwakilisha kwenye harusi ya mtoto wa Dada halafu wakichelewa kurudi unamfokea binti yako na kumkumbatia mkeo? Hizo akili au ni tope?
3.Anasema tatizo la CDM ni uongozi na siyo wanachama wa kawaida? Hao viongozi wamechaguliwa na hao wanachama wa kawaida, au kuna mapinduzi ya kijeshi yalifanyika kuwasimika viongozi wa CDM?

Kama hakuwa na hoja waliomshauri akae kimya walikuwa sahihi.
 
Hadi leo ni miaka 15 tokea wapo chadema muulize yule twaha wa bavicha au mdude kwa nini hawajawa wajumbe wa kamati kuu
Hadi leo ni miaka 15 tokea wapo chadema muulize yule twaha wa bavicha au mdude kwa nini hawajawa wajumbe wa kamati kuu
kwani unataka wanachama wote wawe wajumbe kamati kuu
 
Kwa hio kawa kama Lowasa au hajawa kama Lowasa?
 
Lissu aligalagazwa vibaya Sana na nyalandu, Kamati kuu wanajua
Sawa kwenye kamati kuu. Je kwenye mkutano mkuu ilikuwaje. Kikwete alimgaragaza Mkapa hivyo hivyo. Lakini kura ziliporudiwa nini kilichofuata ?!
 
Hapo kachemka balaa labda hakunywa chai asubuhi
Nyalandu anasema ,wajumbe walikuwa 30,yeye alipata kura zote,na Lissu alipata kura 24,
Jamami kwani ukiwa ccm ndiyo unajitia akili zote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…