CHADEMA hapa tayari mmekwama na mmeonyesha huko kwenu HAKUNA demokrasia.
Nyalandu kumbe alimgalagaza Lissu ila mkatumia nguvu kumtoa, sasa uchaguzi mliufanya ili iweje?
Kwanini mlimpa fomu nyalandu agombee huku mkiwa na Mtu wenu tayari?
Kumbe Lissu kelele zote zile Hadi kwenye kamati kuu alipigwa na nyalandu?
Anasema pia viongozi wa chadema mlimtukana kisa kwenda kwenye msiba wa Magufuli, CHADEMA hamna maana kabisa. Nyalandu anaendelea kuwaumbua
Nyalandu kwa haya unayosema, nimekusamehe yote na bora ulivyorudi CCM kwa mama.
Nyalandu nimegundua ni Mtu makini sana.