Lazaro Nyalandu: Tatizo kubwa la CHADEMA ni Uongozi wa juu, CCM imejaliwa mfumo

Lazaro Nyalandu: Tatizo kubwa la CHADEMA ni Uongozi wa juu, CCM imejaliwa mfumo

CHADEMA hapa tayari mmekwama na mmeonyesha huko kwenu HAKUNA demokrasia.

Nyalandu kumbe alimgalagaza Lissu ila mkatumia nguvu kumtoa, sasa uchaguzi mliufanya ili iweje?

Kwanini mlimpa fomu nyalandu agombee huku mkiwa na Mtu wenu tayari?

Kumbe Lissu kelele zote zile Hadi kwenye kamati kuu alipigwa na nyalandu?

Anasema pia viongozi wa chadema mlimtukana kisa kwenda kwenye msiba wa Magufuli, CHADEMA hamna maana kabisa. Nyalandu anaendelea kuwaumbua

Nyalandu kwa haya unayosema, nimekusamehe yote na bora ulivyorudi CCM kwa mama.

Nyalandu nimegundua ni Mtu makini sana.

Hawa ndiyo Mwalimu (RIP mzee wetu) aliwaitaga "malaya malaya".
 
CHADEMA hapa tayari mmekwama na mmeonyesha huko kwenu HAKUNA demokrasia.

Nyalandu kumbe alimgalagaza Lissu ila mkatumia nguvu kumtoa, sasa uchaguzi mliufanya ili iweje?

Kwanini mlimpa fomu nyalandu agombee huku mkiwa na Mtu wenu tayari?

Kumbe Lissu kelele zote zile Hadi kwenye kamati kuu alipigwa na nyalandu?

Anasema pia viongozi wa chadema mlimtukana kisa kwenda kwenye msiba wa Magufuli, CHADEMA hamna maana kabisa. Nyalandu anaendelea kuwaumbua

Nyalandu kwa haya unayosema, nimekusamehe yote na bora ulivyorudi CCM kwa mama.

Nyalandu nimegundua ni Mtu makini sana.

Mbona hatusemi mama kapata kura 58%!!!then mnasema kapata 100%,,AU MNAFIKIRI HATUJUI?YAJAYO YANACHUKIZA NA KUFURAHISHA
 
Hata kama ni kweli ni jambo la jema kwa chama hasa ukiona mtu aliyepita hataweza mikimikiki, Kwa uchaguzi ule hivi Nyalandu angehimili unaenda ukerewe unafika sehemu ya kuvukia kivuko hakipo unapanda mtumbwi huyo angeweza unapita sehemu askari wanakupiga mabomu huyo angeweza au ndiyo angeishia kuunga juhudi

Anyway hata huko alipo sasa walifanya hivyo majimbo mengi walioshinda hawakuteuliwa kuwa wagombea ubunge
 
Huyo nyalandu mbona analeta mambo ya utawala wa shujaa yeye keshaunga juhudi atulie atambue kuwa SSH si sawa na jiwe ukiutukana upinzani unapewa cheo au uwaziri,Kama mwigulu ,silinde nk
 
Uchaguzi wa ndani ulikua Uchaguzi wa wazi, kwa vyoyote vila Nyalandu asingeweza kukaribia kwa namna yoyote ile kura alizopata Tundu Lissu Ndani ya Chama.
 
Ng'ombe Aliyekatika Mkia Machungani Akirudi Zizini Wenzake Watajua Hana Mkia. 😀😂😁🍷
JPM
 
Amesitilika atulie ukishasaidiwa shida yako ikiisha usiyaanike mabaya ya utokapo zaidi unajiharibia tu na kutoaminika.
Angehama kimyakimya kama matured wengine
 
Huyu Nyalandu alimkimbia jiwe! lililotaka kumsaga saga kwa kushiriki ujambazi wa mali asili zetu! CDM walikukaribisha kukuepusha na mkono wa jiwe ili akikufuata useme ni SIASA. Unatakiwa uwashukuru
Si hadi awe na akili hio.Mwanasiasa makini huwa Katu asemi mabaya ya alipohifadhiwa.
 
Huyu ndio wale Mwalimu Nyerere alisema "Wanatabia za Kimalaya malaya" yeye anafikiri Kila mmoja ni malaya malaya.
 
Back
Top Bottom