Lazaro Nyalandu: Tatizo kubwa la CHADEMA ni Uongozi wa juu, CCM imejaliwa mfumo

Lazaro Nyalandu: Tatizo kubwa la CHADEMA ni Uongozi wa juu, CCM imejaliwa mfumo

Nadhani Chadema Pia walishiriki Msiba sasa unaposema Uongo kwamba Walikushambulia kwa kweda Msiba wakati na wao walikuepo nashangaa sana Wanasiasa nyie..Nyie watu ni waongo sana..Siasa inaonekana kazi ya ajabu ya kiuogo uongo kwa ajili yenu.

MIMI sio shabiki wa chadema ila naona kama Mbowe akitoka upewe wewe ambae umekimbia siku mbili tu si ungewaulia chama chao??

NAO ni Wajanja walikustukia...
 
Chadema hapa tayari mmekwama na mmeonyesha huko kwenu HAKUNA demokrasia.
Nyalandu kumbe alimgalagaza Lissu ila mkatumia nguvu kumtoa, sasa uchaguzi mliufanya ili iweje?
Kwa nini mlimpa fomu nyalandu agombee huku mkiwa na Mtu wenu tayari?
Kumbe Lissu kelele zote zile Hadi kwenye kamati kuu alipigwa na nyalandu?
Anasema pia viongozi wa chadema mlimtukana kisa kwenda kwenye msiba wa Magufuli, chadema hamna maana kabisa. Nyalandu anaendelea kuwaumbua
Nyalandu kwa haya unayosema, nimekusamehe yote na bora ulivyorudi CCM kwa mama.
Nyalandu nimegundua ni Mtu makini sana.
View attachment 1771882
Mkuu' JK alishapigilia msumari long time "AKILI ZA KUAMBIWA, CHANGANYA NA ZAKO", Sisi tutaaminije hayo??

Mwenye akili na afahamu
 
Chadema hapa tayari mmekwama na mmeonyesha huko kwenu HAKUNA demokrasia.
Nyalandu kumbe alimgalagaza Lissu ila mkatumia nguvu kumtoa, sasa uchaguzi mliufanya ili iweje?
Kwa nini mlimpa fomu nyalandu agombee huku mkiwa na Mtu wenu tayari?
Kumbe Lissu kelele zote zile Hadi kwenye kamati kuu alipigwa na nyalandu?
Anasema pia viongozi wa chadema mlimtukana kisa kwenda kwenye msiba wa Magufuli, chadema hamna maana kabisa. Nyalandu anaendelea kuwaumbua
Nyalandu kwa haya unayosema, nimekusamehe yote na bora ulivyorudi CCM kwa mama.
Nyalandu nimegundua ni Mtu makini sana.
View attachment 1771882

Huyu muda wote alikuwa kwenye lile pakacha. Hata lilipovuja mchukuzi alikuwa na haki ya kufurahi.

Kuondoka kwake Chadema hakuna athari zozote.
 
Chadema hapa tayari mmekwama na mmeonyesha huko kwenu HAKUNA demokrasia.
Nyalandu kumbe alimgalagaza Lissu ila mkatumia nguvu kumtoa, sasa uchaguzi mliufanya ili iweje?
Kwa nini mlimpa fomu nyalandu agombee huku mkiwa na Mtu wenu tayari?
Kumbe Lissu kelele zote zile Hadi kwenye kamati kuu alipigwa na nyalandu?
Anasema pia viongozi wa chadema mlimtukana kisa kwenda kwenye msiba wa Magufuli, chadema hamna maana kabisa. Nyalandu anaendelea kuwaumbua
Nyalandu kwa haya unayosema, nimekusamehe yote na bora ulivyorudi CCM kwa mama.
Nyalandu nimegundua ni Mtu makini sana.
View attachment 1771882
Hao chadema walikuwa sahihi kumtosa! Na ushahidi wa yeye kuto kuaminika kama kada mwenzake Lowasa, ndiyo huu wa kurudi kwake nyumbani. Ingawa pia siungani nao kwa huu utaratibu wao wa kuwapokea makada wa ccm, na kuwapa vyeo vya kamati kuu na vile vingine vya kanda, na mwisho wa siku wanaishia tu kuwaacha kwenye mataa.

Ifikie wakati Chadema iwekeze kwa wanachama walio safi, badala ya kuendeleza tabia ya kuokoteza makombo kutoka ccm!
 
Akiwa 360 Clouds ameliongea hili leo na yuko live mpaka sasa,anasema tatizo lipo kwenye uongozi. Amesema wanachama wa chini kabisa hawana tatizo kabisa ,matumaini yao yanaharibiwa na uongozi wa juu.

Angalizo: Mbowe uongozi wako umeshindwa vibaya sana, achia ngazi

==================

“Nilipoenda nchi ya ugenini (CHADEMA) wimbo ulikuwa haumbiki kwa namna ambavyo nilikuwa naangalia matukio, ilipotokea Mheshimiwa Rais anaumwa kuna baadhi ya viongozi walijitolea wakasema huyu hafai aondoke tufurahi, ilikuwa inanikwaza kupita kiasi”

“Niliposafiri kwenda Chato kuzika mashambulizi ambayo yalikuwa yananipata, hayakutoka kwa wana-CCM, hayakutoka kwa wana-CHADEMA wa kawaida, yalitoka kwa baadhi wenye msimamo mkali, unamshambuliaje mtu alieenda kuzika kiongozi wake wa nchi?"

“Wakati wa matatizo ya Lissu mimi binafsi sikujali kwamba ni CHADEMA, nilimuona ni Mtanzania ni kiongozi mwenzangu kule Singida, nakumbuka hata Mhe Rais alienda pia kumuona. Lakini wanachama wa CCM kuanzia Rais hadi viongozi hakuna aliepiga simu au kututukana”

“Kuna mitihani ilitokea kwenye uchaguzi, kulikuwa na chaguzi za aina mbili, moja ilikuwa kupigiwa kura kwenye kamati, tunaenda kwenye Baraza Kuu. Kwenye Kamati Kuu Nyalandu alipata 100%, nilimgaragaza kweli kweli, kilichotokea viongozi wakasema Nyalandu asije akawa kama Lowassa”

“Uchaguzi wa mgombea ubunge Singida Kaskazini, wajumbe wamefika usiku ule kuanzia saa kumi na mbili watu wananipigia simu wananiambia mbona mgombea Urais wako hakutaki anasema kidogo umkoseshe kugombea Urais kule Dar es Salaam”

“Wana-CHADEMA watu wa kawaida wengi ni watu wazuri, ni watu ambao wanatamani nchi bora, ambacho wanawazidi wana-CCM wewe itisha mkutano watakuja kwa mguu, watatoka walikotoka, watajitolea katika hali ambayo hutoamini”

“Siasa sio matusi, siasa sio kukoseana heshima, sio kutukana kiongozi wa nchi, siasa sio kuwatukana wale unaotofautiana nao, ni kusema hoja zako mbadala”

“Chama Cha Mapinduzi kimejaliwa mfumo, kilivyotengeneza itifaki ya chama, namna ambavyo walitengeneza mfumo wa kutoa dukuduku zako, mfumo wa kuchaguana. Kina strength ya mfumo, naamini imani ya watu tukipeleka kwa public, mwananchi wa kawaida anatoa kura” -


Nyalandu alitumwa / alipewa KAZI MAALUM DHIDI YA CHADEMA.
 
Bora amenyimwa.
Kwani alipoenda huko alifuata Uraisi?
Angekua muwazi kama mzee Lowassa
Huyo ni sawa na mnyama alitekatwa mkia akiingia zizini wenzake humwogopa.
Nadhani angesema yale aliyokua amelalamikia yakamfanya aondoke ccm sasa anaona yatakwisha au yamekwisha.
Walio wengi wangemuona anamaana sana
 
Chadema hapa tayari mmekwama na mmeonyesha huko kwenu HAKUNA demokrasia.
Nyalandu kumbe alimgalagaza Lissu ila mkatumia nguvu kumtoa, sasa uchaguzi mliufanya ili iweje?
Kwa nini mlimpa fomu nyalandu agombee huku mkiwa na Mtu wenu tayari?
Kumbe Lissu kelele zote zile Hadi kwenye kamati kuu alipigwa na nyalandu?
Anasema pia viongozi wa chadema mlimtukana kisa kwenda kwenye msiba wa Magufuli, chadema hamna maana kabisa. Nyalandu anaendelea kuwaumbua
Nyalandu kwa haya unayosema, nimekusamehe yote na bora ulivyorudi CCM kwa mama.
Nyalandu nimegundua ni Mtu makini sana.
View attachment 1771882
"..Nyalandu alipata 100 wajumbe walikuwa 30 nilipata kura zote Tundu Lissu alipata kura 24 nilimgalagaza kweli kweli" . Ebu nieleweshe hii hesabu.
 
Back
Top Bottom