Legacy ya Magufuli Haiwezi Kufutika kwa Siasa Uchwara
Hivi ndugu zangu tumesahau kazi alizofanya huyu mwamba kwa ajili ya taifa letu?

Mbona hata UN wanakubali mchango wake wa nguvu kuleta maendeleo ya taifa lake kwa ajili ya wananchi wanyonge unajulikana.

Amesimamia barabara, reli, shule, hospital na zahanati na kudhibiti ubadhilifu.

Kumchafua hayati Magufuli ni kujichafua sisi kwa wananchi.
Macho yetu yaliyoshuhudia mambo yaliyotendeka tangu January 2016 hadi Desemba 2020 hakika tutaungana na Mwingira na Zitto.
Tazama:
1. Maiti kuokotwa kwenye viroba
2. Watu kupotea Ben Wa Saanane, Azory
3. Nyumba kuungua moto kimiujiza ... Nyumba ya Zitto
4. Mashamba kuharibiwa ...shamba la Mbowe, Zitto, ..
5. Magazeti kupigwa ban
6. Sabaya kupora mamilioni ya wafanyabiashara
7. Wanasiasa wa Uwanja wa Fisi kununuliwa kama njungu
8. Lissu kupigwa risasi mchana kweupe katika makazi yenye ulinzi mkali
9. Kupimana mikojo kusiko na tija
10. Clouds FM kuvamiwa na makiri kiri
11. Vifo vilivyotokana na stress za kutumbuliwa, kufukuzwa vyuoni na kuitwa vilaza huku malaika wa vilaza Jesi akiendelea kusoma
 
Ulitaka Watanzania wakuone wewe Hufai....

Jaribu kusema vibaya JPM.


Kuna watu waliamini kabisa, kua Kuja kwa Samia kutaleta unafuu mahali Fulani.


Maajabu, Maisha yamekua juu juuu .
 
Labda UN kwa bb yako
Hivi ndugu zangu tumesahau kazi alizofanya huyu mwamba kwa ajili ya taifa letu?

Mbona hata UN wanakubali mchango wake wa nguvu kuleta maendeleo ya taifa lake kwa ajili ya wananchi wanyonge unajulikana.

Amesimamia barabara, reli, shule, hospital na zahanati na kudhibiti ubadhilifu.

Kumchafua hayati Magufuli ni kujichafua sisi kwa wananchi.
 
Haya ni maoni yangu na mtu yeyote halazimishwi kuyapokea.

Sihitaji kurudia mazuri ya Magufuli. Tunajua alikuwa Rais wa watu aliyeongoza kwa ajili ya watu wa chini kabisa. Wazalendo wa Nchi hii hatuwezi kubabaishwa na kelele za wachache waliomchukia kwa sababu tunazozijua (e.g. u-puppet, kutumbuliwa, u-chadema, n.k). Na zaidi ya yote tunajua pia alitutoa kwenye “utumwa wa wanasiasa na viongozi wa serikali walafi na wauza nchi wasio na chembe ya kuwatumikia wananchi bali matumbo yao”. Kwa hiyo siasa Uchwara haziwezi kufuta Legacy ya Magufuri hata kama zikiongozwa na kigogo yupi kwa uwazi au kwa uficho.

Mbali na wananchi wachache waliomchukia kwa sababu za kisiasa au za binafsi, ndani ya CCM na serikali kumekuwa na majaribio yasiyofanikiwa ya Kumchafua “Hayati”. Nitaongelea Machache.

Report ya CAG – Iliwafanya watu wajulize wizi wa namna hii ulitokeaje chini ya Magufuli. Kinachoshangaza ni style ya kutoa hiyo report ilikuwa tofauti sana na siku za nyuma? Kabla Rais hajaiongelea na Bunge halijaijadili CAG “alipewa ruhusa ya kuichambua kwa kina kabisa” kitu ambacho sio kawaida uhuru huo kutokea. Bila shaka vigogo fulani kwa maslahi ya kisiasa walitaka kuonyesha JPM hakuwa such a great leader. Lakini ukweli unabaki kuwa report zote za nyuma JPM akiwa madarakani zilikuwa na mududu. Tofauti na sasa watu waliofanya madudu hayo walitumbuliwa immediately. Swali la msingi waliotaka JPM aonekane hafai walikuwa akina nani? Labda muhimu zaidi wasaidizi wa JPM (makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Waziri wa Fedha, Waziri wa TAMISEMI – aliyelaumwa sana wakati anaaapishwa na Magufuli, n.k) walikuwa wapi? Report hii haikufanikiwa kumchafua Magufuli bali wasaidizi wake kwa vile uongozi wa Magufuli dhidi ya Inneficiency na Corruption haukuwa na shaka.

Kelele za Bungeni – Baadhi ya makada na mawaziri wa zamani wa CCM waliotumbuliwa na JPM walijaribu kuchukua nafasi ya kifo cha JPM kuponda style yake ya uongozi na kujaribu kufuta legacy yake. Hakuna anayeweza kushangazwa nao kwa kutompenda Magufuli! Ni hulka ya mwanadamu kumchukia adui yako. Lakini swali muhimu hapa ni kuwa wapendwa hawa wa viongozi wa awamu zilizopita walitumwa na nani? Kwa nini wawe Cowards – kwa kutokuwa na ujasiri wa kupinga hayo yote wakati JPM akiwa hai? Inafurahisha kuwa bidii hizi hazikufika popote baada ya wabunge wenzao kuwapuuza na kufanya azimio la kupongeza legacy ya JPM.

Antony Dialo – Kama alivyosema Msukuma huyu “alitoa ushuzi chumbani na akajaribu kuuondoa kwa feni” kitu ambacho hakufanikiwa. Wote tunajua Diallo hakumpenda Magufuli kwa vile yeye na ‘matajiri wengi ndani ya CCM walipoteza influence kwa vile upiga deal uliisha Hata hivyo maneno yake makali sana tena yanayotolewa na kiongozi wa CCM wa Mkoa aliyekuwa chini ya uenyekiti wa JPM yanashangaza kiasi fulani? Sote tunajua wote walioteuliwa au/na kufanya kazi na JPM either “ALIWAAMINI” au “ALIWAPENDA”. Hakuwahi kuwa mnafiki. Diallo kuibuka leo na ‘literally’ kumtukana JPM ni ishara ya wazi “alitumwa”. Tunajua wote, huwezi kumsema kiongozi mstaafu au aliyetangulia (e.g. Nyerere au JMK) na wewe ni kiongozi wa chama ukabaki salama (ukaendelea na kazi za chama as if nothing happened). Sidhani kuwa Mwenyekiti mpya wa CCM amekuwa so democratic kiasi cha kupuuzia mambo kama haya? Hata hivyo wananchi na wana CCM wa ngazi za chini wamekemea upuuzi huu na kukumbushia mazuri ya JPM. Jaribio hili pia limeshindwa.

Kauli ya Mtaka – Kauli hii inaonyesha mwendelezo wa kuwa-harass waliokuwa-waminifu wa JPM. Naogopa kulisemea sana suala hili! Lakini kila mwenye macho anajua hatima ya watu waliokuwa karibu na walioaminiwa sana na JPM! Viongozi hawa (except wachache kwa sababu "mseto"!) wanatafutiwa style ya kuondoka bila wenye mamlaka kuchafua mikono yao. Kumsema Waziri tena openly mbele ya watu haiwezi kuwa bahati mbaya au tabia tu ya Mkuu huyo wa Mkoa. Ni ajenda ya makusudi kuondoa “remnants” za Magufuli. Sijasikia kakemewa na viongozi wake! Legacy ya magufuli haiwezi kuisha kwa kuwanyanyasa ‘wapendwa’ wake. Legacy yake iko mioyoni mwa watu waliojaza barabara na Stadiums tokea Dar es Salaam mpaka Chato. Legacy yake haifutiki kirahisi hivyo.

Mimi naona haya yote ni Siasa Uchwara, Ni woga (Cowardice) kwa wanaofanya hivyo kwa kujua Mamilioni ya watanzania walimpenda sana JPM akiwa hai na leo wanamkumbuka katika mengi sana kuanzia kwenye approach ya Corona, Upiga deal serikalini unaorudi kwa kasi na Budget isiyojali machungu ya wananchi. Leo tunarudi kwenye nyakati za “Mpende msipende Ndege ya Rais itanunuliwa hataka kama mkila nyasi”. Kutulazimisha kulipa kodi kubwa sana ya Transactions za Simu na kusema kuwa hilo lazima litokee bila shakani kiburi cha viongozi wa siasa wanaojiona miungu watu. Legacy ya Magufuli ni kuondoa kiburi hiki cha viongozi na kuondoa mizigo ya kodi kwa wananchi kwa kutumia vizuri kodi inayokusanywa. Hapa tutamkumbuka kama alivyosema.

Nimalizie kwa kusema kuwa kama baadhi ya viongozi wetu, waliopita au wasasa (ambao wengi wao wako hapo walipo kwa sababu ya JPM) KAMA hawakumpenda kiongozi wao au waliona madhambi yake na wakaogopa kusema , wasijifiche nyuma ya migogongo ya wapinzani wa JPM bali watoke hadharani waseme madhambi yake. Kama hawahusiki waje hadharani wawakemee watu kama akina Diallo na akina Mtaka.
Nina mashaka na uelewa wako juu ya neno legacy.

Kitu kama hukijui funga domo lako badala ya kuwalazimisha watu waamini kile unachokiamini wewe.

Pumbaf
 
Wapinzani wenzangu ni wabishi sana. Hasa wanaCdm wenzangu
Mnapombatiza usafi muuaji mnajipotezea Muda tu. Magufuli Kwa dini yake alipaswa kuwa Mtu mwema na matendo yake Leo yangeliunganisha Taifa. Lakini Kwa ubabe wa kijinga akaona njia rahisi ni kutawala Kwa mkono wa Chuma na kuumiza wote anaopishana nao kauli.
 
Nina mashaka na uelewa wako juu ya neno legacy.

Kitu kama hukijui funga domo lako badala ya kuwalazimisha watu waamini kile unachokiamini wewe.

Pumbaf
Lugha yako tu inaonyesha level yako! Too low.
 
Ninaomba anayeelewa anieleweshe watanzania walienda wapi kiasi cha kumfanya JPM kukosa kura mpaka akapanga kuiba au kujitangazia ushindi wake mwenyewe , wabunge wake na madiwani kwa nguvu?
 
Ninaomba anayeelewa anieleweshe watanzania walienda wapi kiasi cha kumfanya JPM kukosa kura mpaka akapanga kuiba au kujitangazia ushindi wake mwenyewe , wabunge wake na madiwani kwa nguvu?
Kwa uchaguzi wa 2020 kusema Magu aliiba eti kura labda muwe na tatizo la ukichaa kwenye ukoo wenu. Nakumbuka kwenye kuwanadi wabunge alitumia kauli tatu tu za mauaji;
1. Nipeni connection.
2. Msichanganye betri na gunzi tochi haitawaka.
3. Nipeni huyu wa ccm ninammudu mkinipa hao wengine hata wakiboronga nitashindwa kuwawajibisha.
 
Kwa uchaguzi wa 2020 kusema Magu aliiba eti kura labda muwe na tatizo la ukichaa kwenye ukoo wenu. Nakumbuka kwenye kuwanadi wabunge alitumia kauli tatu tu za mauaji;
1. Nipeni connection.
2. Msichanganye betri na gunzi tochi haitawaka.
3. Nipeni huyu wa ccm ninammudu mkinipa hao wengine hata wakiboronga nitashindwa kuwawajibisha.
Lakini kuna mahala alishangaa kwa nini watu wengi walijitokeza kumpinga kwenye nafasi ya urais
 
First, let’s not make the mistake of intellectual simpletons. We need to bow to the basic fact that Dr Magufuli is a rare breed.


But Dr Magufuli stood out in his humility and self-deprecation. He shunned wealth, and fame In a country where thieves are celebrated, and murderers elevated — Dr Magufuli is the one public servant who forsook worldly possessions. Mark 8:38 asks: “For what shall it profit a man if he shall gain the whole world and lose his soul?” Methinks the author in the good book must have had Dr Magufuli in mind.


The simplicity of this Societal and moral giant is the one thing that remains an enigma to me and many. He always roots for the little guy. He abhors hierarchy and disdains flamboyance, he was ruthlessly self-critical and accepted the harshest critiques of himself. He always puts himself last. He’s a rare breed.


Second, folks should know that Dr Magufuli didn’t want to become President. He laughed off the idea when it was first suggested to him. He was dead serious. And even after he was convinced to put his name to apply for the job, he almost backed out.

That’s because he’s uncomfortable with state power. I’ve never told him this — but I believe he thinks that state power atrophies the hearts of men and women, and turns them into predators. It’s possible that he was afraid he would become an ogre in that office.

That’s why he worked so hard to demystify the Executive, and bring the temple of Executive service delivery closer to the common folk. This cultural transformation may be his most important legacy.
RIP Dr Magufuli.
 
Ninaomba anayeelewa anieleweshe watanzania walienda wapi kiasi cha kumfanya JPM kukosa kura mpaka akapanga kuiba au kujitangazia ushindi wake mwenyewe , wabunge wake na madiwani kwa nguvu?
Je vipi na legacy uchwara yaweza futika au nayo itasalia
 
First, let’s not make the mistake of intellectual simpletons. We need to bow to the basic fact that Dr Magufuli is a rare breed.


But Dr Magufuli stood out in his humility and self-deprecation. He shunned wealth, and fame In a country where thieves are celebrated, and murderers elevated — Dr Magufuli is the one public servant who forsook worldly possessions. Mark 8:38 asks: “For what shall it profit a man if he shall gain the whole world and lose his soul?” Methinks the author in the good book must have had Dr Magufuli in mind.


The simplicity of this Societal and moral giant is the one thing that remains an enigma to me and many. He always roots for the little guy. He abhors hierarchy and disdains flamboyance, he was ruthlessly self-critical and accepted the harshest critiques of himself. He always puts himself last. He’s a rare breed.


Second, folks should know that Dr Magufuli didn’t want to become President. He laughed off the idea when it was first suggested to him. He was dead serious. And even after he was convinced to put his name to apply for the job, he almost backed out.

That’s because he’s uncomfortable with state power. I’ve never told him this — but I believe he thinks that state power atrophies the hearts of men and women, and turns them into predators. It’s possible that he was afraid he would become an ogre in that office.

That’s why he worked so hard to demystify the Executive, and bring the temple of Executive service delivery closer to the common folk. This cultural transformation may be his most important legacy.
RIP Dr Magufuli.
How many of us can stand to be counted together with you?
 
Back
Top Bottom