Legacy ya Magufuli Haiwezi Kufutika kwa Siasa Uchwara
Baada ya nyerere ........magufuli anafuata
Steve Nyerere sawa lakini siyo Julius Kambarage Nyerere.

J K Nyerere mpaka anakufa barabara tu ya kutoka njiapanda kwenda Butiama Kilomita 10 ilikuwa haina lami.

Huyu mwizi wa Raslimali za nchi yetu kwa miaka 5 kajenga Airport yenye runway ya kimataifa na Hospitali ya RUFAA.

Kumlinganisha Magufuli na J K Nyerere ni kumdhalilisha Baba wa Taifa. Baba wa Taifa halinganishwi na takataka
 
Steve Nyerere sawa lakini siyo Julius Kambarage Nyerere.

J K Nyerere mpaka anakufa barabara tu ya kutoka njiapanda kwenda Butiama Kilomita 10 ilikuwa haina lami.

Huyu mwizi wa Raslimali za nchi yetu kwa miaka 5 kajenga Airport yenye runway ya kimataifa na Hospitali ya RUFAA.

Kumlinganisha Magufuli na J K Nyerere ni kumdhalilisha Baba wa Taifa. Baba wa Taifa halinganishwi na takataka
Nyie form six hamuwez elewa
 
Wasomi wa tanzania ndiyo mambumbu wakubwa wanaelimu ila hawana akili ," usomi wao ni kama kitabu tu kinaelimu ila hakina akili"
Hongera sana kwa kufurahia UJINGA
 
Mtu yoyote mwenye maono ambaye si mnafiki atakiri na kulisema hili hadharani ili kila mtu ajue na ajifunze kwa faida yake

Ni dhahiri kuwa wako watu ambao hawana maono juu ya Mambo yanayowazunguka na hawana uwezo wa kutazama mbele zaidi na kuona uhalisia

Nawashauri wanasiasa wenye nia ya kufika mbali kiasa wasithubutu kumdhalilisha JPM huyu mwamba hoja zake ni Kali mno na zingali hai naona kila mtu anayejaribu kuanzisha ligi naye adondokewa na kitu kizito mno,Sasa kwa mwanasiasa mjanja mwenye maono anachagua njia iliyosahihi ili safari yake ifanikiwe

Ni angalizo tu anayebisha ataelewa baadaye Sana na Kama ni mhusika atakuwa amechelewa
 
Steve Nyerere sawa lakini siyo Julius Kambarage Nyerere.

J K Nyerere mpaka anakufa barabara tu ya kutoka njiapanda kwenda Butiama Kilomita 10 ilikuwa haina lami.

Huyu mwizi wa Raslimali za nchi yetu kwa miaka 5 kajenga Airport yenye runway ya kimataifa na Hospitali ya RUFAA.

Kumlinganisha Magufuli na J K Nyerere ni kumdhalilisha Baba wa Taifa. Baba wa Taifa halinganishwi na takataka
sijui kwanini kujenga hospital kile tunaona shida wakati kunabinadamu sawa na sehemu zingine zenye hospital za ngazi ya rufaa zaidi ya moja
 
Hivi ndugu zangu tumesahau kazi alizofanya huyu mwamba kwa ajili ya taifa letu?

Mbona hata UN wanakubali mchango wake wa nguvu kuleta maendeleo ya taifa lake kwa ajili ya wananchi wanyonge unajulikana.

Amesimamia barabara, reli, shule, hospital na zahanati na kudhibiti ubadhilifu.

Kumchafua hayati Magufuli ni kujichafua sisi kwa wananchi.
 
Waache wapoteze muda.

Hangaya mwenyewe pamoja na kuwa rais anaogopa kujitenga waziwazi na JPM maana anajua nchi bado inaishi kwa kivuri Cha Jiwe.

Kujitenga na JPM ni samaki nje ya maji.
Wapinzani wenzangu ni wabishi sana. Hasa wanaCdm wenzangu
 
Ni mpaka uwe na akili sana ndo utaona utawala wa JPM ulikuwa unalipeleka taifa shimoni. Wale waliokuwa wanasema ni mtetezi wa wanyonge basi wanyonge hao hawakuwa wanyonge bali walikuwa ni wajinga, hivyo tunaweza kusema JPM alikuwa ni mtetezi wa wajinga
 
Back
Top Bottom