Kada wa ccm hawezi kuwa mwandishi?Nimesikiliza huo mjadala, huyo Leila Sheikh hata kujieleza kwa ufasaha ni shida. Alikuwa ni kama kada wa CCM zaidi kuliko muandishi wa habari.
Pompeo mropokaji tu kama Lisu hicho kikao kilichokaa kutoa hayo maamuzi anaayongelea hapa kilikaa wapi na lini?Yaani huyo mnayemwita Leila Sheikh hebu muulizeni mbona kwenye kutembeza bakuri la msaada Marekani hasemi wanavizabinazabina , Pimbi mkubwa huyo . Mwambieni Leila mwdka huu CCM hawaibi kura hata wafanyaje .View attachment 1596137View attachment 1596139
Leila kwa kiarabu maana yake ni Majinuni yani mwendawazimu kwahiyo sishangai kwa aliyoyasema.
Kada wa ccm hawezi kuwa mwandishi?
Au wapinzani au kuipinga ccm ndiyo weledi?
Nimemsikia na kumshangaa!Leila Sheikh mwanahabari na mtetezi wa haki za wanawake, wakati akishiriki mjadala wa waandishi wa habari uliotayarishwa na radio DW Kiswahili leo mchana ametoa matamko ambayo hata NEC wala viongozi wa CCM hawawezi kutamka moja kwa moja kuishambulia Marekani kwa kuitaja kwa jina zaidi ya kuishia kutaja mabeberu.
Leila akichagia mjadala huo uliohusu waandishi wanavyouona uchaguzi wa Tanzania alionekana kutofautiana na waandishi wenzake kutoka mataifa ya nje kwa jinsi alivyokuwa akiitetea NEC na Rais Magufuli kwa kudai kuwa uchaguzi unaendeshwa kidemokrasia na kuongeza kuwashambulia wapinzani wanaotishia kupeleka wananchi barabarani kama watashindwa.
Alikanusha kutokuwepo uhuru wa habari kipindi hiki cha uchaguzi.
Wao ndo ugharamia gharama za kuhudumia wakimbizi duniani,so wanayo haki kutaadharishaMarekani watuache kwanza ..wao ni nani wapambane na Trump wao
Nikitumia maneno ya Mugabe enzi za uhai wake: "Keep your United States and I will keep my Tanzania!"USA ataishia kutoa vipeperushi tu, Tanzania ni maji marefu hawataiweza
Huu ni mpango wa NEC mahususi kuwahujumu Wapinzani. Katika mazingira kama hayo 'uwanja sawa upo wapi''?Leila Sheikh ana mtizamo gani kuhusu wagombea wa upinzani ambao mpaka leo hii bado hawajaruhusiwa na wasimamizi kuanza kampeni?
Masuala kama haya ilipaswa yakemewe na kila anayeitakia mema nchi yetu. Haiwezekani tufanye uchaguzi halafu baadhi ya wagombea wanapata nafasi kufanya kampeni kwa miezi miwili, na wengine wanapewa nafasi kufanya kampeni kwa wiki 2.
Wangesusa Ccm wangechukua kila kitu na wala hawajali chochote rejea uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka jana.Huu ni mpango wa NEC mahususi kuwahujumu Wapinzani. Katika mazingira kama hayo 'uwanja sawa upo wapi''?
Sishangai kwasababu Mkurugenzi wa uchaguzi alisema, vyama vieleze sera za mabarabara kununua ndege n.k.
Yaani mkurugenzi wa ''tume' huru anafundisha siasa za chama kikubwa halafu anakuwa refarii
Huyu ndiye atasimamia uchaguzi wa ''Tume huru' na uchaguzi wa huru na haki!
Haya huko Hai nako OCD anajisemea wazi yale ya kikaoni '' wewe huwezi kumshinda''
OCD ana matokeo tayari, anamsaidia Mpinzania asipoteze muda na mafuta. OCD anasubiri tarehe amtangaze yule aliyeshinda. Kasema wazi huwezi kumshinda!
Huku Msajili anasema vyama visiungane, masikini hakumbuki CCM na TLP na Cheyo.
Uchaguzi Tz.
Kosa kubwa la Wapinzani ni kuingia katika uchaguzi bila tume huru, sijui wanategemea nini!
Wazee wa propaganda mmekutana...Nikitumia maneno ya Mugabe enzi za uhai wake: "Keep your United States and I will keep my Tanzania!"
Kwasasa hivi na haya yanayoendelea hao Wapinzania wanategemea nini?Wangesusa Ccm wangechukua kila kitu na wala hawajali rejea uchaguzi serikali za mitaa.
Ccm imejimilikisha hii nchi inafanya itakalo na hakuna wakuhoji.
Hivi wewe una akili kweli? Kila kitu USAID halafu unaandika utopolo wako hapaUSA ataishia kutoa vipeperushi tu, Tanzania ni maji marefu hawataiweza
Tatizo mkiambiwa UKWELI huwa mnajaa gesi. That's necked truth. Election meddling Ndio shida kubwa USA. Russians wakishirikiana na watu wa TRUMP wamegundulika kwa mara nyingine tena wakiingilia uchaguzi wa novemba. Tz tuko vizuri zaidi kuliko hata wao. Kilichobakia ni ubabe tu na kuwatumia vibaraka kama huyo jamaa yenu. JPM ni habari nyingine mtake msitake ndio Rais wa TANZANIA. Come what mayNimesikiliza huo mjadala, huyo Leila Sheikh hata kujieleza kwa ufasaha ni shida. Alikuwa ni kama kada wa CCM zaidi kuliko muandishi wa habari.
Mbona mnaokoteza watu wa uswazi mnawafanya habari?Leila Sheikh mwanahabari na mtetezi wa haki za wanawake, wakati akishiriki mjadala wa waandishi wa habari uliotayarishwa na radio DW Kiswahili leo mchana ametoa matamko ambayo hata NEC wala viongozi wa CCM hawawezi kutamka moja kwa moja kuishambulia Marekani kwa kuitaja kwa jina zaidi ya kuishia kutaja mabeberu.
Leila akichagia mjadala huo uliohusu waandishi wanavyouona uchaguzi wa Tanzania alionekana kutofautiana na waandishi wenzake kutoka mataifa ya nje kwa jinsi alivyokuwa akiitetea NEC na Rais Magufuli kwa kudai kuwa uchaguzi unaendeshwa kidemokrasia na kuongeza kuwashambulia wapinzani wanaotishia kupeleka wananchi barabarani kama watashindwa.
Alikanusha kutokuwepo uhuru wa habari kipindi hiki cha uchaguzi.