Uchaguzi 2020 Leila Sheikh: Marekani wana kizabinazabina kwa matamko yao kuhusu uchaguzi wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Leila Sheikh: Marekani wana kizabinazabina kwa matamko yao kuhusu uchaguzi wa Tanzania

Nimesikiliza huo mjadala, huyo Leila Sheikh hata kujieleza kwa ufasaha ni shida. Alikuwa ni kama kada wa CCM zaidi kuliko muandishi wa habari.
Kada wa ccm hawezi kuwa mwandishi?
Au wapinzani au kuipinga ccm ndiyo weledi?
 
Yaani huyo mnayemwita Leila Sheikh hebu muulizeni mbona kwenye kutembeza bakuri la msaada Marekani hasemi wanavizabinazabina , Pimbi mkubwa huyo . Mwambieni Leila mwdka huu CCM hawaibi kura hata wafanyaje .View attachment 1596137View attachment 1596139
Pompeo mropokaji tu kama Lisu hicho kikao kilichokaa kutoa hayo maamuzi anaayongelea hapa kilikaa wapi na lini?

Ana express individual opinion kwenye issue inayotaka iamuliwe na vikao vya serikali

Hill tamko alitakiwa atoe Raisi Donald Trump tena baada ya kutoka kikaoni sio waziri wa mambo ya nje kama Pombeo

Pombeo hajui hata Protocol za kiserikali Mropokaji tu

Yeye na Lisu wanafanana akili wote wana Low IQ
 
Huyo Leila naona ana Paranoia kama boss wake,
Wa Mbili Havai moja!
 
Kada wa ccm hawezi kuwa mwandishi?
Au wapinzani au kuipinga ccm ndiyo weledi?

Hakikua kipindi cha kisiasa bali cha kupima mwenendo wa waandishi kwenye uchaguzi huu. Ila yeye alikuwa analeta utetezi wa kiccm ili kuficha ukweli. Hakuna mwenye tatizo na yeye kuwa muandishi, bali ni kupeleka propaganda kama yuko kwenye vituo vya redio vya hapa nyumbani, hivi vinavyoendeshwa kwa kuhofia kusema ukweli.
 
Leila Sheikh mwanahabari na mtetezi wa haki za wanawake, wakati akishiriki mjadala wa waandishi wa habari uliotayarishwa na radio DW Kiswahili leo mchana ametoa matamko ambayo hata NEC wala viongozi wa CCM hawawezi kutamka moja kwa moja kuishambulia Marekani kwa kuitaja kwa jina zaidi ya kuishia kutaja mabeberu.

Leila akichagia mjadala huo uliohusu waandishi wanavyouona uchaguzi wa Tanzania alionekana kutofautiana na waandishi wenzake kutoka mataifa ya nje kwa jinsi alivyokuwa akiitetea NEC na Rais Magufuli kwa kudai kuwa uchaguzi unaendeshwa kidemokrasia na kuongeza kuwashambulia wapinzani wanaotishia kupeleka wananchi barabarani kama watashindwa.

Alikanusha kutokuwepo uhuru wa habari kipindi hiki cha uchaguzi.
Nimemsikia na kumshangaa!
Eti US vizabinazabina.Mpaka mtangazaji akamkatia mic na kumpa Ali Mutasa na Kennedy Wandera.
Zaidi anasema Uhuru wa habari upo na Chadema wana gazeti lao la Tanzania Daima wanalitumia kwa kampeni(Halafu anajiita Muandishi na mtetezi wa wanawake!)
TZ tuna safari ndefu
 
Atakuwa alisoma syllabus za zamani zilifundisha chuki na lawama ya kuwatupia wengine lawama ya kushindwa kwetu kujiletea maendeleo
 
Leila Sheikh ana mtizamo gani kuhusu wagombea wa upinzani ambao mpaka leo hii bado hawajaruhusiwa na wasimamizi kuanza kampeni?

Masuala kama haya ilipaswa yakemewe na kila anayeitakia mema nchi yetu. Haiwezekani tufanye uchaguzi halafu baadhi ya wagombea wanapata nafasi kufanya kampeni kwa miezi miwili, na wengine wanapewa nafasi kufanya kampeni kwa wiki 2.
Huu ni mpango wa NEC mahususi kuwahujumu Wapinzani. Katika mazingira kama hayo 'uwanja sawa upo wapi''?

Sishangai kwasababu Mkurugenzi wa uchaguzi alisema, vyama vieleze sera za mabarabara kununua ndege n.k.

Yaani mkurugenzi wa ''tume' huru anafundisha siasa za chama kikubwa halafu anakuwa refarii

Huyu ndiye atasimamia uchaguzi wa ''Tume huru' na uchaguzi wa huru na haki!

Haya huko Hai nako OCD anajisemea wazi yale ya kikaoni '' wewe huwezi kumshinda''
OCD ana matokeo tayari, anamsaidia Mpinzania asipoteze muda na mafuta. OCD anasubiri tarehe amtangaze yule aliyeshinda. Kasema wazi huwezi kumshinda!

Huku Msajili anasema vyama visiungane, masikini hakumbuki CCM na TLP na Cheyo.

Uchaguzi Tz.

Kosa kubwa la Wapinzani ni kuingia katika uchaguzi bila tume huru, sijui wanategemea nini!
 
Huu ni mpango wa NEC mahususi kuwahujumu Wapinzani. Katika mazingira kama hayo 'uwanja sawa upo wapi''?

Sishangai kwasababu Mkurugenzi wa uchaguzi alisema, vyama vieleze sera za mabarabara kununua ndege n.k.

Yaani mkurugenzi wa ''tume' huru anafundisha siasa za chama kikubwa halafu anakuwa refarii

Huyu ndiye atasimamia uchaguzi wa ''Tume huru' na uchaguzi wa huru na haki!

Haya huko Hai nako OCD anajisemea wazi yale ya kikaoni '' wewe huwezi kumshinda''
OCD ana matokeo tayari, anamsaidia Mpinzania asipoteze muda na mafuta. OCD anasubiri tarehe amtangaze yule aliyeshinda. Kasema wazi huwezi kumshinda!

Huku Msajili anasema vyama visiungane, masikini hakumbuki CCM na TLP na Cheyo.

Uchaguzi Tz.

Kosa kubwa la Wapinzani ni kuingia katika uchaguzi bila tume huru, sijui wanategemea nini!
Wangesusa Ccm wangechukua kila kitu na wala hawajali chochote rejea uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka jana.

Ccm imejimilikisha hii nchi inafanya itakalo na hakuna wakuhoji.
 
Wangesusa Ccm wangechukua kila kitu na wala hawajali rejea uchaguzi serikali za mitaa.

Ccm imejimilikisha hii nchi inafanya itakalo na hakuna wakuhoji.
Kwasasa hivi na haya yanayoendelea hao Wapinzania wanategemea nini?

Yaani mwenyekiti wa tume ya uchaguzi aliyteuliwa na mwenyekiti wa chama, eti amtangaze Mpinzani!

Mkurugenzi ndiye huyo anaeneza ''sera za chama'' badala ya kusikiliza kesi za wagombea na kuratibu uchaguzi

Msajili ndiye huyo anyeona Wapinzani wanaungana, alikuwa likizo CCM na TLP na Cheyo walipoungana

Kibaya zaid, Afisa wa Polisi, msimamizi wa amani anapotangaza 'matokeo kutoka jeshi la Polisi'' kabla ya kura.

Polisi anajua nani kashinda, alichokifanya ni kutamka tu kwa bahati mbaya maazimio ya vikaoni, tena kabla ya siku ya uchaguzi. ''Wewe huwezi kumshida panda gari uondok'', yes ana matokeo tayari mkononi.

Huku makao makuu dana dana za uchunguzi kana kwamba hawana uhakika kama Polisi huyo ana kinywa.

OK! tusubiri

JokaKuu tindo Pascal Mayalla
 
Screenshot_20201010_093503.jpg


Mizigo ikipakiwa
 
Nimesikiliza huo mjadala, huyo Leila Sheikh hata kujieleza kwa ufasaha ni shida. Alikuwa ni kama kada wa CCM zaidi kuliko muandishi wa habari.
Tatizo mkiambiwa UKWELI huwa mnajaa gesi. That's necked truth. Election meddling Ndio shida kubwa USA. Russians wakishirikiana na watu wa TRUMP wamegundulika kwa mara nyingine tena wakiingilia uchaguzi wa novemba. Tz tuko vizuri zaidi kuliko hata wao. Kilichobakia ni ubabe tu na kuwatumia vibaraka kama huyo jamaa yenu. JPM ni habari nyingine mtake msitake ndio Rais wa TANZANIA. Come what may
 
Leila Sheikh mwanahabari na mtetezi wa haki za wanawake, wakati akishiriki mjadala wa waandishi wa habari uliotayarishwa na radio DW Kiswahili leo mchana ametoa matamko ambayo hata NEC wala viongozi wa CCM hawawezi kutamka moja kwa moja kuishambulia Marekani kwa kuitaja kwa jina zaidi ya kuishia kutaja mabeberu.

Leila akichagia mjadala huo uliohusu waandishi wanavyouona uchaguzi wa Tanzania alionekana kutofautiana na waandishi wenzake kutoka mataifa ya nje kwa jinsi alivyokuwa akiitetea NEC na Rais Magufuli kwa kudai kuwa uchaguzi unaendeshwa kidemokrasia na kuongeza kuwashambulia wapinzani wanaotishia kupeleka wananchi barabarani kama watashindwa.

Alikanusha kutokuwepo uhuru wa habari kipindi hiki cha uchaguzi.
Mbona mnaokoteza watu wa uswazi mnawafanya habari?
Huyo leila ni nani hasa
 
Back
Top Bottom