Sheria ipo na Kuna Moja lini kala miaka 30 Sasa wewe chief endelea kuzagamuliwa masabuli ukifikili Sheria ya kukufunga haipoUnamshangaa Lema lakini hauishangai serikali kutotunga Sheria ya adhabu Kwa wanaojihusisha na ushoga, bila kutunga Sheria maana yake yameruhusiwa yafanyike tu
Huko nako ni kuonea.Nachukia sana ushoga ila kuua hapana wana hali ya kuwa na amani pia.ila akishiriki kushawishi wengine hususan watoto sio tu auawe achinjwe
Kufungwa maisha jela sio kuchinjwa???Huko nako ni kuonea.
Wanaotongoza watoto wadogo wa kike mbona hawachinjwi?
Kuchinjwa ni nini?Kufungwa maisha jela sio kuchinjwa???
Anzia na Serikali na CCM yako, sawa sawa?Nilikuwa nasikia tu kuwa Chadema ni watetezi wa Ushoga na Usagaji na hawawezi kukosoa vitendo hivyo kwasababu wanaogopa kuwaudhi wafadhili wao wa Magharibi.
Nimeona Clip ya God bless Lema akiulizwa na Muandishi juu ya Msimamo wake kuhusu Ushoga na Usagaji, EBWANA JAMAA KAPIGA SOUND LA KUJIUMAUMA NA HAJAELEZA KAMA NI JAMBO BAYA NA WALA HAJAKOSOA.
KWA HILI KWA KWELI WA TANZANIA PIMENI WENYEWE IKITOKEA HIKI CHAMA KUPEWA NCHI ITAKUWAJE KWA VIZAZI VIJAVYO. NI MARA KUMI CHAMA CHA HASHIMU RUNGWE KITAWALE .
MUNGU EPUSHA NCHI YETU KUONGOZWA NA WATETEZI WA YALIYOKUKASIRISHA KULE SODOMA NA GOMORA
Kiongozi gani wa sasa wa juu wa serikali ya CCM ambae amewahi kufanya hicho unachotaka Lema afanye?Nilikuwa nasikia tu kuwa Chadema ni watetezi wa Ushoga na Usagaji na hawawezi kukosoa vitendo hivyo kwasababu wanaogopa kuwaudhi wafadhili wao wa Magharibi.
Nimeona Clip ya God bless Lema akiulizwa na Muandishi juu ya Msimamo wake kuhusu Ushoga na Usagaji, EBWANA JAMAA KAPIGA SOUND LA KUJIUMAUMA NA HAJAELEZA KAMA NI JAMBO BAYA NA WALA HAJAKOSOA.
KWA HILI KWA KWELI WA TANZANIA PIMENI WENYEWE IKITOKEA HIKI CHAMA KUPEWA NCHI ITAKUWAJE KWA VIZAZI VIJAVYO. NI MARA KUMI CHAMA CHA HASHIMU RUNGWE KITAWALE .
MUNGU EPUSHA NCHI YETU KUONGOZWA NA WATETEZI WA YALIYOKUKASIRISHA KULE SODOMA NA GOMORA
Ujambo PimbiMnaacha kuhangaika na wezi serikalini mhangaika na mtu mmojammoja,mi hata nimuone shoga yule pale ,sinto thubutu kumfanya lolote,maana hana madhara kwangu,ni yeye na family yake na mungu wake,kama anachofanya ni chukizo sana ,ni kazi ya mungu kumuua siyo mimi,kumuua ni kumfanya mungu aliyemuacha kuwa hana akili zaidi yako,sitaki kuingilia kazi za mungu,mimi mwenyewe nina madhambi yangu pia na siyo msafi,usiniambie kuwa dhambi ya ushoga ni kubwa kuliko dhambi ya uaji
Unavyofanya siyo vizuri, jaribu kwa fair. Tabia gani ya kumkimbiza mapema mleta uzi kwenye uzi wake mwenyewe!?Anzia na Serikali na CCM yako, sawa sawa?View attachment 2564650
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Moderator uzi ufungwe hapa chapAnzia na Serikali na CCM yako, sawa sawa?View attachment 2564650
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kwani Kangi Lugola, JPM na Prof. Kabudi na wao kwao ni Canada?Mtu kwao ni canada unategemea nini?
na Canada ndio kiwanda kikuu Duniani Cha kutengeneza na kulea mashoga.Mtu kwao ni canada unategemea nini?
Iko wapi hiyo clip?Nilikuwa nasikia tu kuwa Chadema ni watetezi wa Ushoga na Usagaji na hawawezi kukosoa vitendo hivyo kwasababu wanaogopa kuwaudhi wafadhili wao wa Magharibi.
Nimeona Clip ya God bless Lema akiulizwa na Muandishi juu ya Msimamo wake kuhusu Ushoga na Usagaji, EBWANA JAMAA KAPIGA SOUND LA KUJIUMAUMA NA HAJAELEZA KAMA NI JAMBO BAYA NA WALA HAJAKOSOA.
KWA HILI KWA KWELI WA TANZANIA PIMENI WENYEWE IKITOKEA HIKI CHAMA KUPEWA NCHI ITAKUWAJE KWA VIZAZI VIJAVYO. NI MARA KUMI CHAMA CHA HASHIMU RUNGWE KITAWALE .
MUNGU EPUSHA NCHI YETU KUONGOZWA NA WATETEZI WA YALIYOKUKASIRISHA KULE SODOMA NA GOMORA
Naungana nawe kumchukia Lema ktk kujituma kwenye msimamo juu ya USHOGA.Nilikuwa nasikia tu kuwa Chadema ni watetezi wa Ushoga na Usagaji na hawawezi kukosoa vitendo hivyo kwasababu wanaogopa kuwaudhi wafadhili wao wa Magharibi.
Nimeona Clip ya God bless Lema akiulizwa na Muandishi juu ya Msimamo wake kuhusu Ushoga na Usagaji, EBWANA JAMAA KAPIGA SOUND LA KUJIUMAUMA NA HAJAELEZA KAMA NI JAMBO BAYA NA WALA HAJAKOSOA.
KWA HILI KWA KWELI WA TANZANIA PIMENI WENYEWE IKITOKEA HIKI CHAMA KUPEWA NCHI ITAKUWAJE KWA VIZAZI VIJAVYO. NI MARA KUMI CHAMA CHA HASHIMU RUNGWE KITAWALE .
MUNGU EPUSHA NCHI YETU KUONGOZWA NA WATETEZI WA YALIYOKUKASIRISHA KULE SODOMA NA GOMORA