Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Harafu mpuuzi mmoja aitwaye Kigaila anasema wakiwa chumbani na mkewe hawaongei mambo ya siasaLema ana akili sana, hii ni hoja ya msingi.
Hakuna anayeweza kukipenda chama kuliko mkewe.
Sasa mbona hakuzungumza kabla? Unafiki unalipa.Na akaongeza kwamba waume zao ndiyo wanaoandaa documents za kupeleka mahakamani wakati wa kesi ambazo chama kimefunguliwa na hao wake zao eti wakidai wakiwa nyumbani hawazungumzii masuala ya siasa.
Alisema alikuwa anasema wapumzike na akasema alisema kuwa alisema hivyo kwenye mkutano sijui iringa sijui wapi nimesahau.Sasa mbona hakuzungumza kabla? Unafiki unalipa.
Nakuambia unafiki unalipa kwenye kila fani.Alisema alikuwa anasema wapumzike na akasema alisema kuwa alisema hivyo kwenye mkutano sijui iringa sijui wapi nimesahau.
Kuna hawara wa Dr Slaa pia kwenye lile kundi.Kah! Kumbe ni wake za watu? Tulidhani ni single mothers tu, pengine wanahitaji waume wa kuwaoa, maana ndoa ni ibada
sina ubishi maana mambo haya yapo katika kila kundi lenye wanawake na wanaume, shuleni na vyuoni, maofisini mahusiano ya kimapenzi yamejaa tele, hutaki? Utatongozwa/utatongoza tu!Kuna hawara wa Dr Slaa pia kwenye lile kundi.
ila lile kundi lina utata wa kimahusiano ya kindoa/kimapenziKuna hawara wa Dr Slaa pia kwenye lile kundi.
Kila jambo lina wakati wake ndiyo wakati umefika sasaHizi habari amezigundua leo ? Au kwanini hakutwambia Kabla ? Ukishawaelewa Politicians nadhani utakuwa haushangazwi na lolote wanalosema.., It's all about Convenience...
Lile ni kundi la wake na vimada wa vigogo wa CHADEMAila lile kundi lina utata wa kimahusiano ya kindoa/kimapenzi
ila mdee na wenzake walieleza hili, kwamba lilikuwa na baraka za mnyika na mbowe, ndio maana hata ndugai ailikuwa na jeuri yote. tunachotaka kujua pia ni kama zile ten percent toka kwa covid 19 DJ alikuwa anazikusanya ili ale peke yake na leo aje awatukane wenzie kuwa ni mafukara hawawezi kuendesha chama. si angewakubali tu na wenzie basi ili ruzuku na ten percent ambazo mbunge wa chadema lazima azitoe, wale wote? au alitaka ifanyike kinyemela ili ale peke yake na kwenye vikao anawahadaa. hivi inawezekanaje kigaila na salum mwalimu wawe hawakuwashauri wake zao waende covid 19? utamthibitishiaje mtu kwamba hawakuwa na mkono pale,ati wanalala kitanda kimoja na leo useme huwa hawaongei mambo ya siasa? really?Walikuwa wanamtukana Magufuli kwamba ndo kawapeleka bungeni wakati ni Mwenyekiti
Kuna mwingine asie mwana Chadema anaongeaga ukweli? Nitajie mmoja tafadhariHuyu jamaa anaongeaga ukweli siku zote.
Ingawa ni chadema ila huwa namkubali kichwani ana madini
Huyo lema mqenyewe amesha kaliaga kuti kavu. Mkuu kaa kwa kutulia sawa mambo ya ndani wanayajua watu wa ndani kama hawa kina lema.Hoja za Lema ni za kitoto kabisa, Mbowe anawezaje kuwafukuza manaibu katibu wakuu bila Kamati Kuu ambayo Lema ni mjumbe? Je Lema alipeleka hoja hiyo Kamati Kuu ikakataliwa? Kama hajafanya hivyo kwa nini anamlaumu mwenyekiti huku akijua kuwa hana mamlaka hayo? Ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya.