Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
🤣😆WEnzake walikua wanapiga harakati kumbe mjuba kwa chini chini ana uza kambi kwa hadui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣😆WEnzake walikua wanapiga harakati kumbe mjuba kwa chini chini ana uza kambi kwa hadui
Wakati kwa kukilinda chama alisema kwenye vikao vya ndani. Hakusikilizwa sasa anashitaki kwa umma yaani wapiga kura wao.Issue sio authenticity ya anachokisema ukizingatia anakisema / hakukisema wakati gani.., Unaweza ukasema ukweli ila mazingira yakakufanya ukawa tu kama Yuda (Hata kwenye Story, Yuda alivyombusu Yesu, ni kweli yule alikuwa ni Yesu), ingawa mazingira ndio yanapelekea leo hii akumbukwe either fondly au badly...
Kura kwa Lissu, declared winner kwa Mbowe.Kura kwa Lisu
Huyu jamaa anaongeaga ukweli siku zote.“Unawezaje kwenye meza kuu Mwenyekiti unakaa na manaibu Katibu wakuu wawili ambao wake zao ni sehemu ya wabunge 19 waliopo bungeni, halafu Msigwa akawa hatari, mimi niliongea Mtwara kuwa wanapaswa kujiuzuru msitupe ugumu wa Maisha, haiwezekani wawe wanaanda nyaraka za Ushahidi za Kwenda mahakamani dhidi ya wake zao.”
“Inawezekanaje mbunge Msigwa ambaye mmekorofishana pengine kwa maneno ambayo hayana maana, mnashindwa kupatana halafu Halima Mdee ambaye walikipeleka chama Mahakamani, wanakuwa kwenye ‘Party’ yako ya kufunga mwaka.” Godbless Lema
View attachment 3201877
Wanasema muda ni hakimu mzuri sana.Mbowe ni hovyo kabisa! Uzuri kila kitu kina mwishi wake na huu ndio mwisho wa Mbowe.
Lemma amefanya jambo la kijasiri sana ila ajiangalie Mbowe lazima atalipiza kisasi na kwa sasa anapata support ya Samia 100%Na akaongeza kwamba waume zao ndiyo wanaoandaa documents za kupeleka mahakamani wakati wa kesi ambazo chama kimefunguliwa na hao wake zao eti wakidai wakiwa nyumbani hawazungumzii masuala ya siasa.
Huna hoja upuuzweIssue sio authenticity ya anachokisema ukizingatia anakisema / hakukisema wakati gani.., Unaweza ukasema ukweli ila mazingira yakakufanya ukawa tu kama Yuda (Hata kwenye Story, Yuda alivyombusu Yesu, ni kweli yule alikuwa ni Yesu), ingawa mazingira ndio yanapelekea leo hii akumbukwe either fondly au badly...
Hiyo toka mwanzo hamkujua hili? Mbona ilikuwa wazi wakina mdee walikuwa na baraka zote za viongozi na wao walisema moja kwa moja. Pia hili la wake za viongoiz kuwa miongoni mwa wale 19 lilikuwa wazi na lilisemwa.Mzee Mbowe ametukosea sana Watz
Itabidi aje public aombe msamaha
Tumegombana na marafiki, ndugu kwa ajili ya kuitetea cdm kumbe mwenyekiti anatung'ong'a
Lema ni mnafiki haya tulishayasema kitambo hata yeye alishiriki uovu!“Unawezaje kwenye meza kuu Mwenyekiti unakaa na manaibu Katibu wakuu wawili ambao wake zao ni sehemu ya wabunge 19 waliopo bungeni, halafu Msigwa akawa hatari, mimi niliongea Mtwara kuwa wanapaswa kujiuzuru msitupe ugumu wa Maisha, haiwezekani wawe wanaanda nyaraka za Ushahidi za Kwenda mahakamani dhidi ya wake zao.”
“Inawezekanaje mbunge Msigwa ambaye mmekorofishana pengine kwa maneno ambayo hayana maana, mnashindwa kupatana halafu Halima Mdee ambaye walikipeleka chama Mahakamani, wanakuwa kwenye ‘Party’ yako ya kufunga mwaka.” Godbless Lema
View attachment 3201877
Hoja za Lema ni za kitoto kabisa, Mbowe anawezaje kuwafukuza manaibu katibu wakuu bila Kamati Kuu ambayo Lema ni mjumbe? Je Lema alipeleka hoja hiyo Kamati Kuu ikakataliwa? Kama hajafanya hivyo kwa nini anamlaumu mwenyekiti huku akijua kuwa hana mamlaka hayo? Ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya.WEnzake walikua wanapiga harakati kumbe mjuba kwa chini chini ana uza kambi kwa hadui
COVID-19 WAMEIUMIZA SANA CHADEMA“Unawezaje kwenye meza kuu Mwenyekiti unakaa na manaibu Katibu wakuu wawili ambao wake zao ni sehemu ya wabunge 19 waliopo bungeni, halafu Msigwa akawa hatari, mimi niliongea Mtwara kuwa wanapaswa kujiuzuru msitupe ugumu wa Maisha, haiwezekani wawe wanaanda nyaraka za Ushahidi za Kwenda mahakamani dhidi ya wake zao.”
“Inawezekanaje mbunge Msigwa ambaye mmekorofishana pengine kwa maneno ambayo hayana maana, mnashindwa kupatana halafu Halima Mdee ambaye walikipeleka chama Mahakamani, wanakuwa kwenye ‘Party’ yako ya kufunga mwaka.” Godbless Lema
View attachment 3201877
Viongozi wa Chadema walijua fika kuwa Wale wabunge 19 wako pale kwa baraka za chama lakini lawama zote wakawa wanazipeleka kwa MAGUFULI. Hawa watu ni Toxic sana.“Unawezaje kwenye meza kuu Mwenyekiti unakaa na manaibu Katibu wakuu wawili ambao wake zao ni sehemu ya wabunge 19 waliopo bungeni, halafu Msigwa akawa hatari, mimi niliongea Mtwara kuwa wanapaswa kujiuzuru msitupe ugumu wa Maisha, haiwezekani wawe wanaanda nyaraka za Ushahidi za Kwenda mahakamani dhidi ya wake zao.”
“Inawezekanaje mbunge Msigwa ambaye mmekorofishana pengine kwa maneno ambayo hayana maana, mnashindwa kupatana halafu Halima Mdee ambaye walikipeleka chama Mahakamani, wanakuwa kwenye ‘Party’ yako ya kufunga mwaka.” Godbless Lema
View attachment 3201877
Hii ni bonge la nyundo kwa Team Mbowe..“Unawezaje kwenye meza kuu Mwenyekiti unakaa na manaibu Katibu wakuu wawili ambao wake zao ni sehemu ya wabunge 19 waliopo bungeni, halafu Msigwa akawa hatari, mimi niliongea Mtwara kuwa wanapaswa kujiuzulu msitupe ugumu wa Maisha, haiwezekani wawe wanaanda nyaraka za Ushahidi za Kwenda mahakamani dhidi ya wake zao.”
“Inawezekanaje mbunge Msigwa ambaye mmekorofishana pengine kwa maneno ambayo hayana maana, mnashindwa kupatana halafu Halima Mdee ambaye walikipeleka chama Mahakamani, wanakuwa kwenye ‘Party’ yako ya kufunga mwaka.” Godbless Lema
View attachment 3201877
Wale wabunge uamuzi wa kuwapeleka bungeni haukufanywa na Kigaila na Mwalimu, ulikuwa n uamuzi wa uongozi mzima wa chama ila sasa kwa sabab⁵u wamegombana ndio wanasukumiana mpira. Kigaila na Mwalimu walichofanya ni kuchangamkia fursa kwa kuhakikisha na wao wake zao wanaingia bungeni kupitia hizo nafasi. Kika mbunge kati ya wale 19 anaye mwanaume probably hawara/ proper husband CHADEMA.“Unawezaje kwenye meza kuu Mwenyekiti unakaa na manaibu Katibu wakuu wawili ambao wake zao ni sehemu ya wabunge 19 waliopo bungeni, halafu Msigwa akawa hatari, mimi niliongea Mtwara kuwa wanapaswa kujiuzuru msitupe ugumu wa Maisha, haiwezekani wawe wanaanda nyaraka za Ushahidi za Kwenda mahakamani dhidi ya wake zao.”
“Inawezekanaje mbunge Msigwa ambaye mmekorofishana pengine kwa maneno ambayo hayana maana, mnashindwa kupatana halafu Halima Mdee ambaye walikipeleka chama Mahakamani, wanakuwa kwenye ‘Party’ yako ya kufunga mwaka.” Godbless Lema
View attachment 3201877Ll