LEMA: Baadhi ya wabunge kati ya 19 ni wake wa viongozi wakuu wa CHADEMA

LEMA: Baadhi ya wabunge kati ya 19 ni wake wa viongozi wakuu wa CHADEMA

Lema ana akili sana, hii ni hoja ya msingi.

Hakuna anayeweza kukipenda chama kuliko mkewe.
Hiyo akili imemrudia sasa hivi?Alikuwa wapi muda wote kusema anayosema sasa hivi?Au alikuwa hajui ni wake zao?Mpaka wanamaliza muda wao wa ubunge ndio anakurupuka.Halafu kuna nyumbu inamsifia eti ana akili sana.Miujiza.
 

Haya sasa. Mimi nadhani Covid-19, Zitto Kabwe ni bora mara elfu kuliko huyo Msigwa. Hawa wanawake walikipeleka Chama Mahakamani kwa sababu waliamini kuwa Chadema haikuwatendea haki kilipowafukuza. Hivyo hivyo kwa Zitto Kabwe. Halima Mdee, Esther Bulaya na wenzao hawajawahi kusimama jukwaani kuwananga viongozi waliofukuza. Hawajawahi kukisemea ovyo Chadema. Hata Zitto aliona bora aanzishe chama chake kuliko kukimbilia CCM.

Huyo swahiba wao anachojua kukisema ni kukitakia mabaya Chadema na kukipigia debe CCM. Huyu swahiba wao bila shaka kutoa siri za chama kama andhani kwa kufanya hivyo kutamdhuru Mbowe na CDM. Hatua inayofuata ni kusema Dr. Slaa alionewa na Mbowe. Huyo huyo Dr. Slaa aliyekuwa mpiga debe mkubwa wa JPM. Huyo huyo aliyesema CDM inahusika katika kuteka watu. Huyo huyo ambae aliunga mkono kupigwa marufuku mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa. Huyo huyo ambae aliwaambia watu waliokuwa wanasema kuwa Mbowe sio gaidi kuwa pengine ni gaidi!

Hawa wote wana dhambi ya sense of entitlement. Watakipeleka chama kubaya.

Amandla...
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mzee Mbowe ametukosea sana Watz
Itabidi aje public aombe msamaha

Tumegombana na marafiki, ndugu kwa ajili ya kuitetea cdm kumbe mwenyekiti anatung'ong'a
Hamna adabu.Mnapelekewshwa tu.Lema leo kawa msema kweli baada ya kuwa bubu wa kusingizia Covid 19 kumbe ugonjwa mlianza wenyewe.
 
As a man of principle unasemea ubaya unapotokea sio unapoona mambo yanaanza kwenda kombo, kwa kufanya hivyo ni kuwa opportunist..., Na watu wa hivi mkiwa mnazama kwenye Jahazi kama linavuja ndio huwa wanawahi maboya na kusepa badala ya kusaidia kuondoa maji... i.e. hawapo hapo kuokoa jahazi bali ni self serving...
Mkuu siasa haina adui wala rafiki wa kudum na kwa taarifa tu usimwamini mwanasiasa au mwanaharakati. Hao wote ni baba 1 mama tofauti
 
CHADEMA ya Dikteta Mbowe imeoza.

Anatakiwa apigwe chini huyo kibaraka wa CCM
 
“Unawezaje kwenye meza kuu Mwenyekiti unakaa na manaibu Katibu wakuu wawili ambao wake zao ni sehemu ya wabunge 19 waliopo bungeni, halafu Msigwa akawa hatari, mimi niliongea Mtwara kuwa wanapaswa kujiuzuru msitupe ugumu wa Maisha, haiwezekani wawe wanaanda nyaraka za Ushahidi za Kwenda mahakamani dhidi ya wake zao.”

“Inawezekanaje mbunge Msigwa ambaye mmekorofishana pengine kwa maneno ambayo hayana maana, mnashindwa kupatana halafu Halima Mdee ambaye walikipeleka chama Mahakamani, wanakuwa kwenye ‘Party’ yako ya kufunga mwaka.” Godbless Lema

View attachment 3201877
Bundi katua Chadema ....

Ngongo

Fundi Mchundo Retired JokaKuu
 
Mwenyekiti yeye baada ya kijibu hoja anasema chama nimekitoa mbali.... Lissu nimemtoa mbali.......

Waswahili wanasema
Muungwana akivuliwa, hasimami bali huchutama!!
 
“Unawezaje kwenye meza kuu Mwenyekiti unakaa na manaibu Katibu wakuu wawili ambao wake zao ni sehemu ya wabunge 19 waliopo bungeni, halafu Msigwa akawa hatari, mimi niliongea Mtwara kuwa wanapaswa kujiuzuru msitupe ugumu wa Maisha, haiwezekani wawe wanaanda nyaraka za Ushahidi za Kwenda mahakamani dhidi ya wake zao.”

“Inawezekanaje mbunge Msigwa ambaye mmekorofishana pengine kwa maneno ambayo hayana maana, mnashindwa kupatana halafu Halima Mdee ambaye walikipeleka chama Mahakamani, wanakuwa kwenye ‘Party’ yako ya kufunga mwaka.” Godbless Lema

View attachment 3201877
duh 。。 。!。
p
 
Back
Top Bottom