Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
As a man of principle unasemea ubaya unapotokea sio unapoona mambo yanaanza kwenda kombo, kwa kufanya hivyo ni kuwa opportunist..., Na watu wa hivi mkiwa mnazama kwenye Jahazi kama linavuja ndio huwa wanawahi maboya na kusepa badala ya kusaidia kuondoa maji... i.e. hawapo hapo kuokoa jahazi bali ni self serving...Kila jambo lina nyakati zake! Huu ndio wakati sahihi wa kufunua kila jiwe