proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
Mkiambiwa ukweli hamsikii, hamjui sheria za barabarani mnaendesha tu mnavyojua bali sii inavyotakiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida tuGodbless lema-- Ubodaboda ni kazi ya laana. Mpwayungu village-- Uwalimu ni kazi ya laana. [emoji16][emoji16]
Sijui kundi gani litakuwa next? [emoji16]Shida tu
Mama ntilie washapita....Nahisi watafuata wakulimaSijui kundi gani litakuwa next? [emoji16]
Ngoja tuone.Mama ntilie washapita....Nahisi watafuata wakulima
Kwa hiyo ndyo laanaMkiambiwa ukweli hamsikii, hamjui sheria za barabarani mnaendesha tu mnavyojua bali sii inavyotakiwa
Chuki kaileta yeye Mimi Sina chuki kabisa na godbless lemaWewe mwenyewe umemuita mwenzio mkimbizi unadhani upo sahihi?
Naona kama huzungumzii kauli yake bali chuki ndio imekuzidi
Walitumika kwenye kampeni gani ccm au chademaBodaboda imetumia na politicians kuwapumbaza na kuacha kupigania hali bora ya maisha, nani umeingia kwenye middle class life kupitia Bodaboda?,tujifunze kuambiwa ukweli sio unafiki tuliozoeshwa,na tuelewe sheria za barabarani haziruhusu nyingi ya hizi Bodaboda, kwanza hata hermits hawavai
Hiyo ndyo silaha ya gambo atakayoitumia kwenye kampeniKauli chafu sana,asipoomba radhi ubunge atausikia tu redioni maana amedharau kundi kubwa sana la watu.Kama namuona Gambo anavyochekelea kwa mpinzani wake kujikaanga kwa mafuta yake.
Hili kundi kalikosea sana inabidi aombe radhiNaunga mkono hoja. Ndugu yangu God ulikosea tengeneza mazingira kuomba radhi indirect way watakuelewa.
Ukweli lema amejikaanga,hajui kundi alilolitusi linanguvu kiasi gani.Hiyo ndyo silaha ya gambo atakayoitumia kwenye kampeni
Usimuite mkimbizi wewe pia unafanya makosa sasa ukimlaumu kwa kauli yake nawewe unaweza kulaumiwa piaChuki kaileta yeye Mimi Sina chuki kabisa na godbless lema
Kwa hiyo neno mkimbizi nimevunja sheria ya nchiUsimuite mkimbizi wewe pia unafanya makosa sasa ukimlaumu kwa kauli yake nawewe unaweza kulaumiwa pia
Kwani yeye akisema bodaboda sio kazi amevunja katiba?Kwa hiyo neno mkimbizi nimevunja sheria ya nchi