Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
Mnauiba wa nn? Mnaongea maswala sijui ushirikina, wakati wengi wenu, december mnatumia mamilioni kurudi makwenu, hamna lolote la maana zaidi mrudi mnasema wazee walifanya, msioweza nanyi mnatamni mrudi makwenu kama baadhi ya watanzania wengine,
Hizo ni tamaduni tu. Inategemea unafanyaje. Ila ni tamaduni. Acheni upuuzi wa Tanzania, kuna vitu vya msingi vya kufanya.
Huyo torch mngekua na akili wengi wenu thread hii mngeitia tuwaze tufanyaje iwe na wadhfa mzuri duniani unaodumisha utamaduni. Olympic hadi leo wanawasha torch yao , why not us?
Acheni usenge Watanzania. Huo ni utamaduni.
(Mimi si mwanasiasa nimeongea tu mawazo yangu na navyofahamu na kupenda iwe)
Huyu lema na wanasiasa wengi bongo ni wachochezi wa upuuzi. Vipo vitu very important kuvifanya kama vijana Tanzania hapa.
Gomeni, fanyeni quite maandamano kuhusu ajira, kuhusu mishahara, kuhusu mikopo bank, kuhusu elimu, ardhi, mkiweza kavunjeni vioo pale BOT, piga Mawe gari ya waziri, piga mawe wapuuzi, Anzisheni scandals na zisimamieni kuhusu viongozi wa serikali. Wengi tunawaona wanaingia kwenye ma appartments na wanawake hata watatu watatu, Raise your voices, Muone next day kama hamjasikilizwa, sasa wapuuzi kama lema sijui, sijui mbowe, wanawafanya muibe hiyo torch, are you mad. Na mipuuzi inachangia humu oooh kweli mwana wa Mungu. Next day mnawekwa ndani. Mnapigwa mnarudi mtaani wajinga na hamna mbele wala nyuma😡😡😡😡. Nationalists hawapo hivo, nationalists wanaongea vitu positive to make the government aware. Shida ni nyingi. Nyingi.
Pumbavu!!!!!
Hizo ni tamaduni tu. Inategemea unafanyaje. Ila ni tamaduni. Acheni upuuzi wa Tanzania, kuna vitu vya msingi vya kufanya.
Huyo torch mngekua na akili wengi wenu thread hii mngeitia tuwaze tufanyaje iwe na wadhfa mzuri duniani unaodumisha utamaduni. Olympic hadi leo wanawasha torch yao , why not us?
Acheni usenge Watanzania. Huo ni utamaduni.
(Mimi si mwanasiasa nimeongea tu mawazo yangu na navyofahamu na kupenda iwe)
Huyu lema na wanasiasa wengi bongo ni wachochezi wa upuuzi. Vipo vitu very important kuvifanya kama vijana Tanzania hapa.
Gomeni, fanyeni quite maandamano kuhusu ajira, kuhusu mishahara, kuhusu mikopo bank, kuhusu elimu, ardhi, mkiweza kavunjeni vioo pale BOT, piga Mawe gari ya waziri, piga mawe wapuuzi, Anzisheni scandals na zisimamieni kuhusu viongozi wa serikali. Wengi tunawaona wanaingia kwenye ma appartments na wanawake hata watatu watatu, Raise your voices, Muone next day kama hamjasikilizwa, sasa wapuuzi kama lema sijui, sijui mbowe, wanawafanya muibe hiyo torch, are you mad. Na mipuuzi inachangia humu oooh kweli mwana wa Mungu. Next day mnawekwa ndani. Mnapigwa mnarudi mtaani wajinga na hamna mbele wala nyuma😡😡😡😡. Nationalists hawapo hivo, nationalists wanaongea vitu positive to make the government aware. Shida ni nyingi. Nyingi.
Pumbavu!!!!!