Lema: Kuna Vijana walitaka kuiba Mwenge Arusha wakaukosa, nilisikitika sana

Lema: Kuna Vijana walitaka kuiba Mwenge Arusha wakaukosa, nilisikitika sana

Kweli CHADEMA ina viongozi wahuni wahuni tu wanaopanda majukwaani wakiwa wamelewa.hivi kweli mjumbe wa kamati kuu anaweza kuongea ujinga wa Namna hiyo kweli? Mambo hayo na ujinga huo ndio wa kuongelea jukwaani? Ndio sera za kukipa ushindi chama hizo? Ndio zinazoweza wafanya watu wakaacha vyama vyao wakajiunga na Sacco's ya Mwenye kigoda? Ndio anachohitaji kusikia Bibi wa kijijini anayekuja kwenye mikutano yenu? Ndio maono ya viongozi hayo? Ndio alichojifunza Canada hicho? Ndio utafiti uliofanywa na chama unajuwa ndio wana nyanda za juu kusini wanataka kusikia hicho?

Kwanini mnaendesha chama kihuni kiasi hicho? Kwanini hamtambui kuwa kuna vitu kiongozi mkubwa hapaswi kutamka au kutoa katika ulimi au mdomo wake? Kwanini mnashinda kuwa na viongozi wenye kuchuja maneno na kuwa na staha? Kwanini wote akili zenu zipo kama za mvuta bangi Mdude? Kwanini mnakifanya chama kuwa kama kusanyiko la wahuni ,vibaka,watu waliozibuka akili? Mnakwama wapi? Kwanini hamkui akili na bongo zenu?
Ni watu wawili tu wanaoushabikia mwenge.
1:Mwenye maslahi nao
2:Mpumbavu.
 
Lema atadakwa kwa kauli hii! Lazima ataitwa kuhojiwa[emoji16]
Labda waamue kumpuuza tu, lkn kwa kauli hiyo anapaswa kusaidia vyombo juu ya njama hizo.
My take, kuwa watu wanapenda kujitafutia matatizo eti wakilia waonewe huruma!
 
Mwenge ni activity ya kitaifa. Which means hata kada wa Chadema anaweza kuchaguliwa kuwa kiongozi wa kukimbiza mwenge.
Yale maneno ya wimbo wa mwenge yanatoka Tibet asili yake.
Hakuna laana katika mwenge. Laana labda zipo katika ngono wanazofanya katika ule mkesha.
 
Mwenge ni activity ya kitaifa. Which means hata kada wa Chadema anaweza kuchaguliwa kuwa kiongozi wa kukimbiza mwenge.
Yale maneno ya wimbo wa mwenge yanatoka Tibet asili yake.
Hakuna laana katika mwenge. Laana labda zipo katika ngono wanazofanya katika ule mkesha.
Hujui unachokisema. Kamuulize Mungu wa kweli story ya mwenge kama huwa mnazungumza atakujuza siri ya huo uchafu
 
"Nabii wa Mungu Godbless Lema, amedai kwamba ni aibu kubwa sana kwa Nchi hii leo kuendelea kukimbiza kibatari kinachowaka kinachoitwa Mwenge wa Uhuru."

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
"Nabii wa Mungu Godbless Lema, amedai kwamba ni aibu kubwa sana kwa Nchi hii leo kuendelea kukimbiza kibatari kinachowaka kinachoitwa Mwenge wa Uhuru."

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Karibu sana
 
Kwa kweli
Inashangaza sana gharama kubwa zinatumika kwenye vitu visivvyo na tija
Wakato Toto Afya bima imefutwa.,watoto wa maskini wanapambana na hali zao.
 
Back
Top Bottom