Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kuna wakati unajifunga mwenyewe 😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Lema atadakwa kwa kauli hii!
Lazima ataitwa kuhojiwa[emoji16]
Hivo vitisho vya kinondon huku tunauana daily itakuwa nyongaLabda muwahonge wale field force wanaouzunguka.
Ama sivyo mtateguliwa nyonga muanze kulalamika ooh polisi waonezi
Hivi bado familia ya kikwete inauza Unga kama alivyowahi kusema Makonda ?kwanza nikusalimu kwa jina la makonda...... turudi kwenye quote' ni ngumu sana kuliona hilo...japo kajidai kuishia kusema alisikitika nakufikiri hatujajua dhamira yake ya kuchochea vitendo vya kiuwalifu ili kuvuruga amani ya nchi
Team Jiwe vyeti fake tumerudi kwa kishindoHuyu mjinga tu hana lolote.
HayaHuyu mjinga tu hana lolote.
Hahhaaha mzee wa Kino kuna wakati wanasiasa wanataka tu kuwaponza vijana. Huo mwenge kwa jinsi unavyolindwa hao wezi wangekiona cha mtema kuni. Yaani hali ya hewa ingechafuka.Duh,na wangefanikiwa kuikwiba
Hao miamba wangeweka rekodi [emoji1]
Ova
Hujui kitu , kuna mida ikifika walinzi hupewa makahaba wakaserebuke nao , hapo ndio pa kuuibaHahhaaha mzee wa Kino kuna wakati wanasiasa wanataka tu kuwaponza vijana. Huo mwenge kwa jinsi unavyolindwa hao wezi wangekiona cha mtema kuni. Yaani hali ya hewa ingechafuka.
Ndio kusudio lake mkuu akidakwa kuhojiwa kapata sababu huko ukimbizini kwamba roho yake iko hatarini.Lema atadakwa kwa kauli hii!
Lazima ataitwa kuhojiwa😁
Hahahhaha Lema ndo alivyowadanganya?Hujui kitu , kuna mida ikifika walinzi hupewa makahaba wakaserebuke nao , hapo ndio pa kuuiba
Kuambukizana ukimwi na kufilisi wafanyakazi fedha na wananchi kwa michango ya mwengeMbona LEMA kaongea vizuri tu .kwa sababu faida ya kitu tunaipima kwa wingi wa faida ilionao .sasa katika ukimbizaji wa mwenge tunapata faida gn ?
Watu wanaacha kumuabudu Mungu wa mbinguni wanaabudu moto. Baraka zitatoka wapi kwenye nchi?Ni kwel,i kukimbiza Moto ni dalili za Ushirikina.
Kitu Cha Arusha kimemkolea 😆😆
Akizungumza kwenye Oparesheni 255 inayoendelea Kanda ya Nyasa, Nabii wa Mungu Godbless Lema, amedai kwamba ni aibu kubwa sana kwa Nchi hii leo kuendelea kukimbiza kibatari kinachowaka kinachoitwa Mwenge wa Uhuru.
Amesema kuna vijana Arusha walipanga kuuiba Mwenge huo ili kuutupa, lengo likiwa kuuondoa Nchini ili kuepusha Laana ya Mungu, Lakini kwa bahati mbaya zoezi hilo lilishindikana, jambo lililomsikitisha sana!
Mytake: Vijana wa Nchi hii hatimaye wameanza kujua anayewaloga, si siku nyingi zoezi hili litafanikiwa
Crap from crippled mind.Anathibitisha kazi yake ya awali, mja asili haachi asili yake!