Lema: Kuna Vijana walitaka kuiba Mwenge Arusha wakaukosa, nilisikitika sana

Huyu jamaa kweli anahuruma,zamani tulikuwa tunachangishwa mia mia. Tuungane kuhurumia pesa zetu
 
kwanza nikusalimu kwa jina la makonda...... turudi kwenye quote' ni ngumu sana kuliona hilo...japo kajidai kuishia kusema alisikitika nakufikiri hatujajua dhamira yake ya kuchochea vitendo vya kiuwalifu ili kuvuruga amani ya nchi
Hivi bado familia ya kikwete inauza Unga kama alivyowahi kusema Makonda ?
 
Duh,na wangefanikiwa kuikwiba
Hao miamba wangeweka rekodi [emoji1]

Ova
Hahhaaha mzee wa Kino kuna wakati wanasiasa wanataka tu kuwaponza vijana. Huo mwenge kwa jinsi unavyolindwa hao wezi wangekiona cha mtema kuni. Yaani hali ya hewa ingechafuka.
 
Hahhaaha mzee wa Kino kuna wakati wanasiasa wanataka tu kuwaponza vijana. Huo mwenge kwa jinsi unavyolindwa hao wezi wangekiona cha mtema kuni. Yaani hali ya hewa ingechafuka.
Hujui kitu , kuna mida ikifika walinzi hupewa makahaba wakaserebuke nao , hapo ndio pa kuuiba
 
Kitu Cha Arusha kimemkolea ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ