Lema, Lissu, kulikoni tena mbona Rais Samia anaenda Marekani?

Lema, Lissu, kulikoni tena mbona Rais Samia anaenda Marekani?

Wanaukumbi.

Lema na Lissu, pamoja wafuasi wa Chadema kwenye Space kule Twitter mlituambia kuwa Rais Sania hawezi kuruhusiwa kwenda Marekani mmeshawambia maitafa ya Ulaya na na Marekani kuwa Rais Samia, hafai kuongoza Tanzania hamna demokrasia na wamekubali kuwa hawawezi kumruhusu.

Kulikoni tena kesho anaelekea New York Marekani kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo tarehe 23 anatarajiwa kulihutubia Baraza hilo, pia atahudhuria mikutano ya kilele ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabia nchi.

Lema, Lissu na wafuasi wa Chadema wazungu naona wanawapuuza tu.
Wewe kanywe supu ya kiti mtu. Sisi wenye maoni tofauti na wana zezetas we projected mama atakaribisha amerikani thithi ya vice president of america.
Both women have mutual view and interest in particula women in leadership.
 
Watakwambia anaenda maramoja tu hatakaa arudi tena mara ya pili.
 
Wanaukumbi.

Lema na Lissu, pamoja wafuasi wa Chadema kwenye Space kule Twitter mlituambia kuwa Rais Sania hawezi kuruhusiwa kwenda Marekani mmeshawambia maitafa ya Ulaya na na Marekani kuwa Rais Samia, hafai kuongoza Tanzania hamna demokrasia na wamekubali kuwa hawawezi kumruhusu.

Kulikoni tena kesho anaelekea New York Marekani kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo tarehe 23 anatarajiwa kulihutubia Baraza hilo, pia atahudhuria mikutano ya kilele ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabia nchi.

Lema, Lissu na wafuasi wa Chadema wazungu naona wanawapuuza tu.

Uzushi tu nani kasema Raisi kawawekewa pingamiza ya kusafiri? Achemi kutunga mambo.

Makonda tu walitangaza sasa Raisi wa nchi wasitangaze😂

Lakini nikuelimishe tu hakunaga zuio la kwenda kwenye mkutano wa UN pale sio US ni umoja wa mataifa na nikama balozi ile pana status tofauti na serikali ya USA
 
Wanaukumbi.

Lema na Lissu, pamoja wafuasi wa Chadema kwenye Space kule Twitter mlituambia kuwa Rais Sania hawezi kuruhusiwa kwenda Marekani mmeshawambia maitafa ya Ulaya na na Marekani kuwa Rais Samia, hafai kuongoza Tanzania hamna demokrasia na wamekubali kuwa hawawezi kumruhusu.

Kulikoni tena kesho anaelekea New York Marekani kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo tarehe 23 anatarajiwa kulihutubia Baraza hilo, pia atahudhuria mikutano ya kilele ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabia nchi.

Lema, Lissu na wafuasi wa Chadema wazungu naona wanawapuuza tu.
Walitabiri uongozi
 
Wanaukumbi.

Lema na Lissu, pamoja wafuasi wa Chadema kwenye Space kule Twitter mlituambia kuwa Rais Sania hawezi kuruhusiwa kwenda Marekani mmeshawambia maitafa ya Ulaya na na Marekani kuwa Rais Samia, hafai kuongoza Tanzania hamna demokrasia na wamekubali kuwa hawawezi kumruhusu.

Kulikoni tena kesho anaelekea New York Marekani kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo tarehe 23 anatarajiwa kulihutubia Baraza hilo, pia atahudhuria mikutano ya kilele ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabia nchi.

Lema, Lissu na wafuasi wa Chadema wazungu naona wanawapuuza tu.
UN haipo chini ya Marekani. Hata ambaye amepigwa marufuku kuingia US, kama ana status ya kuhudhuria UN, ataingia US.
 
Wanaukumbi.

Lema na Lissu, pamoja wafuasi wa Chadema kwenye Space kule Twitter mlituambia kuwa Rais Sania hawezi kuruhusiwa kwenda Marekani mmeshawambia maitafa ya Ulaya na na Marekani kuwa Rais Samia, hafai kuongoza Tanzania hamna demokrasia na wamekubali kuwa hawawezi kumruhusu.

Kulikoni tena kesho anaelekea New York Marekani kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo tarehe 23 anatarajiwa kulihutubia Baraza hilo, pia atahudhuria mikutano ya kilele ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabia nchi.

Lema, Lissu na wafuasi wa Chadema wazungu naona wanawapuuza tu.
Kumbe na wewe takataka! Ignorant of what is UN and its role, membership, policies etc etc........
 
United nations session ni kwa kila taifa linatambulika na umoja wa mataifa
Rejea
Mugabe
Rais wa Iran
Venezuela
Maadaui wakubwa wa Marekani
Wameshaenda na kuwatukana maraisi wa Marekani mubashara

Huyu Ustadhi wa Tandamti hajui Fidel Castro wa Cuba alikuwa akihutubia UN pamoja na uadui kati yake na USA.
 
UN haipo chini ya Marekani. Hata ambaye amepigwa marufuku kuingia US, kama ana status ya kuhudhuria UN, ataingia US.
samia hajapigwa marufuku kuingia USA we mburula

dunia nzima ingejua

makonda alipopigwa marufuku ilitangazwa

acha kumfuatilia lema na lissu, bora ushinde tiktok uta smile
 
Back
Top Bottom