Lema, Lissu, kulikoni tena mbona Rais Samia anaenda Marekani?

Lema, Lissu, kulikoni tena mbona Rais Samia anaenda Marekani?

Tafuta hela ule na watoto waende shule nzuri,achana na CDM utalaza njaa familia kuliko kukaa unaumiza kichwa sababu ya CDM
Hela zipi tena wakati michango ya Bavicha inatosha, vipi ofisi za Chadema bado zipo ufipa daah kwa nini usimwambie Mbowe na Lema mjenge ofisi ni aibu chama kama Chadema kupanga room tatu kama ofisi.
🤣🤣🤣
 
Cha kushangaa Lema aliluwa anasema huku anasisitiza nikaamini 😁
Lema alikuwa anawaambia changeni pesa ili nizunguke dunia nzima kuelezea mambo ya demokrasia.

Sasa hivi nyumbu wa Chaggadema wajanja wanajipigia tu.

Siku hizi Martin Maranya anasifia miamala tu, anakula Bia
 
Ushahidi wa unacho sema?
Bavicha wenzako wote wana Tecno mwambie lema akutumie pesa ununue Tecno hata ya 40,000 uwe unasililiza porojo za space.
 
Akili za ccm bwana
Kama ghadafi alikuwaga anahudhuria Tena anahutubia kwa kiarabu masaa matatu mpaka watu wote wanatoka njee wanamuacha aongee mwenyewe, itakuwa huyo kipofu kaona mwezi chief Hangaya,
Ila naskia atapokelewa na maandamano makubwa hapo new York na mabango
 
Una Elimu mdogo sana !Kilicho zungumzwa na LISSU hakihusiani na Umoja wa mataifa.Nilikuwa nakuona msomi kumbe zero tu.Rudi shule mkuu
Wewe punguani kweli unabisha kwa Lema akusema hayo maneno? Wenzako wanajua ndiyo maana umebaki kutoa povu tu wewe ulivyokuwa punguani unabisha.
 
Hela zipi tena wakati michango ya Bavicha inatosha, vipi ofisi za Chadema bado zipo ufipa daah kwa nini usimwambie Mbowe na Lema mjenge ofisi ni aibu chama kama Chadema kupanga room tatu kama ofisi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aliye wadanganya chadema wamepanga ndio aliyeshikilia akili zenu
 
Akili za ccm bwana
Kama ghadafi alikuwaga anahudhuria Tena anahutubia kwa kiarabu masaa matatu mpaka watu wote wanatoka njee wanamuacha aongee mwenyewe, itakuwa huyo kipofu kaona mwezi chief Hangaya,
Ila naskia atapokelewa na maandamano makubwa hapo new York na mabango
Anagalia punguani huyu mwingine kwani Gaddafi, alikuwa na kosa gani? Angalia Libya baada ya kuondoka kuna nini?
 
Bavicha wengazako wote wana Tecno mwambie lema akutumie pesa ununue Tecno hata ya 40.000 uwe unasililiza porojo za space.
Samsung keyboard au iPhone ni ngumu sana kukosea wakati ukiandika hebu tizama ulicho andika.

acha maramoja kutumia makopo ya kichina na ufurahie smoothness wakati wa kugusa screen ya simu yako hamia kwenye giant phones sawa kijana wa zamani wa hapo kwenye mananasi msoga?
 
Wewe punguani kweli unabisha kwa Lema akusema hayo maneno? Wenzako wanajua ndiyo maana umebaki kutoa povu tu wewe ulivyokuwa punguani unabisha.
Mimi sikutukani Ila na kuelimisha sana.Lema na LISSU ambacho Ni ukweli mama hawezi Kwenda marekani kimatembezi Kama ilivyo Kwa Kikwete.Issue ya Umoja wa mataifa haizuiliki hata kina Gaddafi walikuwa wanaenda.Nilikuwa najua Kati ya Lumumba's wewe ndo mwenye Elimu na akili kumbe bonge la Kilaza
 
Mimi sikutukani Ila na kuelimisha sana.Lema na LISSU ambacho Ni ukweli mama hawezi Kwenda marekani kimatembezi Kama ilivyo Kwa Kikwete.Issue ya Umoja wa mataifa haizuiliki hata kina Gaddafi walikuwa wanaenda.Nilikuwa najua Kati ya Lumumba's wewe ndo mwenye Elimu na akili kumbe bonge la Kilaza
Wapi nimekutukana? Nimekujibu kutokana kauli yako kwangu hiyo elimu kaampe Lema, ambaye alisema Rais Samia hawezi kwenda kwenye huo mkutano siyo mimi nakuita punguani sababu na wewe umeshikiwa akili kuwa Gaddafi alikuwa mtu mbaya.
 
Ritz hawezi kukuelewa.
Mwambie Lema, jamani ndiyo alisema kuwa wamefanya kila kitu huko nje kuzuia Rais Samia asiende Mareakani kwenye mkutano, mimi ndiyo nauliza mbona anaenda, sasa mimi kosa langu lipi hapo?
 
Wanaukumbi.

Lema na Lissu, pamoja wafuasi wa Chadema kwenye Space kule Twitter mlituambia kuwa Rais Sania hawezi kuruhusiwa kwenda Marekani mmeshawambia maitafa ya Ulaya na na Marekani kuwa Rais Samia, hafai kuongoza Tanzania hamna demokrasia na wamekubali kuwa hawawezi kumruhusu.

Kulikoni tena kesho anaelekea New York Marekani kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo tarehe 23 anatarajiwa kulihutubia Baraza hilo, pia atahudhuria mikutano ya kilele ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabia nchi.

Lema, Lissu na wafuasi wa Chadema wazungu naona wanawapuuza tu.
Hii post ningekuwa Mimi nimeshaifuta faster... Inakuaibisha mnoo....
 
Wanafikiri wazungu ni watu wa kusikiliza porojo zao. Wafanye Siasa za staha, Siasa za fujo na mapambano wakitegemea huruma za nchi za magharibi zimeshawapunguzia umaarufu.
 
CDM hakuna akili tena hata hawajui kuwa huwezi kumsema vibaya JPM halafu ukaaminiwa na jamii
Mpk hawajui kuchanga karata na wakiendelea kumsema JPM watapotea kbs ktk siasa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom