Lema: Mh. Rais, Vyama vya siasa sio uadui

Usilinganishe kauli za Lema na za mkuu wa nchi. Kauli za amiri jeshi zina athari wewe !!!
Tupe nukuu ya Magu, plus haiondoi ukweli kuwa Lema hana moral authority ya kuongelea kuhusu upendo, Lema yeye alikuwa Nabii wa vifo, leo kwa nini alie lie kisa kusalimiwa ?
 
You are part of these shida, usijiweke pembeni. Una wanaokuhusu wataangukia katika maonevu haya!
Si huwa mnasema yeye ni baba wa nyumba!
Kwahiyo mtoto mmoja akifanya kosa unahimiza na wengine kumtenga ili umkomeshe!
Nafikiri baba bora anaangalia namna bora ya kuunganisha familia yake!
ila sio kwenda kujigamba kwa majirani kama nimezuia na wenzie hakuna kumpa ushirikiano!
 
Hayo muulize Nabii Lema, yeye ndio alikuwa anasema kwa mbwembwe na kejeli kuwa Rais atakufa kabla ya 2020, leo analia lia kwa sababu ya kuto kusalimiwa tu. Unafiki utamuumiza Lema.
Jambo muhimu nililoliona kwenye andiko la lema ni kwamba anaonekana kujifunza suala la nidham dhidi ya mamlaka baada ya kutoka kisongo!.
amekuwa mpole, ama kweli jela ni noma........hongera sana kwa hilo mh lema.
 

Uwe na kumbukumbu timamu. Soma hapa: Kamati Kuu CHADEMA yawavua Uanachama Madiwani 5 walioingia muafaka Arusha
 
what the issue behind? unajua adhabu ya kosa la kuota la Lema?
Hoja hapa sio kosa bali ni upendo. Unachanganya msingi wa hoja.

Mwenye mamlaka ya kusema kuna kosa limetendeka ni mahakama.

Mwenye mamlaka ya kupenda au kutopenda ni wewe au mimi bila kusubiri maoni/mawazo ya mtu wa pili lakini kikubwa zaidi, kupenda na kupendwa sio one way traffic
 
Kwanza hakuna nukuu yoyote iliyosema hivyo kuhusu Magu, pili kuna njia nyingi za kumfunza mjinga, si lazima umubembeleze kila wakati, somo limefika kwa wahusika.
 
Naona akili sasa zinaanza kumrudia baada ya kukaa kisongo , aki angalia Huko mbele kuna kesi ya mashoga na ndoto sasa anataka huruma
 
Chadema ni wasahaulifu sana.Lema alishawahi kutangazia dunia kuwa adui namba moja wa chadema ni CCM au mmesahau tupekue thread humu?Kitendo cha wabunge wa ccm kumtembelea Lema kingekuwa ni usaliti mkubwa kwa ccm,viongozi wa ngapi wa ccm wanapata matatizo ikiwemo kuugua zaidi ya kuweka msemo wenu "waache wafu wazikane".Mlianza na dhambi ya ubaguzi itwamaliza
 
Lema fanya yako..Jimboni hakuna maji ya uhakika wala umeme!Miundo mbinu ya shida na vijana wengi hawana ajira!Ila kila siku una deal unarukia yasiyokuhusu..Fanya yako na shughulikia kero za wananchi wako!Period
Iki anachokifanya pia anashughulikia wananch wake.. Acha kukaririri maitaji ya wananch sio maji wala umeme pekee bali na utawala bora.
 
Acha unafiki, haujui Lema amekaa Kisongo kwa kesi ipi ?
Yeye yuko radhi kumuombea Rais afe ila analia lia hapa kuhusu kusalimiwa tu, kweli Nabii Lema ana nyumbu wengi.


Kubali tu jamaa ana roho mbaya , hata kitendo cha kabinti Wema Sepetu kuhama chama yaani kimemuuma kashindwa kuvumilia, Lowasa ndo kabisaaaa siku akifa ataweka sherehe
 
Tunaomba utuwekee hukumu ya Court of appeal na High court iliyokupa dhamana. Hizi ni kesi muhimu kwa kila mmoja. Please and please.
Na wewe fanya Kama alivyofanya Lema ili upitie aliyopitia live na upate hukumu live Lema usimfanye test tube
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…