Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Asante sana ndugu kwa comment yako hii.Wakamatwe na nani wakati anaetakiwa kuwakamata ndio amewatuma kushambulia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana ndugu kwa comment yako hii.Wakamatwe na nani wakati anaetakiwa kuwakamata ndio amewatuma kushambulia
Hivi pale Hai si ndio kun yule mkuu wa wilaya fulani asiejielewa? Ama ni mwingine?Aliyekuwa Mbunge Arusha Mjini, Godbless Lema kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Twitter amesema msafara wa Tundu Lissu umevamiwa katika Ofisi za Chama hicho Wilayani Hai..
Ndiyo kiapo chao hichoWahutu wameanza kila kunapo uchaguzi ni lzm wamwage damu zetu
Swali zuri sanaKwani pale walipo mpiga Lisu risasi aliwakosea nini.
Ndo kazi waliyopewa na chakavu coz watz hatuna roho hizoNdiyo kiapo chao hicho
Tunawapeni salaam nyinyi wahutu kuwa cdm ikiingia madarakani lazima wahamiaji haramu wote mrudi kwenu BurundiKwani hamkuwa na ulinzi? Si mnaesma poli ni CCM mnataka wafanyeje wakati mmewapa jila la CCM
Watajikamata?Mumeshindwa kuwakamata wale wa Dodoma waliompiga lisu risasi
Kwani pale walipo mpiga Lisu risasi aliwakosea nini.