digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Kwanini mkuu?Lazima tuwarudishe kwenu Burundi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mkuu?Lazima tuwarudishe kwenu Burundi
Katambi tu anawatosha sasa raisi wa nini, hapo bado msemaji wa serikar ndo tundu atakimbia kabisaKuna mtu anatamani sana apite bila kupingwa,safari hii asahau,Tena tunamtaka kwenye mdahalo kama anajiamini, aje na hotuba zake za mapapai na Oilchafu tuone
Kabisa yule mkuu wa wilaya pale anatesa wapinzani sana nafikiri ifike wakati ashughulikiwe.Usitarajie hayo kufanyika,
Mkuu wa hiyo wilaya nae achunguzwe.
Tungo hizo ziliisha chokwa ndugu. Hoja ziliisha wakaukia.Duuuh, inamaana makamanda wameshambuliwa na migambo au imekuajee!
Kuna wale tuliokua tunawaambia kuwa adui wa Chadema ni Mlevi mkuu Mbowe wakawa wanabisha na kutoa lugha za kejeli.
Oooh, Mbowe ndiye anayeijenga Chadema ma wengine ni Wasaliti. !!! Imekuaje ameshindwa kujenga Chama nyumbani kwake mpaka vibaka wanawashambulia?
Kama hii ishu ni kweli Mbowe ajitathimini mana atakua ameandaa hayo magenge nyumbani kwekwe. Hakiwezekani ngome ya Chama itekwe na wahuni na vibaka na kumsumbulia Mgombea urais. Aibu kubwa kwa Mbowe wala si vinginevyo.
Sio wewe, namaanisha alieleta post haikuwa hivyo toka awali Ila Sasa ameiweka sawa imeeleweka.Ni edit kitu gani? Na kuna ulazima gani wa ku edit?
Na bado akianza kampeni awe anongea ujinga wake ndo atajuwa watanzania hwataki chuki za kijingaLisu hakubaliki jamani! Mwambieni aache kutukana watu hovyo
Pole sana mmeshashikwa pabaya hamtokiChadema acheni kuumizana wenyewe kwa wenyewe haya mambo kaeni muoongee msuluhishane myamalize.
Kweli kabisa.J.P.M lazima ashinde uchaguzi kwa kuwa anakubalika mjini na vijijini ila hawa wanaofanya vurungu wanabidi wakamatwe haraka maana nia yao ni kutia Dosari ushindi wa Raisi J.P.M
Watu wamechoka kejeli za LisuWahuni na wanaowatuma kazini
Kuna mtu anatamani sana apite bila kupingwa,safari hii asahau,Tena tunamtaka kwenye mdahalo kama anajiamini, aje na hotuba zake za mapapai na Oilchafu tuone
Umefikiria nao wakiamua kujibu mashambulizi nini kitatokea kwako na familia yako...Na bado akianza kampeni awe anongea ujinga wake ndo atajuwa watanzania hwataki chuki za kijinga
Hivi Kenani Kihongosi ni mwanachadema? Maana kuna clip nyingi zake akiwa anasema wapinzani wauawe!CHADEMA wanaigiza kuwa underdogs wanaotegemea huruma ya CCM kushinda uchaguzi....hilo halijikutokea kamwe!