Uchaguzi 2020 Lema: Msafara wa mgombea Urais, Tundu Lissu washambuliwa vibaya katika Ofisi ya CHADEMA Wilayani Hai, Kilimanjaro

Uchaguzi 2020 Lema: Msafara wa mgombea Urais, Tundu Lissu washambuliwa vibaya katika Ofisi ya CHADEMA Wilayani Hai, Kilimanjaro

Mnaanzisha Vurugu hata kabla ya Kampeni CHADEMA Uhuni mnataacha Lini?
Najiuliza huko walikovamiwa leo vyombo vya ulinzi na usalama vilikua vina taarifa ya uwepo? Mbona kwingine kote tangu Lissu anaingia airport hadi kaanza harakati za nia ya urais hajawahi vamiwa? Au wamevunja utaratibu na kusababisha yaliyotokea?
 
Umefikiria nao wakiamua kujibu mashambulizi nini kitatokea kwako na familia yako...

Usijifikiria wewe sababu ni kijana, kumbuka una Mama, Baba,Dada,Shangazi na Bibi na Babu.

Huwezi kujua watafikiwa vipi.

Hayo mbona Tundu Lissu hayajui na nasikia kachukua uraia huko, yakibuma anakimbia anawaacha mlioingia barabarani.
Ninachojua kama kungekuwa na kukubalika hakuna mtu angefanya fujo hapo
Washabiki wangewazuia tu
Ila.mnalazimisha mambo, au mmetengeneza wenyewe ili iwe kiki
 
Watu wamechoka kejeli za Lisu
Wewe bwabwaja tuu ujinga wako wakati vijana walioleta fujo wamepokea KIPIGO KITAKATIFU na mmoja tayari kashatangulia jehanamu akawasubiri maccm wenzake walio mtuma.
Sabayi Ole lengai ana la kujibu
 
Em andika vizuri..
Hii hapa
Screenshot_20200814-172557.jpg
Screenshot_20200814-172519.jpg
 
J.P.M lazima ashinde uchaguzi kwa kuwa anakubalika mjini na vijijini ila hawa wanaofanya vurungu wanabidi wakamatwe haraka maana nia yao ni kutia Dosari ushindi wa Raisi J.P.M

Kuna tofauti kubwa kati ya kukubalika na kulazimisha kukubalika.
 
Uongozi wa JF kama tulivyo na alama ya like tunaomba pia mtuwekee alama ya dislike, ili itusaidie kwa comment kama hizi!!
Duuuh, inamaana makamanda wameshambuliwa na migambo au imekuajee!

Kuna wale tuliokua tunawaambia kuwa adui wa Chadema ni Mlevi mkuu Mbowe wakawa wanabisha na kutoa lugha za kejeli.
Oooh, Mbowe ndiye anayeijenga Chadema ma wengine ni Wasaliti. !!! Imekuaje ameshindwa kujenga Chama nyumbani kwake mpaka vibaka wanawashambulia?

Kama hii ishu ni kweli Mbowe ajitathimini mana atakua ameandaa hayo magenge nyumbani kwekwe. Hakiwezekani ngome ya Chama itekwe na wahuni na vibaka na kumsumbulia Mgombea urais. Aibu kubwa kwa Mbowe wala si vinginevyo.
 
Hayo mbona tundu lisu hayajui na nasikia kachukua uraia huko, yakibuma anakimbia anawaacha mlioingia barabarani.
Ninachojua kama kungekuwa na kukubalika hakuna mtu angefanya fujo hapo
Washabiki wangewazuia tu
Ila.mnalazimisha mambo, au mmetengeneza wenyewe ili iwe kiki
Kwa kweli mnatia huruma. Mungu aliyemwokoa kwenye marisasi ndie atampitisha SALAMA.
 
Hii ni hatari kwa mstakabali wa Taifa,vipi upande wa pili wakiamua kujibu mashambulizi.

Wote kwa pamoja tukemee bila kujali vyama vyetu, maana hali ikibadilika haiangalii ulishiriki ama hukushiriki.
Inasemekana mrusha mawe mmoja kauwawa na wananchi huko.

Polisi walikuwepo wakiangalia tu kama sinema vile.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwa nini vurugu zifanyike huko, Lissu kapita sehemu nyingi kulikuwa hamna vurugu kwa nini Arusha na Hai? Lema kasema pale kwenye ofisi iliyoungua watatoa tamko kali kuhusu kitendo kile. Huyu alishangaa kwa nini waliachiwa kumpokea Lissu wakafanya maandamano, na hakuamini kilichotokea.
 
Ikulu ndiyo imawafamyeni muumize watu wanao wapinga? Hiyo ikulu mlizaliwa nayo? Wacheni mawazo ya kishetani nyinyi.

Hii nchi siyo mali yenu pekee yenu wala hakuna sehemu mmekatia leseni ya kuimiliki Tanzania.
Hapana CHADEMA mmekuwa na shida kiasi. Siasa zenu zimekuwa za kutafuta umaarufu badala ya kuweka hoja mbele.
 
Duuuh, inamaana makamanda wameshambuliwa na migambo au imekuajee!

Kuna wale tuliokua tunawaambia kuwa adui wa Chadema ni Mlevi mkuu Mbowe wakawa wanabisha na kutoa lugha za kejeli.
Oooh, Mbowe ndiye anayeijenga Chadema ma wengine ni Wasaliti. !!! Imekuaje ameshindwa kujenga Chama nyumbani kwake mpaka vibaka wanawashambulia?

Kama hii ishu ni kweli Mbowe ajitathimini mana atakua ameandaa hayo magenge nyumbani kwekwe. Hakiwezekani ngome ya Chama itekwe na wahuni na vibaka na kumsumbulia Mgombea urais. Aibu kubwa kwa Mbowe wala si vinginevyo.
Acha upuuzi wewe. Kwani wilayani kwake kuna uzio wa kuwazuia wahuni wanaorubuniwa na Mkuu wa wilaya?? Muda sio mrefu mtacheka kama hamtolia.
 
Inasemekana mrusha mawe mmoja kauwawa na wananchi huko.

Polisi walikuwepo wakiangalia tu kama sinema vile.
Safi sana. Hiki ndicho ninachotaka. Watu wanatakiwa wajifunze kuheshimu wengine. Hii nchi kila mtu ana haki na huu ni wakati wa kujinadi!
 
Back
Top Bottom