Kweli !?..na DC analindwa na mabeberu.?..huu Ni ujinga ,haya mawazo kuwa mabeberu wanaichukia nchi yetu Ni upumbavu!
Hivi sio wao ndio tunasema wameitangaza Tz kuwa Uchumi wake unapaa, mbona hatukutaa
Unaleta historia na TANTRUMS za Nyuma Huko.
Mambo Mapya Ya Sasa Yanasikitisha....
Mbona Mambo Ni Mengi Mwayego....
Wabunge Wa CDU(maswahiba Wa Chadema)walitupinga Kuwa na Mradi Ule Wa Ufuaji Umeme Mwalimu Nyerere Pale Rufiji....
Hawakutaka Kutuona Tunapata Megawati 2200....
Wakiwa Bundestag,BUNGE Lao wakapinga kwa nguvu zote kuwa TUTAHARIBU MAZINGIRA YA SELOUS....ilihali Serikali ya Tanzania ilishapewa TAA YA KIJANI na UNESCO Kuendelea na MRADI,baada ya UNESCO kuridhishwa na ule mpango Wa Kutumia tu 3% Ya Eneo Lile..
CDU wakajisahau na Kuendelea Kupinga huku kwao KUKIONGOZA kwa kuwa na VIWANDA VINGI,vilivyojengwa baada ya kuteketezwa maelfu kwa Malaki ya HEKA,je wao hawathamini BAIYONUWAI ya kimazingira wanayotupa HIMA sisi?!!!!!
Lissu,Zitto na Wengineo Waliwaunga Mkono CDU Kuendelea kuuzodoa Mpango Ule Wa Rufiji.......
Cutting Long Story Short,Makinikia,Madini,na hii miradi imewaamsha mabwana WAKUBWA na Sasa Wanataka KUJIPENYEZA kwa kuwatumia hao mabarakala Wa KISIASA.....
Kataa Vurugu
Wakatae VIBARAKALA Wachumia Matumbo.
Isalimishe Nchi Yako Pendwa na Hila za Kishetani Na Kihayawani.