Uchaguzi 2020 Lema: Msafara wa mgombea Urais, Tundu Lissu washambuliwa vibaya katika Ofisi ya CHADEMA Wilayani Hai, Kilimanjaro


Na nyie mapanga na mawe, rungu mlikuwa nazo za nini?
Pale kulikuwa na vita?
Hao vijana wamefundishwa uelewa,
Huwezi kumwambia mtu mwenye akiri yake kuwa hakuna kilichofanyika wakati macho anayo na anaona mwenyewe.
Matokeo yake ndo hayo
Watu wanachoka na uongo na uchonganishi.
 
Lissu na zitto Ni wapinzani
Kazi Yap ni kupinga
Unataka wafanye kzi gani tofauti na hiyo?
Wakianza kuunga mkono tutawauliza kuna haja gani ya wao kuwa wapinzani?

Upinge kwa hoja na pia kwa kujenga, na sio kwa kubomoa
Hao wanapinga kwa kubomoa pia kwa kuchonganisha kwa uongo.
 
Hao Ni Mapandikizi tu....
 
Kwa mujibu wa sherua ya vyama vingi, mgombea wa urais akishapitishwa na chama chake, anatakiwa kupewa ulinzi wa jeshi la polisi. Jee Lissu halindwi na polisi?
Nadhani kwenye vitimbwi hivi, Lissu hajaumizwa. Hivyo, kuna uwezekano mkubwa sheria inatekelezeka!
 
Umeona mapanga wa Chadema??? Au umelishwa hiyo propaganda na hao wahuni wa Sabaya???? Hujaiona hao wahuni wa sabaya wakirusha mawe wakati Lissu anaongea hadi wananchi wanaonba kwa viongozi wa Chadema wawajibu???? Wewe mpuuzi nini???
 
Hakuna cha mabeberu hapo . Ni upumbavu Tu wa baadhi ya WaTz . Kwani Lissu kutafuta wadhamini ni kosa ?!. Ni wapi pameandikwa mgombea wa Ccm yeye awasemee mbovu wagombea wengine !!. Ila wao wakijibu ni kosa !!.

Mkatae mtu kwenye kura na si kufanya fujo
 
Chama ambacho kimefilisika kihoja kimbilio lake pekee ni matendo ya kihuni, "organized crimes" na hata woga wa kukabiliana na nguvu ya umma. Hiki ni kipindi tu cha kutafuta wadhamini, ktk ktk matukio ya Tundu Lissu kukamilisha ratiba yake hii muhimu tuanza kuona matukio ya uchomaji wa ofisi, vijana kitumika kutupa mawe na hata kuongea uongo hadharani, ambao "circumstantially" unaonekana umetatibiwa na ole Sabaya.

Makada wa CCM, wapenzi na wafurukutwa wake, mtambue nyakati zimebadilika mno. Msitembee kwa kukalili dhuruma za wazi walizofanyiwa wapinzani bila majibu yoyote ama kuingia kwenye "confrontation" pale itakapopasa kufanya hivyo. Hakuna wala siri ya kuwa yanayotekea yana baraka za viongozi wenu na kwa kushirikisha baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola ambao kwa makusudi hawazingatii maadili wala weledi wa utendaji wao wa kazi.

Hivi mnafikiri tukiingia ktk kipindi cha kampeni, wapinzani wataaishi kikondoo kondoo tu huku wakiangalia matendo ya kifedhuli na kidhalimu kutoka vijana wenu wa UVCCM! Uhuni huu wa vijana hawa ni matokeo ya makuzi mabaya mliowapa nyinyi wenyewe. Kumbukeni tu haki huliinua taifa. Ni lazima muwakanye wawe wavumilivu dozi za kihoja ziingiapo akilini mwao.

Wasikalili tena kuwa pale wafanyapo matendo ya kihuni watachekewa tena. Wana CCM mtavuna kile ikipandacho.
 
Miradi gani ambayo Mabeberu ' wanatuonea wivu....kwani fedha za mikopo yake tumezipata wapi!
Wakiwasifia mnadhangilia wakiwa wapinga Ni Mabeberu!
 
Lissu na zitto Ni wapinzani
Kazi Yap ni kupinga
Unataka wafanye kzi gani tofauti na hiyo?
Wakianza kuunga mkono tutawauliza kuna haja gani ya wao kuwa wapinzani?
Unaanza Kuupinga Mradi halafu Mabwana Wa Nje Wanaongezea Frequency Ya Kupinga...huku Wakiwa Ni marafiki Kindakindaki Wa CHAMA CHENU....then Unapata bahati Mbaya Unapelekwa Karibu na Huko....Bado Wanaendelea Kuupinga Mradi....Unapona na Kuanza Kuzunguka Kwao na KUENDELEA KUUPINGA NA WAO WANAKUSAIDIA KUONGEZA frequency.....

Mmmh smth FISHING......
 
Swali la msingi nani alianza kuchochea vurugu na kwa maslahi ya nani?
Je wabeba mabango walikuwa wamepangwa ?
Je nani aliandaa kikosi cha bakola, madhumuni yake ni nini?
 
Piga kura uwakatae kwenye sanduku la kura , siyo kufanya fujo kwenye mikutano yao !!. Mbona Ccm inafanya mambo mengi ya hovyo lakini hawafanyiwi fujo ?!
 
Y
Yule kijana aliyesikika akisema "tutamlinda DC" katumwa na mabeberu?
Yule Ni PANDIKIZI....
The Same As Mwizi Akienda Kuiba na kuangusha KITAMBULISHO...

Hivi watu WAFANYE Yale huku wanajua hayawahusu...halafu wawahusishe WATU wenye political interests dhidi ya hao MAHASIMU WAO?!!
Haiingiii akilini hata KIDOGO......

Igizo Hilo...
 
Hii ndiyo dalili hasa ya kushikwa na uwendawazimu. Kama kuna ndugu wa karibu mwombe akusindikize Mirembe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si
Miradi gani ambayo Mabeberu ' wanatuonea wivu....kwani fedha za mikopo yake tumezipata wapi!
Wakiwasifia mnadhangilia wakiwa wapinga Ni Mabeberu!
SI Kila Mhisani Ni BEBERU,na SI kila Beberu Ni Mhisani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…