Fikiri, sehemu zote walikopita hakukuwa na mapanga na marungu ila wakayabeba hai? Kwann? Njia ya mwongo in fupi, kama wanahubirj raisi hajafanya kitu na vitu vinaonekana kuanzisha vita si suluhu. Tuwe makini na hii amani.Na nyie mapanga na mawe, rungu mlikuwa nazo za nini?
Pale kulikuwa na vita?
Hao vijana wamefundishwa uelewa,
Huwezi kumwambia mtu mwenye akiri yake kuwa hakuna kilichofanyika wakati macho anayo na anaona mwenyewe.
Matokeo yake ndo hayo
Watu wanachoka na uongo na uchonganishi.
Nakumbuka Magu alipopitishwa na CCM 2015 ilioneshwa live nyymbani kwake kuna ulinzi wa askari wanemwagwa wakati huo. Hayo mambo ya kupitishwa na tume labda yamekuja mwaka huu.Ni mpaka atakapopitishwa na Tume, siyo Chama chake. Hapo anapita kutafuta wadhamini tu.
Hii ndiyo dalili hasa ya kushikwa na uwendawazimu. Kama kuna ndugu wa karibu mwombe akusindikize Mirembe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo shule uliyoenda haikusaidii !!. Mleta hoja kasema piga kura uwakatae kwenye sanduku la kura siyo kufanya fujo kwenye mikutano yao.Unaanza Kuupinga Mradi halafu Mabwana Wa Nje Wanaongezea Frequency Ya Kupinga...huku Wakiwa Ni marafiki Kindakindaki Wa CHAMA CHENU....then Unapata bahati Mbaya Unapelekwa Karibu na Huko....Bado Wanaendelea Kuupinga Mradi....Unapona na Kuanza Kuzunguka Kwao na KUENDELEA KUUPINGA NA WAO WANAKUSAIDIA KUONGEZA frequency.....
Mmmh smth FISHING......
Mapapa kvp akati mmoja wa hao vijana ameshasema kuwa, walitumwa na DC pamoja na OCD na waliahidiwa kulipwa elfu 20 kila mtu...Ni Vijana Wanaotumiwa na Mapapa Ya Ukuwadi Kutoka Nje....
Mapapa kvp akati mmoja wa hao vijana ameshasema kuwa, walitumwa na DC pamoja na OCD na waliahidiwa kulipwa elfu 20 kila mtu...
NB:Yani mtu unaamua kurisk maisha yako kisa elfu 20 kwelii
Hiyo shule uliyoenda haikusaidii !!. Mleta hoja kasema piga kura uwakatae kwenye sanduku la kura siyo kufanya fujo kwenye mikutano yao.
The best comment everNdugu unafikiri kote alikopita Lissu kuanzia Dodoma, Singida, Tabora, Shinyanga, Simiyu, Mwanza , Musoma na Manyara hakuna wana CCM??? Kwa nini kote huko hazikutokea fujo????
Huu ni upumbavu uliofanywa na viongozi wa CCM Arusha na Hai hasa Sabaya kuandaa hao vijana na kuwalipa wafanye fujo!!!
Wewe hujasikia huyo kijana karopoka hapo Eti tuko tayari kumlinda DC???? Dc anahusika nini na vikao vya Chadema??????
Huyu Sabaya sasa ni wakati sahihi afundishwe kuwa Kuna nguvu ya umma behind Lissu!!! Kuna uwezekano wa asilimia hata 90 kuwa yeye ndo amehusika kutuma watu kuchoma ofisi za Chadema Arusha!!!
Ilifaa umpuuze huyu muandika upuuzi
The Weapons From Brussels Have Been Aimed To Disintegrate The Awesome Nation......
Achana na Yule Smith,Wale Mazwazwa Watatu,Arvinder Deepel,Marcus McManon Na Mchora VIBARAKALA wa Afrika Kwa Zama Hizi Bwana Johñson Stielenger Walimsaidia Sana Jamaa Yetu Pale Brussels.....
I Smell Something Savage Being Orchestrated Behind Those Letters Written To Tanzania......
MABEBERU ni watu wabaya Sana......Tanzania Ni kisiwa Cha Amani...Msumbiji Kimewaka....Wale Magaidi Waliofurumushwa Kule Kibiti Na Kujikita Mosimboa Da Praia Jimboni Cabo Delgado,Masalia Yao Yameanza Kuichafua Serikali Ya CCM ionekane inawashambulia WAPINZANI...Yaani totally ridiculous!!!
Hiki Ni KIPINDI Cha kushikana Kama TAIFA,wabaya wetu wanataka kutuchangia then BARUA ILIYOANDIKWA ITIMIE.....
Kataa Vurugu
Kataa Propaganda Chafu
Kataa Hila Za MABEBERU
Kataa Mipango Ya Kuichoma Nchi Yako Pendwa
Usikubali Kuingizwa Mtegoni na wanasiasa wachumia tumbo
Hatuna Pa Kukimbilia.
Mungu Wetu Atatushindia Hila Mbaya Na Husuda Zinazotoka Nje Ya Taifa Letu Adhimu,Aaaamin Aaaamin Aaaamin.
tulieni mpira bado,japo mmeanza makesi yenu lakini shetani hawezi mshinda MunguNdo yaleyale, mwenyekiti wa Chadema amevamiwa na kujeruhiwa mguu. Ikawa wakamatwe! Wakamatwe! Kumbe pombe...