ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Lugha za LijualikaliNa ni mpango wa wanasaccos. Kwanini Hai ndiyo itokee??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lugha za LijualikaliNa ni mpango wa wanasaccos. Kwanini Hai ndiyo itokee??
Wahusika na mihofu yenu ndio mnajua na bado mtahangaika sanaMuulize Mbowe kwa nini hilo limetokea kwenye Jimbo lake??
Kwakweli wamekosa kick kutoka kwenye vyombo vya dola, sasa wanalazimisha ili waonekane wanaonewa.Baada ya kuzunguka kote sasa mmeanza chochoko ili tu mvuruge uchaguzi.
CHADEMA mtaishia matukio tu lakini ikulu hamtaiona. Bahati mbaya hamjuo CCM ndio iko madarakani na ina intelijensia yote.
Mkifanyiana unyama mkikamatwa iwe kiki..mwendo wa kuwachungulia tu na kuwapuuuza.
Afu mnataka vyombo vya habari viwatangaze na upuuzi huu?
MtajeMambo haya yote yameletwa hapa nchini na mtu mmoja tu. Yeye huwapa kinga wahuni wanaowadhuru wapinzani
Una hakika ?Wakamatwe na nani wakati anaetakiwa kuwakamata ndio amewatuma kushambulia
Tunawapeni salaam nyinyi wahutu kuwa cdm ikiingia madarakani lazima wahamiaji haramu wote mrudi kwenu Burundi
Hao waliovamia huo mkutano walikuwa wengi kuliko waliokuwa wamehudhuria huo mkutano?Je wakati wa kampaini tutakuwa tunalalamika hivi huku mitandaoni au wakija watano tutakuwa tunawapeleka angalau watatu mochwari? Hivi baada ya lile shambulio la Lissu bado mnategemea police au jumuiya ya kimataifa.Nadhani police na jumuiya ya kimataifa ilipaswa kuwakuta mbele
Duuuh, inamaana makamanda wameshambuliwa na migambo au imekuajee!
Kuna wale tuliokua tunawaambia kuwa adui wa Chadema ni Mlevi mkuu Mbowe wakawa wanabisha na kutoa lugha za kejeli.
Oooh, Mbowe ndiye anayeijenga Chadema ma wengine ni Wasaliti. !!! Imekuaje ameshindwa kujenga Chama nyumbani kwake mpaka vibaka wanawashambulia?
Kama hii ishu ni kweli Mbowe ajitathimini mana atakua ameandaa hayo magenge nyumbani kwekwe. Hakiwezekani ngome ya Chama itekwe na wahuni na vibaka na kumsumbulia Mgombea urais. Aibu kubwa kwa Mbowe wala si vinginevyo.
Sijui mkuuKwani mkutano ulikuwa unahusu nini ?
Dawa ni kujichukulia sheria mkononi,ukitaka wanao mfahamu wanitokeze,ua au vunja miguu na mikonoKwani watu wakilipwa kufanya inajalisha umejenga chama kiasi gani, unafahamu nguvu ya dola wewe nakumbuka Nape aliponyooshewa bastola walisema yule aliyemnyooshea hawamfahamu