Uchaguzi 2020 Lema: Msafara wa mgombea Urais, Tundu Lissu washambuliwa vibaya katika Ofisi ya CHADEMA Wilayani Hai, Kilimanjaro

Uchaguzi 2020 Lema: Msafara wa mgombea Urais, Tundu Lissu washambuliwa vibaya katika Ofisi ya CHADEMA Wilayani Hai, Kilimanjaro

Hapo ukichambua huwezi mkosa mkuu wa wilaya ya hai.ushauri wangu chadema msiwe mabwege, mlie wote.
 
Baada ya kuzunguka kote sasa mmeanza chochoko ili tu mvuruge uchaguzi.

CHADEMA mtaishia matukio tu lakini ikulu hamtaiona. Bahati mbaya hamjuo CCM ndio iko madarakani na ina intelijensia yote.

Mkifanyiana unyama mkikamatwa iwe kiki..mwendo wa kuwachungulia tu na kuwapuuuza.

Afu mnataka vyombo vya habari viwatangaze na upuuzi huu?
Baba ako anakula kupitia CCM sio kosa lako
 
Huyu jamaa amekuwa bingwa wa kuhubiri chuki majukwaani naona ameanza kuonja ladha ya adha anayaihubiri,apeleke ubeligiji hizo chuki zake, sisi tuko pamoja na jpm,na bado ataionja shubiri zaidi na zaidi
Hatutaishi milele sifa ya mtu kufa sometimes inatakiwa mmoja uumie ili wengine wapate ukombozi CCM haina tofauti na ukoloni.
 
Sasa Wameshambuliwa Na Nani
Mbona Habari Hujaivisha Nguo Ikaeleweka
Ofisi Imechomwa Usiku Wewe Unasema Saa Hizi
Umefika level ipi kielimu ?
Ofisi zimeungua Arusha
Shambulio limetokea Hai Kilimanjaro, unashindwa kuelewa hapo ni nini ?

Ccm hatutaki watu vilaza.
 
Yaani magari tu ndo yanaharibiwa!
WWatu wote wako salama!
Amechokoza were, ameona hajibiwi ,Sasa ameamua kujifanyia usanii!
Jana ofisi ilichomwa, mafaili yakaungua, mlinzi akakimbia akaacha bunduki!
Hiyo ndiyo chadema
Kuikwamua nchi kutoka kwa wala na watoa rushwa si kazi rahisi
 
Duuuh, inamaana makamanda wameshambuliwa na migambo au imekuajee!

Kuna wale tuliokua tunawaambia kuwa adui wa Chadema ni Mlevi mkuu Mbowe wakawa wanabisha na kutoa lugha za kejeli.
Oooh, Mbowe ndiye anayeijenga Chadema ma wengine ni Wasaliti. !!! Imekuaje ameshindwa kujenga Chama nyumbani kwake mpaka vibaka wanawashambulia?

Kama hii ishu ni kweli Mbowe ajitathimini mana atakua ameandaa hayo magenge nyumbani kwekwe. Hakiwezekani ngome ya Chama itekwe na wahuni na vibaka na kumsumbulia Mgombea urais. Aibu kubwa kwa Mbowe wala si vinginevyo.
Unamaanisha jeshi letu la polisi ni dhaifu hadi limeshindwa kumdhibiti Mbowe ?
 
Aliyekuwa Mbunge Arusha Mjini, Godbless Lema kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Twitter amesema msafara wa Tundu Lissu umevamiwa katika Ofisi za Chama hicho Wilayani Hai

Amesema "Msafara wa mgombea Urais Mh Tundu Lissu umevamiwa na kushambuliwa vibaya katika ofisi ya CHADEMA HAI,magari yame haribiwa. Mgombea Uraisi na Team yake wako salama. Polisi wako lakini wana shuhudia, mkutano umevunjika. Taarifa kamili kuwajia"

Natetemeka kwa hasira. Ngoja nikae kimya
 
Wewe hata ukini quote hunipati maana nilisha kupiga ban
Utanyooka tu angalia hapa chini wananchi wakimkataa mwenyekiti wenu wa maisha.
 
Wachaga lazima mfikirie zaidi mtu anatoka huko Singida anakuja kusababisha fujo huko kwenu kwanini fujo aikutokea Singida, Tabora, Shinyanga, Mwanza, Simiyu, Mara, Arusha fujo ije ifanyike Hai, Kilimanjaro?? Muuane kwa sababu ya huyo Mbelgiji alitumwa na wazungu kuleta fujo ndiyo maana familia yake ameiacha Ubelgiji kikinuka akimbilie huko kupitia Kenya!!
Yaonekana wewe ndie uliepanga na kutekeleza fujo hizo huko Hai.
Lakini unapoteza muda wako na wa kikundi chako bure, baada ya kufilisika hoja.
Huu ni mtiririko wa njama zenu za kitoto kwa zaidi ya miaka minne, lakini zimeshindwa na hazitakuja fanikiwa kubadilisha mvuto kutoka mioyoni kwa Lissu, Mbowe wala Upinzani wa kweli.
Hayo ni mateke ya punda anaeishiwa UHAI.
AMEN
 
Yaonekana wewe ndie uliepanga na kutekeleza fujo hizo huko Hai.
Lakini unapoteza muda wako na wa kikundi chako bure, baada ya kufilisika hoja.
Huu ni mtiririko wa njama zenu za kitoto kwa zaidi ya miaka minne, lakini zimeshindwa na hazitakuja fanikiwa kubadilisha mvuto kutoka mioyoni kwa Lissu, Mbowe wala Upinzani wa kweli.
Hayo ni mateke ya punda anaeishiwa UHAI.
AMEN
Angalia hapa chini wanahai wasivyomtaka huyo Faru John.
 
Back
Top Bottom