Lema: Nikimuona mtoto wa Waziri Mkuu Majaliwa au wa Rais Mwinyi anaendesha Bodaboda ndipo nitaomba radhi

hakuna walimu ambao ni watoto wa mawazir na rais au hujui kama wapo?
 
Kumbuka pia gambo hafanyi kazi ya upolisi, unesi na hata ualimu basi Kwa sababu gambo hafanyi kazi hizi Kwa tafsiri yako nazo pia sio kazi za maana ni za laana!!
 
Happy ki ukweli amekosea...!! Nadhani hata kwenye kampeno zake alikuwa akiwatumia hawa Maafsa Usafirishaji kwenye misafara yake awaombe radhi kwa kweli....!!
 
Hatukatai

Ila haikua vizuri kusema wenzie vibaya

Kwanza ni kazi ya halali, Pili as long as hawavunji sheria he gone too far
lema hajasema kuwa bodaboda sio kaz halali amesema ni kaz ya laana akimaanisha inawapa matatizo mengi ajali na kipato kidogo huku watoto wa vigogo wakipewa kaz nzur serikalin.
 
Hivi lema ameona nchi gani watoto wa viongozi wanafanana level na wananchi wa hali ya chini hoja aliyoitengeneza ni ya kitoto Sana
Wewe binafsi umetembelea nchi ngapi duniani zilizo nje ya Afrik
 
lema hajasema kuwa bodaboda sio kaz halali amesema ni kaz ya laana akimaanisha inawapa matatizo mengi ajali na kipato kidogo huku watoto wa vigogo wakipewa kaz nzur serikalin.
Kwahio mtu akipata kipato kidogo ni lsana? Vipi ile angebaki bila kazi na kua ombaomba?? Kwake ni kidogo kwa wengine ni kikubwa

Ajali kwani hamna Afisa wa serikali ambae hapati ajali

The man should apologize bhana
 
Ndg mwenyekiti na katibu wa chama, kwa hekima zenu mpepeeni kichwa kijana wenu, maana anazidi kujianika ya kuwa yeye ni mtu wa type ipi, na sisi wananchi tunashindwa tumeweka kwenye kundi gani, je kichwani yupo sawa kweli kijana wenu?
 
Most of boda boda riders are stubborn....
Your point is too weal to justify

Lema should apologize

Stubbornness is a human nature and anybody can be wheather is a bodaboda or otherwise it depend on your act toward him

If you behave well i don't think they will act in such manner
 
Asilimia kubwa ya bodaboda wengi hawajaenda shule wee ulitaka wafanye shughuli gani?
 
Your point is too weal to justify

Lema should apologize
Hahaha, vurugu sana hao, wezi, hawafuati sheria za barabarani, they make others pass away and run away, though sometimes wanadanja wao, all these justfies lema's statement...
 
Hahaha, vurugu sana hao, wezi, hawafuati sheria za barabarani, they make others pass away and run away, though sometimes wanadanja wao, all these justfies lema's statement...
Well kwan hamna afisa mwizi? Hamna afisa ambaye hafati sheria za batabarani wewe upo dunia ya ngapi ndugu?

Msione maisha mmeyapatia mkadharau wenzenu to a blink of an eye table turn anyway

The one to judge is GOD, who are. you to judge your fellow men, shame
 
Kwanini amewataja waziri mkuu Majaliwa na Rais Mwinyi?
 
Other are cursed jobs as bodaboda, Gvt. Haitaki kukubali kushindwa kwake kutengeneza ajira kwa wahitimu wa vyuo vikuu.

Sasa mtu anamwambia graduate akasome veta ili apate ujuzi, nini hiki sasa?
 
Other are cursed jobs as bodaboda, Gvt. Haitaki kukubali kushindwa kwake kutengeneza ajira kwa wahitimu wa vyuo vikuu.

Sasa mtu anamwambia graduate akasome veta ili apate ujuzi, nini hiki sasa?
😃😃labda upo sahihi

Ila vipi ile akae tu awe ombaomba ndo unataka? Thing are neber easy we are set to conquer them and there come hawa bodaboda
 
Lema analeta tu ujuaji. Hatuwezi wote kuwa na kazi za blue-collar au white collar kama anavyotaka yeye. Haiwezekani Tanzania na haijawahi kuwezekana popote duniani. Sasa wazoa taka mjini Lema atasemaje? Wana laana ya wazazi wao?!. Lema aache ujuaji.
Namuunga mkono Nabii Lema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…