Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
hakuna walimu ambao ni watoto wa mawazir na rais au hujui kama wapo?Kazi ambazo watoto wa waziri mkuu na rais hawazifanyi ni nyingi Sana, so Kwa tafsiri hiyo kumbe kazi za laana ni nyingi tu na sio uboda boda tu, so ualimu, unesi, uofisa kilimo na mifugo ni kazi za laana make hizo kazi huwezi mkuta mtoto wa rais au waziri mkuu