Lema: Waziri Kalemani alimpigia simu mkewe akimtaka kuwapa Polisi ushirikiano wa kuondoa kamera

Lema: Waziri Kalemani alimpigia simu mkewe akimtaka kuwapa Polisi ushirikiano wa kuondoa kamera

Hizo ni chokochoko kama mnadai aliyepanda mpango amekufa basi na kesi imekufa msitusumbue na mambo yaliyokufa.

Kuhusu CCTV kwani anayetakiwa kuzitoa ni Nani? Kwani kinachofanyiwa uchunguzi ni Yale makamera au server?

Ukitafakari vizuri utabaini kwamba endapo washika dau wangepanga Mauaji mambo mengi yasingefanyika wangeweza kumtafuta kwa njia nyingi rahisi kwani hawana woga wa kumshambulia mtu kwa kificho wangemsubiri nyumbani au kwenye ulevi pia CCTV zingerekenishwa mapema.

KILICHOTOKEA Kuna wahusika wasio na utaalamu walifanya tukio kwa maslahi Yao lakini pia serikali kutokana na usumbufu wake wakatekeleza ule usemi wa adui muombee njaa. Ni sawa na wewe ukisikia mchawi wako amepata ajali utakachoweza kufanya ni zaidi ya ajali.
".... haiwezekani mtu akawa msaliti halafu aishi" speech ya JPM muda mchache kabla ya pyu pyu pyuuu
 
Naomba kujua why watu wengi wanasema huyu dada hajafa? kuna uzi aliaga? mi sijauona
Kuna thread aliandika anaumwa,akaaga atakua out of jf kwa muda....(niliiona)
Wakati hayupo kuna mtu akaandika kwamba amefariki ila ilifutwa (nami sikuiona ila nimesoma tu humu)
 
Naomba kujua why watu wengi wanasema huyu dada hajafa? kuna uzi aliaga? mi sijauona
Upo uzi aliweka akisikitika kuwa anakata kamba kabla hajaona mabadiliko ya katiba.
Ukienda kwenye home page yake unaweza kuuona.
 
Simu zote duniani ziko rekoded hivyo ipo siku sauti itasikika
 
Lema kupitia space anasema

"Waziri Kalemani, alimpigia mke wake simu kwamba polisi wanakuja hapo kuondoa kamera wape ushirikiano, hii ni baada ya Tundu Lissu kupigwa risasi.." —; Godbless Lema

Natamani kusikia hii Taarifa siyo kweli, natamani kusikia kutoka kwa Mhe. Kalemani. Kama mke aliambiwa atoe ushirikiano means waliomba ushirikiano kwa Kalemani wanafahamika na yeye anawafahamu.

Tunafanya haya kwa sababu yakutafuta Nini hapa Duniani? Vyeo tu au Kuna mengine. Inaumiza Sana pale mapadre, maaskofu na wachungaji wanapojua kwamba waumini wetu wanatembea na dhambi vifuani mwao. Pls natamani niskie full story ya huu ushahidi wa Lema.
Sasa kwa pamoja tuulizane magaidi akina nani?
 
Hitler iddi amini wanaongelewa mpaka kesho

Jpm atakuwa rais bora wa karne
Hata familia yako mwenyewe wanamkubali.

Maana Afrika hamna upinzani wa kweli wengi wenu ni wanaafiki na mliojaa kibri.

Kwa taifa hili upinzani kuonngoza Nchi mpaka malaika wa shetani arudi.
 
Akili ya kawaida tu ya mambo ya plottting yoyote ya assassination, waziri ampigie simu mke wa mbunge kumtaka afanye kitu fulani ili kuwezesha kitu fulani? Hapa nionacho ni lema ni dumb zaidi ya nilivyodhan
Hebu isome Tena hiyo thread kuna mahali unajichanganya na ama hujarudia kusoma na umekimbilia kujibu! Mleta Uzi kaandika kuwa, kalemani alimpigia simu make wake akimuelekeza kuwapa ushirikiano wote wanaoutaka! Upo?
 
Lema kupitia space anasema

"Waziri Kalemani, alimpigia mke wake simu kwamba polisi wanakuja hapo kuondoa kamera wape ushirikiano, hii ni baada ya Tundu Lissu kupigwa risasi.." —; Godbless Lema

Natamani kusikia hii Taarifa siyo kweli, natamani kusikia kutoka kwa Mhe. Kalemani. Kama mke aliambiwa atoe ushirikiano means waliomba ushirikiano kwa Kalemani wanafahamika na yeye anawafahamu.

Tunafanya haya kwa sababu yakutafuta Nini hapa Duniani? Vyeo tu au Kuna mengine. Inaumiza Sana pale mapadre, maaskofu na wachungaji wanapojua kwamba waumini wetu wanatembea na dhambi vifuani mwao. Pls natamani niskie full story ya huu ushahidi wa Lema.
instagram(2).jpg
 
Hebu isome Tena hiyo thread kuna mahali unajichanganya na ama hujarudia kusoma na umekimbilia kujibu! Mleta Uzi kaandika kuwa, kalemani alimpigia simu make wake akimuelekeza kuwapa ushirikiano wote wanaoutaka! Upo?
Polisi kumbe wana vielelezo tayari,wanashindwa nini kuanzisha uchunguzi kusudi kesi ianze?
 
Tarehe 7/9/2017 ilikuwa Ni siku ambayo MUNGU huenda hakulala Kama huwa analala kwani mja wake asiye na hatia LISSU wenye mamlaka walitaka kuhitimusha maisha yake.
Rais wa nchi alikuwepo.
Makamu wa RAIS alikuwepo.
Waziri Mkuu alikuwepo.
IGP pia alikuwepo.
Mkuu wa TISS alikuwepo.
Mkuu wa JWTZ alikuwepo.
DCI naye alikuwepo.
Mkuu wa zima Moto alikuwepo.
Mkuu wa JKT alikuwepo.
Mkuu wa skauti alikuwepo.
Mkuu wa PCCB alikuwepo.
RPC walikuwepo.
OCD walikuwepo.
Mawaziri walikuwepo.
Jaji Mkuu alikuwepo
SPIKA wa bunge alikuwepo.
Wote hao Hawakufahamu Nani aliyerusha risasi 38 kwa LISSU.Ila Mungu pekee ndiyo hakulala mchana ila wote Hapo juu walikuwa wamesinzia.
Waziri Medard kalemani ndiye aliyeshiriki kutoa CCTV camera kwenye nyumba yake hivyo alipaswa kuhojiwa ipasavyo.
 
Lema kupitia space anasema

"Waziri Kalemani, alimpigia mke wake simu kwamba polisi wanakuja hapo kuondoa kamera wape ushirikiano, hii ni baada ya Tundu Lissu kupigwa risasi.." —; Godbless Lema

Natamani kusikia hii Taarifa siyo kweli, natamani kusikia kutoka kwa Mhe. Kalemani. Kama mke aliambiwa atoe ushirikiano means waliomba ushirikiano kwa Kalemani wanafahamika na yeye anawafahamu.

Tunafanya haya kwa sababu yakutafuta Nini hapa Duniani? Vyeo tu au Kuna mengine. Inaumiza Sana pale mapadre, maaskofu na wachungaji wanapojua kwamba waumini wetu wanatembea na dhambi vifuani mwao. Pls natamani niskie full story ya huu ushahidi wa Lema.
Aspokufa atashushwa🤣🤣🤣Karma

Akina Chamriho, Kilangi et al
 
Tarehe 7/9/2017 ilikuwa Ni siku ambayo MUNGU huenda hakulala Kama huwa analala kwani mja wake asiye na hatia LISSU wenye mamlaka walitaka kuhitimusha maisha yake.
Rais wa nchi alikuwepo.
Makamu wa RAIS alikuwepo.
Waziri Mkuu alikuwepo.
IGP pia alikuwepo.
Mkuu wa TISS alikuwepo.
Mkuu wa JWTZ alikuwepo.
DCI naye alikuwepo.
Mkuu wa zima Moto alikuwepo.
Mkuu wa JKT alikuwepo.
Mkuu wa skauti alikuwepo.
Mkuu wa PCCB alikuwepo.
RPC walikuwepo.
OCD walikuwepo.
Mawaziri walikuwepo.
Jaji Mkuu alikuwepo
SPIKA wa bunge alikuwepo.
Wote hao Hawakufahamu Nani aliyerusha risasi 38 kwa LISSU.Ila Mungu pekee ndiyo hakulala mchana ila wote Hapo juu walikuwa wamesinzia.
Waziri Medard kalemani ndiye aliyeshiriki kutoa CCTV camera kwenye nyumba yake hivyo alipaswa kuhojiwa ipasavyo.
Na baada ya happ aliteuliwa Uwaziri
 
Back
Top Bottom