Wewe ni pimbi, mambo ya kunyoa yameingiaje hapa, nilichosema Sabaya yupo jela hata sasa ninavyoandika hapa amerudi kama mahabusu.Nakuuliza ushawahi kuona sabaya kanyoa upara?
Kwani ulikuwa hujui?Kumbe
Tafuna ndimu.View attachment 2213870
Aisee Judiciary System ya Tanzania iko very Corrupt huyu atatafutiwa njama za kuuawa huyu katesa na kuteka watu wengi sana tena kwa kutumia vitendea kazi vya Serikali !! This is not right something is wrong here
Ha ha ha "balance " sio ili timu A nao wasawazishe ππLazima mambo yawe βοΈβοΈβοΈβοΈ
Najua mnajua nina maana gani..
Una maana hakimu alipanga tarehe ya hukumu kwa kuangalia kalenda ya lini mafuta yatapanda??? ππCCM wajanja, wameamua kuwahamisha kutoka kujadili bei ya mafuta hadi kumjadili Sabaya
Acha upotoshaji mkuu, Sabaya yuko jela, na akipatikana na hatia kwa kesi ya uhujumu uchumi ni nyundo 30 nyingine.Mbowe out, Sabaya out...
ππππππNdiyo, Kuna mtu alituhumiwa kuchoma vituo vya mafuta na ku block barabara na kufadhili ugaidi ili nchi isitawalike. Pamoja na tuhuma zote lakini aliachiwa huru.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
ππππππππAcha upotoshaji mkuu, Sabaya yuko jela, na akipatikana na hatia kwa kesi ya uhujumu uchumi ni nyundo 30 nyingine.
Sabaya si wa kwanza kupanguwa kesi, magerezani kuna watu wana kesi kibao wanapanguwa lakini moja lazima unyooshwe.
Nakuhakikishia Sabaya ajiandae na kukata rufaa ya pili. Tunza hii comment muda si mrefu utakuja kulifukuwa hili kaburi.
Acha iwe shangwe lakini najua ni lazima iambatane na funzoKesi ya uhujumu uchumi kifungo chake hakizidi miaka y mitano kama sijakosea.Kwa Sabaya kupangua hii kesi ni ushindi mkubwa sana kwake hata kama ya uhujumu uchumi atashindwa.
Haya kumekuchaaaaaaah sasa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi huwa kichwani zinawatosha? Kesi ya uhujumu uchumi ina dhamana?Katolewa kwa kazi Moja kusaka panya road[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mtamfanya nini? Mbona wahuni na vibaka kibao wapo mtaani?
Mbona panya road mnawaogopa?
Atakuwa salama tu mbona wauza unga majangiri na mafisad, Mama Samia kawatoa na wanaishi salama tuKwa uhuni aliowafanyia watu, huko mtaani sijui kama atakuwa salama